zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
- Thread starter
- #121
Wee Zomba, acha fikra finyu, kumbuka kwamba kuna source nyingi sana za kupata takwimu mbalimbali na kwamba kila source inatoa matokeo kulingana na utafiti wao ulivyowaonyesha. Sasa Unaijua source ya Nasari au umekurupuka tu kusema kwamba anadanganya? Na mbona hili la Nasari umeliongea kwa hisia zote lakini zile za yule jamaa yenu za kusema kwamba Tanzania imetokana na muungano wa Zimbabwe na Pemba Hukiungea chochote? Toa maoni yako, huyo jamaa yenu alidanganya vyombo vya habari pamoja na watanzania kwa ujumla au "aliteleza ulimi"?
Wacha porojo, weka zako zitowe kokote utakakozitowa, mimi nimeweka hizo hapo post #1 , naona mnabishana tu bila kuja na data zinazoendana na kauli ya uongo ya Nassari.