Chadema wana akili za mgando sana wanafiri kama VIZUU
vijana wa ccm mna akili fupi kuliko kimo cha joti
Chadema wana akili za mgando sana wanafiri kama VIZUU
Mvizuri mleta mada!
Leta ushahidi acha porojo za kitotoUsipotoshe umma Wa watanzania nilikuwepo kumpa joto kamanda John D Pallangyo ndialikwa kama mgeni rasmi na barua ninayo kama ushahidi.
Nasary ametuabisha sana vijana hapa meru kuchangia kiasi hichi kwa nafasi yake kama mbunge na kupitwa mbali na watu Wa kawaida ambao siyo wabunge hawana marupurupu kama yeye
Sasa Mbona alitokomea kusikojulikana?
Hela za wizi ndo mnasifia?
Mkuu alipata aibu sana kuona ameabishwa na kamanda John Pallangyo.[/
Kutoa ni moyo siyo utajiri ccm mnazo zile za escrow hata mkichangia millioni 100 ni sawa
Mleta mada ni muhuni wa ccm hata habari zake zinakuwa za kihuni
Sasa Mbona alitokomea kusikojulikana?
Wewe ulichangia nini?Habari za humu nawasalimu sana.
Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.
Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.
My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati
Nawasilisha
Sijui ni uelewa mdogo ama chuki binafsi maana sioni mamtiki ya kusema mtu kuchangia jambo unapata aibu,anayejua maana ya harambee huwezi kumsikia akisifia kuwa fulani kachangia kitu kumshinda fulani.
Tuache kushadadia vitu ambavyo havitusaidii.
wewe kichwamaji kwelikweli. hii concept kwamba watu wanachagua mbunge ili awaletee maendeleo kwa fedha yake ndio msingi wa kuwaweka mafisadi uongozi. hapo mifuko 100 na mil 5 palangyo anawekeza akipata ni deal tupu kurudisha na kupata faida. kazi ya mbunge kama anavyofanya nasari ni kuwakilisha watu wake bungeni na kuhamasisha maendeleo. kwa mbunge mwadilifu kumshindanisha kwa njia hiyo hapo ni sawa na kumpigia debe fisadi.Habari za humu nawasalimu sana.
Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.
Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.
My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati
Nawasilisha
Mhuni ni babu slaa anayetumbua ruzuku ya chama na mushumbuzi kule karatu na mbowe na mukya Dubai hawa ndio wahuni.
Wewe ulichangia nini?
wewe kichwamaji kwelikweli. hii concept kwamba watu wanachagua mbunge ili awaletee maendeleo kwa fedha yake ndio msingi wa kuwaweka mafisadi uongozi. hapo mifuko 100 na mil 5 palangyo anawekeza akipata ni deal tupu kurudisha na kupata faida. kazi ya mbunge kama anavyofanya nasari ni kuwakilisha watu wake bungeni na kuhamasisha maendeleo. kwa mbunge mwadilifu kumshindanisha kwa njia hiyo hapo ni sawa na kumpigia debe fisadi.
hivi ile kazi yako ya kuuza utumbo pale shivas umeshaacha?
Bora ya huyo aliyechangia mifuko 50 ya Saruji - Vipi yule aliwadanganya wanaKigoma kuwa ataigeuza kuwa Dubai?Ndio mchango Wangu huu kutoa elimu dhidi ya utapeli Wa nasary meru humu jf.
Una swali jingine kuntu.