Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

perfect...tufanye hivyo kila mahali walipo ili tuwaondoe kwani hakuna walichotufanyia zaidi ya vurugu tupu bungeni...vijana ccm amkeni wakati ni wenu na sisi tupo pamja nanyiQUOTE=mmaranguoriginal.;11946751]Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha
[/QUOTE]
 
Msimlaumu Mhe. Joshua Nassari. Amechangia mengi kwa ajili ya wananchi wa Meru tangu aingie Bungeni. Sisi bado tuna upendo na Mhe. Nassari ili awe Mbunge wetu kwakipindi kijacho.
 
Msimlaumu Mhe. Joshua Nassari. Amechangia mengi kwa ajili ya wananchi wa Meru tangu aingie Bungeni. Sisi bado tuna upendo na Mhe. Nassari ili awe Mbunge wetu kwakipindi kijacho.

wao ngoja wapige porojo ila mwisho wa siku tunawapiga kama tulivyowapiga kipindi kilichopita,hivi vi msukule Msalani,laki si pesa na mmaranguoriginal tulivishughulikia kisawasawa vikawa havilali majumbani kwao
 
Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha
Mimi nilifikri kapata aibu kubwa baada ya kumvua pichu .....mako kumbe kuzidiwa na ccm? Sasa aibu itoke wapi? Nassary ana mahali pengi pa kupeleka mchango wake, sasa huyu mccm wenu amesaidia shule ngapi? Na aje hiyo 2015 atachezea kichapo tu!!!
 
Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha

Amekupa pesa nini? mtu mzima aibu saana. Wewe ndo umeaibika saana
 
Samahani mkuu huyo uvccm ameshachangia shule ngapi?Uongozi ni kipaji toka kwa Mungu hautafutwi kwa cement wala vijisent!Ninamshukuru kama alitoa mchango kwa nia ya kuwasaidia watoto!lakini kama ni mpango wa kisiasa Pole bro!!!
 
Hakuna watu wenye siasa za ulaghai kama chadema, kwani Nasari hela za ubunge.za jimbo anapokea za kutosha tu, Sasa alishindwaje kutoa japo milioni moja basi!?

mkuu samahani umeisoma mada mpaka mwisho kweli
 
Hakuna watu wenye siasa za ulaghai kama chadema, kwani Nasari hela za ubunge.za jimbo anapokea za kutosha tu, Sasa alishindwaje kutoa japo milioni moja basi!?

Duuu, kaaazi bado tunayo.
Hela ya mfuko wa jimbo mbunge anakaaga nazo mfukoni kwake na anagawa tu anavyotaka au wewe ndiyo unampangia?
 
Hao watu waliomwita mbunge huyo fisad walikuwa wameandaliwa wafanye hivyo,pili kamanda nasari shule zote za jimbo lake ni zake,hawez kwenda anatoa msaada wa namna ile kila shule,huyo fisad anaonesha anawajali kipind hiki cha uchaguz,kama anahurumia watu wasiojiweza tz awaonye chama chake waache ufisadi,wawahurumie
 
Nassary pesa za mfuko wa jimbo amefanyia harusi na nyingine anazitumbua Afrikando Bar na mahawara
 
Nassary kitu pekee alichofanya jimboni kwake ni kuwalisha wameru pilau siku ya harusi yake, hajafanya chochote cha maendeleo
 
Nassary pesa za mfuko wa jimbo amefanyia harusi na nyingine anazitumbua Afrikando Bar na mahawara

Umenena ana hawara yake yule mchina kampiga chini hafai huyu mbunge wanameru tunajuta sana kumchagua kitasa kama huyu mbunge .

Nasary mkabila sana kamfukuza ndonde mchaga kwenye ukatibu kamuweka mmeru mwenzake ambaye hana msaada kwenye jimbo muda wote ofisi ya mbunge imefungwa Katibu wake mmeru hayupo.

Mbowe akaamua kuokoa jahazi kumchungua Ndonde hili jembe sana .
 
Ana haki kutoa zaidi ya Nasari kwa kuwa hizo ni fedha wanazotwaa kwa wananchi na hatowi Kama msaada kwa wananchi Bali ana toa Kama hongo kwa wananchi Ili wampe ubunge.

Akishapata ubunge zote hizo na zaidi ya hizo zitarudi mpaka wananchi watajuta kumfanya mbunge kuwa mbunge Wao.
 
Back
Top Bottom