Joshua Nasari (MB) na mtarajiwa wake

Joshua Nasari (MB) na mtarajiwa wake

Mwanamke mzuri aisee

Yupo natural sana kama Evelyn Salt
Yule ni Evelyne Salt au ameweka picha ya katoto ka watu? kama unamfahamu zaidi ya hapa JF its ok, lakini kama unaangalia picha ya katoto nadhani kana mwaka mmoja halafu unakasifia ni hatari aisee, but Harusi ya Nassari itapendeza sana nawaombea wafanikishe tendo hilo takatifu kwa amani, pia wapiga picha msiache kututumia.

Nimefurahi sana alipowakaribisha wananchi wa jimbo lake tena bila kadi...hii itakuwa harusi ya kwanza hapa Tanzania kufanyika kwa style hiyo...big up sana kamanda Nassari, 2015 Maccm hawatakuwa na nyimbo tena, Utakabidhiwa mke na jimbo pia.

 
Anaeza kua mbunge viti maalamu katika chama. Natabiri
 
Nikisema kitu nitaonekana Ninamuonea Gele wakati hakuna Gele!!! Ngoja nipite nisije Kitia Kitumbua mchanga ikawa muendelezo ule ule wa Yule Mh Dada yetu LAKINI WALE WANAFUNZI WA........ MTAELEWA!!!
 
Mungu akupe maisha ya upendo na amani katika ndoa ya Mbunge wetu Hongera kwa kupata jiko
 
Yule ni Evelyne Salt au ameweka picha ya katoto ka watu? kama unamfahamu zaidi ya hapa JF its ok, lakini kama unaangalia picha ya katoto nadhani kana mwaka mmoja halafu unakasifia ni hatari aisee, but Harusi ya Nassari itapendeza sana nawaombea wafanikishe tendo hilo takatifu kwa amani, pia wapiga picha msiache kututumia.

Nimefurahi sana alipowakaribisha wananchi wa jimbo lake tena bila kadi...hii itakuwa harusi ya kwanza hapa Tanzania kufanyika kwa style hiyo...big up sana kamanda Nassari, 2015 Maccm hawatakuwa na nyimbo tena, Utakabidhiwa mke na jimbo pia.

Evelyn Salt namfahamu, nimeoa kwao
 
Last edited by a moderator:
Hivi mnajuwa wife wa nasari ni member wa jf tena huwa anapapenda sana chit chat kwenye ule uzi wa kiwatengu mtongozano
Tulishamgombania sana kule jamaa alikuwa anatuchora tu!
 
Last edited by a moderator:
Kako very traditional atapata kazi sana kuja kukaweka uptodate kafikie level ya akina mbasha na vicky kamata....

Nani anataka wake zao wawe kama hao akina Mbasha! Unata Gwa apite naye. Hivo hivo ndo maana dogo akampenda!
 
Uzuri haukosi kasoro,nami nimeshaiona hapo
 
mchana ukiambiwa kaa vizuri ubane miguu, usiku ukiambiwa kaa vizuri utanue miguu sawa? Umenisikia?
asalaaaaleeee,kwa maaana mchana aibu usiku fuluuu kurahatupuika au siyo
 
attachment.php


Aisee mbona mzuri duh Nassari kapata mke Mungu awabariki awajalie watoto wazuri wakike na wakiume amen.
na wawe na...kama wa PK
 
Back
Top Bottom