mndorwe
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 2,472
- 1,027
Nawaombea wapone mapema..
Ila ubunge wasahau....
Watapona , na uwezo wa kushinda anao pia hata mhonge, Wameru watakula hela zenu ila kura atapewa dogo janja...
Nawaombea wapone mapema..
Ila ubunge wasahau....
Hahahahahaah
Hahahaa limekuchoma hilo kijana, mwaka huu kazi mnayo nyie na njaa zenu hizoHebu fafanua Chadema wameumbuka nini? Mkiambiwa mumebakishiwa akili za kwendea haja kubwa tu mnasema mnaonewa.
Hahahaaaaaaa kweli kaka sasahv tutaskia tuuWatasema imetunguliwa na makombora ya police,nyie subirini mtasikia.
Washaurini waache kupanda chopa,Pole sana Kamanda-Mungu awatangulie Majeruhi wote.
Hii ndiyo dhambi za kutoa ahadi bila kutekeleza aliahidi akishinda ubunge atamupa Halima Mdee kisha kamtelekeza je ahadi alizotoa wakati ea kampeni ataweza??
Ni kwamba anashindwa kuzungukia jimbo kwa gari? Juzi tu hapa nimepost kuhitaji kujua umuhimu na ulazima wa Nassari kutumia chopa ndani ya jimbo kama sio ufujaji wa pesa... but pole kwake
Suala hapo ni kwamba akome kutumia hizo chopa maana sio size zake kila kukicha tunasikia yuko na chopa mara huku mara kule sasa kwanini asiachane nazo tu maana zitakuja kumuua bure!Mkuu hiyo ni ajali tu kama zilivyo ajali zingine!! Hata angezungukia jimbo lake kwa gari bado angeweza kupata ajali vile vile ambayo labda hata ingemletea madhara makubwa kuliko hata hayo aliyoyapata kwenye hiyo ajali ya chopa.
Limbwata la Mdee linamwandama huyo atakoma mwaka huuKwan alikuwa anatembea na halima mdee unauhakika hiyo alisema tu kuhusu ahadi ccm imekaa miaka mingapi madarakani ahadi ngapi wametuahid na bado mpaka sasa hawajatimiza bora yy amekaa miaka 3 na nusu ila kajitahidi sana penye ukweli lazima tuseme.
Mbunge amekimbizwa ktk Hosptal ya Selian na kwa mujibu wa Katibu wa mbunge hajaumia sana ila abiria wawili mmoja anajulikana kwa jina la Eve ambaye ni mmoja wa viongozi wa BAWACHA jimboni kaumia mbavu na mwingine kavunjika mguu.
Tupo jimboni na tunawatoa hofu wananchi wote waliopata taaruki jimboni kuwa Mbunge ni mzima amepatwa na majeraha kidogo!!
Tunamshukuru Mungu kwa rehema zake.