Joshua Nasari (MB) na mtarajiwa wake

Joshua Nasari (MB) na mtarajiwa wake

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
IMG-20140606-WA0006.jpg
 
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii
kanda ya kaskazini.



MBUNGE wa Jimbo la Arumeru
Mashariki ,Mh Joshua Nassari kesho anatarajia kufunga ndoa na Bi
Anande Nko katika kanisa la Pentekoste, Kilinga lililoko wilaya ya
Meru ambako Mh Nassari alianzia masuala ya Kiimani ikifuatiwa na
Sherehe kubwa ya Harusi itakayo fanyika katika viwanja vya Usa-River
Academy jirani na Hotel ya Ngurdoto.




Kwa Mujibu wa Mh Nassari
,sherehe hizo zitakazoanza majira ya saa saba mchana watu wote
wamealikwa wakiwemo ndugu, marafiki, Jamaa na wananchi jimbo la
Arumeru Mashariki kwenye tukio hilo na kamba hakuna
kadi.





"Nichukue
tena fursa hii kuwakaribisha ndg, marafiki, Jamaa na zaidi sana
wananchi wangu wa jimbo la Arumeru Mashariki kwenye tendo hadhimu la
kusherekea harusi yangu , Jumamosi Juni 7, Usa-River academy grounds
kuanzia saa saba mchana. Kwa Pamoja Tulianza na Mungu, Tutamaliza na
Mungu Pamoja. ...No cards on entrance!"alisema
Nassari.




Na ssari amesema watu zaidi
ya 8000 wanatazamiwa kushiriki katika sherehe hiyo ya aina yake
wakiwemo viongozi mbalimbali na wabunge kutoka maeneo mbalimbali
.
 
namtakia kila raheli kamanda, mungu awapengu huyu shemeji awe nae kamanda. karibuni katika chama cha wanandoa. kilaraheli.
 
Kwa mwonekano tu, kapata mke, tena mke kabisa.
 
attachment.php


Aisee mbona mzuri duh Nassari kapata mke Mungu awabariki awajalie watoto wazuri wakike na wakiume amen.

Kako very traditional atapata kazi sana kuja kukaweka uptodate kafikie level ya akina mbasha na vicky kamata....
 
Back
Top Bottom