Joshua Nasari (MB) na mtarajiwa wake

Joshua Nasari (MB) na mtarajiwa wake

Pongezi kijana na kila la heri. Jambo jema kabisa kufunga harusi yako kijijini kwenu.
 
no wigi, no make up, no makope ya kubandika wala makucha yale maref.....saf sana....kila la kheri kamanda

Mikorogo, mawigi, makope, na mauchafu mengine ya kazi gani??? Mungu angetaka uwe na makope, angeshindwa nini kuyaweka? Lakini amekuumba hivyo ulivyo akakutofautisha na paka! Tujikubali!!!!!!
 
Kako very traditional atapata kazi sana kuja kukaweka uptodate kafikie level ya akina mbasha na vicky kamata....
Kwa hiyo hao ulowataja ndo level ambayo wanawake tunapaswa kufiki ? :wave:
 
Hivi mnajuwa wife wa nasari ni member wa jf tena huwa anapapenda sana chit chat kwenye ule uzi wa kiwatengu mtongozano
Tulishamgombania sana kule jamaa alikuwa anatuchora tu!

mkuu hivi atakuwa ni nani?
ila ametulia sana naaminisha ni mzuri...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom