Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

ongezea na neno "kwa ajili ya lumumba tu" sisi wenye akili zetu timamu hatuwezi pokea hii ! Ipo low sana! Mwenzako alitukana li giant kalamba ukuu wa wilaya! Mchafue wasira sasa na wewe tukufikirie viti maalumu

Ahahaha mkuu hiyo doz uliyompa inamtosha
POWER TO THE PEOPLE
 
Mimi nimwaza kivingine...inawezekana hii ilipangwa hivi:

Watafutwe vijana wa ccm, wasombwe hadi eneo la tukio kwa ajili ya kushangilia kitendo chochote kitakachofanywa na huyo palangyo...
 
Huyo Palanjo si mzeekabisa mnamwita kijana. Huyu tunamjua vizuri sana. Ngoja ajilete tumpe za uso namna wanavyojilia hela ya AICC kwa kisinhizio cha Insuarance akishirikiana na Mmeru mwenzake huyo mkurugenzi wa AICC.
...

Ndg yangu MFAMAJI,hivi huyo John Pallangyo ndiye huyo mwenye ofisi hapo Safari Hotel ?
 
Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha
mbona walisha fanya kuiangusha CCM!
 
Siyo hivyo tuu!! Kusema ni rahisi sana hasa kwa hawaa magamba. Wanachoitaka ni wasifiwe baadae hawata leta hata mfuko mmoja. Kamanda Nasari tumemuona akisaidia jamii mbali mbali jimboni kwake, leo huyo Palanjo kuahidi mifuko mia ambayo hataitoa wanaona ni deal??? Hivi ni lini watu mtawajua viongozi wa Ccm na ahadi zao hewa??

Hawa MAPANYA wameishatufanya MISUKULE yao...............Safari hii lazima tuwalize kwanza.............
 
nchi hii ikiendelea kuwa na watu wenye upeo mdogo kama huyu bwana mmaranguoriginal. tuna hatari sana. tena hatari kubwa sana. tuna watu ambao walishaacha kufikiri na mmoja wapo ni huyu mwandishi. hoja zake ni za kitoto na siku zote nasema kuna haja ya JF kuwa na interview kabla ya kuruhusu baadhi ya members humu ndani. huyu mtu katoka maliwato hata hajanawa mikono anakuja kushika vyakula na kuanza kula... tunategemea nini hapa? unakuja na hoja hohehahe kabisa za kitoto kuhusu michango ...... anyway ngoja niishie hapa maana naona kama hata nikianza kumwelezea hoja nlizotaka hatoelewa. amechagua upumbavu ngoja aishi nao
 
Duh nimeamini kuachwa ni jambo baya sana.

Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha
 
We kweli kamasi sasa huoni huyo gamba katowa rushwa kabisa tena ya wazi
Then wewe unasema anafaa au ni ndugu yako?huu ni mwaka wa uchaguzi wengi watatoboka sana mifuko kwa kufosi uongozi.
 
Mkuu UZI wako umekaa kishabiki sana/Chuki, kwani kuna tatizo gani yeye kuchangia mifuko 50 ya cement? kaka kutoa ni moyo na si UTAJIRI.
Nasary ndie aliyekuwa wa kwanza kuchangia jimbo huyo fisaidi kuona hivyo akakimbia kuleta 100 kamuiga nasary


swissme
 
Huu umbea tuu Nassary ndo alikuwa mgeni rasmi
 
nchi hii ikiendelea kuwa na watu wenye upeo mdogo kama huyu bwana mmaranguoriginal. tuna hatari sana. tena hatari kubwa sana. tuna watu ambao walishaacha kufikiri na mmoja wapo ni huyu mwandishi. hoja zake ni za kitoto na siku zote nasema kuna haja ya JF kuwa na interview kabla ya kuruhusu baadhi ya members humu ndani. huyu mtu katoka maliwato hata hajanawa mikono anakuja kushika vyakula na kuanza kula... tunategemea nini hapa? unakuja na hoja hohehahe kabisa za kitoto kuhusu michango ...... anyway ngoja niishie hapa maana naona kama hata nikianza kumwelezea hoja nlizotaka hatoelewa. amechagua upumbavu ngoja aishi nao

Machadema huwa hawapendi ukweli sikuzote

Nasary kazi kujenga jumba la ghorofa kule momela hana mpango na maendeleo ya meru
 
vijana wa ccm wana akili fupi dizaini ya kimo cha watu wa uturuki
 
Huu umbea tuu Nassary ndo alikuwa mgeni rasmi

Usipotoshe umma Wa watanzania nilikuwepo kumpa joto kamanda John D Pallangyo ndiye alialikwa kama mgeni rasmi na barua ninayo kama ushahidi.

Nasary ametuabisha sana vijana hapa meru kuchangia kiasi hichi kwa nafasi yake kama mbunge na kupitwa mbali na watu Wa kawaida ambao siyo wabunge hawana marupurupu kama yeye
 
Ww lazima utakuwa unatoka kikatiti kwa wanywa gongo wale wa ccm
 
Usipotoshe umma Wa watanzania nilikuwepo kumpa joto kamanda John D Pallangyo ndiye alialikwa kama mgeni rasmi na barua ninayo kama ushahidi.

Nasary ametuabisha sana vijana hapa meru kuchangia kiasi hichi kwa nafasi yake kama mbunge na kupitwa mbali na watu Wa kawaida ambao siyo wabunge hawana marupurupu kama yeye

kwani kwenye michango huwa kuna mashindano?
 
Back
Top Bottom