Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

Nimecheka......Hivyi na wewe ukakaa ukaanza kuandika huu upuuzi ukidhani ni habari??
 
Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha

Nafikiri akili yako haiko sawa na unashindwa kuelewa nini unamaanisha kati ya hao wawili wametoa hiyo michango yao kutoka vyanzo tofauti Huyo Pallangyo hicho alichokiwasilisha ni mchango wa CCM lakini Nassary ametoa mchango kutoka ndani ya familia yake, kwa jinsi usivyojielewa unadhani wananchi wa sasa hawana akili kama wale mliozoea kuwaonea hapo zamani wananchi wanatambua wazi lengo la hicho mnachokitoa kwani kama mngekuwa na nia njema mngekitoa hicho tangu alipokuwepo yule Mzee Sumary kwa nini inakuwa leo?
 
Mimi siyo Chadema na wala simkubali Joshua Nassari. Ila huu uzi ni muendelezo wa siasa za kipuuzi zilizopitwa na wakati.
 
sidhani kama kuna aibu hapo..Mi nadhani watu wengine wanatoa kutafuta umaarufu nyakati hizi za uchaguzi
 
Ukisikia chizi kalogwa tena ndio hii hahaha.Sema mleta uzi akili zimeganda kama upo ndani toka nje kaa kwenye jua kama half an hour hivi then rudi ndani tena.
 
Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha

hahahahaha naona wameru wameanza kuzinduka!
 
Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha
Humuwezi Nassary wewe utaishia kupiga mikelele yako hapa Jf pambaf
 
Hiyo mifuko hawaipati ng'o,ukuu wa Wilaya katemwa.Heri mtu anyekupa msaada kutoka moyoni kuliko anayekupa msaada huo toka kichwani
 
Watu mnapenda viongozi watoa misaada. Kama ndo hivo basi kamwe akina Chenge dewj wataendelea kututawala
 
Mtoa mada hayo ni mawazo yako hatuwezi kukupinga! Umemsifia huyo kijana wa miaka 50 kwa alivotoa mchango mkubwa. Kwa hiyo tunakuomba kuanzia sasa kila Mheshimiwa Lowassa anapotoa mchango sehemu uje hapa umsifie maana yeye anatoa sana zaidi ya huyo kijana uliempamba! Nassari ametoa sana kulingana na anachopata kwa halali!
 
Nasary kazi kununua mashamba makubwa hapa meru hana mpango na wananchi

Bia zote na spice anayokununuliaga pale kwa Donii huridhiki tuu au na wewe unataka akununulie shamba kubwa hapa Meru?

Njoo Rota upige bufee njaa isikuulie chini baadae tukutane kwa Dr, Car Wash
 
Back
Top Bottom