namshangaa sana leo anaonajiona mjanja watu wangemla tigo bila timu ya nassari kumuokoa leo sijui angekuwa wapi
Hana ujanja wowote, ni mpiga nyundo mashuhuri kila atakapomuona Nassari lazima apige nyundo na anatolewa
namshangaa sana leo anaonajiona mjanja watu wangemla tigo bila timu ya nassari kumuokoa leo sijui angekuwa wapi
Nimekudharau sana .
Mlevi wewe tena wa gongo unajitetea nini au leo hujapata za kwenda kunywa.
Hana ujanja wowote, ni mpiga nyundo mashuhuri kila atakapomuona Nassari lazima apige nyundo na anatolewa
Huyu chalii sio mmarangu huwa anatudhalilisha sana wamarangu huyu labda wa pande za msturu .
tatizo watanzania tumesahau kazi ya mbunge.siku hizi kazi ya mbunge imekuwa kutoa ufadhili badala ya kuisimamia serikali pamoja na kuwaunganisha wananchi katika kuleta maendeleo yao.mbunge anapaswa kuwahamasisha wananchi wake kuwa self initiative kwenye vitu ambavyo wanaweza kufanya wao kama wao kwa mfano kurekebisha barabara wanazoweza kutengeneza,kuhamasisha wananchi kuhusu afya yao ,kuwahamasisha wananchi kujenga madarasa hata kwa nguvu zao pale ambapo uwezo wa kifedha unapokuwa mdogo................anaweza kuchangia cement kama anaweza,lakini sio jukumu lake kuchangia..................ndio maana siku hizi watu wenye uwezo wa kuongoza lakini hawana uwezo wa kifedha hawapewi nafasi,tunafanya kosa kubwa sana.ndio maana siku hizi kwenye kura tunanunuliwa kama vitumbua...............watanzania tujitathimini,vinginevyo tutakufa kwa ujinga wetu.habari za humu nawasalimu sana.
Jana katika shule ya sekondari ya singisi waliyani hapa arumeru mkoani arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa amani.
Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda john d pallangyo wa uvccm meru na pia mbunge wa jimbo hilo mbunge joshua nasary alialikwa pia kama wadau wa maendeleo ndipo hapo aibu kila mmoja wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda john pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.
My take: Wananchi wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama john pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati
nawasilisha
Naomba kuweka mambo sawa hapa Nilikuwepo kwenye uzinduzi Mgeni Rasmi alikua Nasari
tatizo lako una wivu wa kike
hahahahahahMbonyi meku .
Nakuja vunjo kuchukua jimbo mwaka huu.
Wameru ndiyo wapiga kura unayowashambulia hauoni kama unaika Chadema kwenye hali ngumu.Huyo Palanjo si mzeekabisa mnamwita kijana. Huyu tunamjua vizuri sana. Ngoja ajilete tumpe za uso namna wanavyojilia hela ya AICC kwa kisinhizio cha Insuarance akishirikiana na Mmeru mwenzake huyo mkurugenzi wa AICC.
...
Habari za humu nawasalimu sana.
Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.
Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.
My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati
Nawasilisha
Habari za humu nawasalimu sana.
Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.
Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.
My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati
Nawasilisha
Habari za humu nawasalimu sana.
Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.
Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.
My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati
Nawasilisha
hivi wewe ni Ke au MeSisi tunazungumzia Meru kijana .
Siyo hivyo tuu!! Kusema ni rahisi sana hasa kwa hawaa magamba. Wanachoitaka ni wasifiwe baadae hawata leta hata mfuko mmoja. Kamanda Nasari tumemuona akisaidia jamii mbali mbali jimboni kwake, leo huyo Palanjo kuahidi mifuko mia ambayo hataitoa wanaona ni deal??? Hivi ni lini watu mtawajua viongozi wa Ccm na ahadi zao hewa??