Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

Bia zote na spice anayokununuliaga pale kwa Donii huridhiki tuu au na wewe unataka akununulie shamba kubwa hapa Meru?

Njoo Rota upige bufee njaa isikuulie chini baadae tukutane kwa Dr, Car Wash

haka kajamaa kanapenda ofa kwelikweli nakumbuka pale philips kaliwahi kupewa pombe za ofa kakanywa na kushindwa kujielewa bado kidogo vibaka wangekainamisha tukakaoko
 
Bia zote na spice anayokununuliaga pale kwa Donii huridhiki tuu au na wewe unataka akununulie shamba kubwa hapa Meru?

Njoo Rota upige bufee njaa isikuulie chini baadae tukutane kwa Dr, Car Wash

Hahahahaha kijana mmaranguoriginal sio mwepesi kuhongwa ninalipwa mshahara na serikali. Kwa Dr hahahhahaha umenifurahisha
 
haka kajamaa kanapenda ofa kwelikweli nakumbuka pale philips kaliwahi kupewa pombe za ofa kakanywa na kushindwa kujielewa bado kidogo vibaka wangekainamisha tukakaoko


Dogo unanivunjia heshima Yangu siyo mlevi wala mnywaji ninajiheshimu sana.

Una akili ndogo sana nimekudharau na siasa zako za maji taka.
 
Ata mimi nilikuwepo nasarry alikimbia akasahau had na simu yake ni aibu sana kwa CHADEM
 
Hahahahaha kijana mmaranguoriginal sio mwepesi kuhongwa ninalipwa mshahara na serikali. Kwa Dr hahahhahaha umenifurahisha

Hata Nyoka mwenye makengeza analipwa mshahara wa serikali lkn bado 1. 6b haimtoshi.
Baadae kwa Dr, hata kama pikiliki yuko juu ya stone usiogope utakula bia utakavyo. Muache Nassari apige kazi
 
haka kajamaa kanapenda if a kwelikweli nakumbuka palQae philips kaliwahi kupewa pombe za ofa kakanywa na kushindwa kujielewa bado kidogo vibaka wangekainamisha tukakaoko

Hahahaha!! Ana kiu iliyofunga turbo.
 
Dogo unanivunjia heshima Yangu siyo mlevi wala mnywaji ninajiheshimu sana.

Una akili ndogo sana nimekudharau na siasa zako za maji taka.

Mlevi wewe tena wa gongo unajitetea nini au leo hujapata za kwenda kunywa.
 
namshangaa sana leo anaonajiona mjanja watu wangemla tigo bila timu ya nassari kumuokoa leo sijui angekuwa wapi

Mkuu hawa wahuni wa ccm hawana fadhila tumemwokoa mwenzako kuliwa tigo badala kutoshukuru wanakuja kutukashfu wajinga sana
 
Nasary kazi kununua mashamba makubwa hapa meru hana mpango na wananchi
Hili lijitu limeokotwa wapi???
Huyo pallangyo katoa rushwa ili apate ubunge,Mh Nassary katoa alichonacho ili kuendeleza jimbo lake la ubunge!!unaelewa tofauti ya rushwa na mchango wa hisani? Mmarangu wa wapi uko hovyo hivyo?sijaona jitu hovyo kama wewe.
 
Usipotoshe umma Wa watanzania nilikuwepo kumpa joto kamanda John D Pallangyo ndiye alialikwa kama mgeni rasmi na barua ninayo kama ushahidi.

Nasary ametuabisha sana vijana hapa meru kuchangia kiasi hichi kwa nafasi yake kama mbunge na kupitwa mbali na watu Wa kawaida ambao siyo wabunge hawana marupurupu kama yeye
Kumbe wewe ndio unampaga joto Pallangyo? Ndio maana unamtetea sana. Kumbe ni bwana ako
 
Back
Top Bottom