GKM
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 738
- 332
hajamzidi wangu teh
hajamzidi wangu teh
Kamepigwa Pasi hako balaa!!.
kuna watu wachokozi aiseeeee
Mtoto mzuri uongo dhambi, hivi itagharimu shs. ngapi? Maana kila mtu kaalikwa. Nimependa sana hii style hakuwasahau watu wake. Safi sana.
mkuu kwani kwenye ndoa kalio lina kazi gani?Kamepigwa Pasi hako balaa!!.
mkuu kwani kwenye ndoa kalio lina kazi gani?
hahahaha, kumbe pass inasaidia kupunguza ajaliMkuu lina mvuto wake, hata akiwa miss anapendeza sana akiwa na bumps kidogo, gari zikipita zinapunguza speed, sasa akiwa flat screen gari zinapita na speed sana.
hahahaha, kumbe pass inasaidia kupunguza ajali
Kako very traditional atapata kazi sana kuja kukaweka uptodate kafikie level ya akina mbasha na vicky kamata....