Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
Hahahahahaha...
Mume rais
Mke Mbunge!!
Chedama oyeeee!!
taratibu
Hahahahahaha...
Mume rais
Mke Mbunge!!
Chedama oyeeee!!
Nimekufuatilia sana na nimegundua kuwa wewe ni ndugu Mwepesi wa kigoma kaskaziniGreat thinkers wanaacha kujadili habari wanamjadili Ritz . Haya, time will tell, labda mama huyu asiyekuwa na haya na mumewe wabadili mawazo juu ya Josephine kutaka kugombea ubunge Kawe kwa ticket ya CDM
Penye ukweli lazima tuseme mkuu. Inabidi wajifunze kukubali kukosolewa kwani makosa ni sehemu ya kujifunza.
Ndio chama kimeamua kuwa hivyo. Katibu mkuu anautaka urais na wake zake wote wawili ubungetaratibu
Nafurahi kusema kama kweli kinachokusukuma kuwa unaishauri chadema kumstopisha Josephine ni uzalendo ili chama cha chadema kikue,basi napata shida sana kukuelewa kwa kuwa mchango wa ujenzi wa chama ni wa kila mmoja naya kama mwanachama wa chadema tumwache atimize wajibu wake.Nia yangu ni kuonyesha mapungufu yaliyo ndani ya CDM ili wayafanyie kazi. Kumbuka CDM bado ni chama kichanga, tunahitaji kuwapa mawazo ili kuwasaidia wakue, waweze kuleta changamoto kwa chama tawala ili mwishowe tuwe na nchi yenye demokrasia ya kweli.
Tukirudi kwenye mada husika. Huoni kama huyu mama ni tatizo mpaka anafikiria kuwa mshindani wa mwanachama mwenzake tena kwenye jimbo ambalo lipo kwenye mikono ya CDM? Hapa kwa tafsiri yangu ameona kuwa H. Mdee ameshindwa kufanya kazi yake!
unataka agombee nani
Nafurahi kusema kama kweli kinachokusukuma kuwa unaishauri chadema kumstopisha Josephine ni uzalendo ili chama cha chadema kikue,basi napata shida sana kukuelewa kwa kuwa mchango wa ujenzi wa chama ni wa kila mmoja naya kama mwanachama wa chadema tumwache atimize wajibu wake.
Pili mada hii haijakamilika mkuu,nawe ni shahidi ktk hili maana ni tetesi na kama vile haitoshi bado tetesi hii haijataja chanzo cha habari.Na ndiyo maana mwanzo mwa mchango wangu niliomba kujua chanzo cha tetesi ili tuweze kujadili kwa hoja za msingi vinginevyo mnatuaminisha kwa hisia zenu tu na si hivyo tu bali kwa lengo kama mlivyotaja hapo juu kuwa lazima aondoke,hapa ninaamini kuwa huyu Josephine amekuwa mwiba kwenu na hasa ikizingatiwa ni mjenzi mzuri wa hoja kama mke wa kiongozi ambapo huko CCM hakuna wake wa viongozi kuweko majukwaani na hata uwezo wa kujenga hoja ni mdogo na zaidi amekuwa ni sehemu ya ukuaji wa kasi wa chama.
Nakumbuka wakati chama chenu kinajipatia viongozi wake niliwahi kuandika ktk moja ya mijadala hapa kuwa CCM mnajipanga kupambana na CDM na hili hata mwenyekiti wenu alikiri hivyo.So Josephine si tatizo kwa chama na tunahitaji aendelee kuwa alivyo maana CDM haihitaji kuiga njia za Kijima za CCM kujijenga na wala haijawahikuhitaji kujifunza toka CCM ili kujijenga.Na haijawahi kutokea CCM wakatoa ushauri wa kujenga chadema bali wanachadema wenyewe na hasa wenye uchungu na nchi yao.
Nia yangu ni kuonyesha mapungufu yaliyo ndani ya CDM ili wayafanyie kazi. Kumbuka CDM bado ni chama kichanga, tunahitaji kuwapa mawazo ili kuwasaidia wakue, waweze kuleta changamoto kwa chama tawala ili mwishowe tuwe na nchi yenye demokrasia ya kweli.
Tukirudi kwenye mada husika. Huoni kama huyu mama ni tatizo mpaka anafikiria kuwa mshindani wa mwanachama mwenzake tena kwenye jimbo ambalo lipo kwenye mikono ya CDM? Hapa kwa tafsiri yangu ameona kuwa H. Mdee ameshindwa kufanya kazi yake!
Possible wewe ukawa msemaji wa Nape maana yeye alikiri siku chache zilizopita kuwa hushindwa kujibu hoja kwasababu anzozijua yeye.Japo naamini ktk siasa mambo yote huwekana kutokea usipopategemea so sishangai lakini ushauri kwa CDM ili iweje?je,kuna nini cha kujifunza toka CCM?Hujibu kama Nape kwa kutumia mojawapo ya ID zake nyingi humu!
Ndio chama kimeamua kuwa hivyo. Katibu mkuu anautaka urais na wake zake wote wawili ubunge
Great thinkers wanaacha kujadili habari wanamjadili Ritz . Haya, time will tell, labda mama huyu asiyekuwa na haya na mumewe wabadili mawazo juu ya Josephine kutaka kugombea ubunge Kawe kwa ticket ya CDM
Wamlete wamlete tumle hasusa ya kisiasa!Tatizo huyu mchumba wa Slaa ni much know sana!! Ulishawahi kumsikia mke wa Mbowe au wa kiongozi yoyote wa CDM???
Inabidi ajifunze kujiweka chini ili watu wamkweze! Siyo kila kitu anakirukia rukia tu hovyo hovyo!
Nadhani ndugu Rejao anajua siasa ndiyo maana anakubali mjadala ktk jukwaa,kilicholetwa ni tetesi soma tena pale juu na mleta hoja ni mwanachama mwaminifu wa chama cha mapinduzi na hajaeleza source ya tetesi yake na hilo ktk mchango wangu wa kwanza nimeuliza na sijapewa majawabu mpaka sasa.si vizuri kudandia usilolijua mkuu,nakuheshimu sana na ninaamini hapa ni sehemu ya kujadili mambo yetu yaliyoko ktk jamii in 3D.Je Ungependa Rejao aone nini?!Jaribu kukua kifikra.Mkuu Rejao UMEMUONA HUYU??!!,SI NILIKWAMBIA?!
Chama kimeamua wapi? Lini? haujui kuwa ni haki kikatiba mtu kugombea?
Possible wewe ukawa msemaji wa Nape maana yeye alikiri siku chache zilizopita kuwa hushindwa kujibu hoja kwasababu anzozijua yeye.Japo naamini ktk siasa mambo yote huwekana kutokea usipopategemea so sishangai lakini ushauri kwa CDM ili iweje?je,kuna nini cha kujifunza toka CCM?
Nadhani ndugu Rejao anajua siasa ndiyo maana anakubali mjadala ktk jukwaa,kilicholetwa ni tetesi soma tena pale juu na mleta hoja ni mwanachama mwaminifu wa chama cha mapinduzi na hajaeleza source ya tetesi yake na hilo ktk mchango wangu wa kwanza nimeuliza na sijapewa majawabu mpaka sasa.si vizuri kudandia usilolijua mkuu,nakuheshimu sana na ninaamini hapa ni sehemu ya kujadili mambo yetu yaliyoko ktk jamii in 3D.Je Ungependa Rejao aone nini?!Jaribu kukua kifikra.
Great thinkers wanaacha kujadili habari wanamjadili Ritz . Haya, time will tell, labda mama huyu asiyekuwa na haya na mumewe wabadili mawazo juu ya Josephine kutaka kugombea ubunge Kawe kwa ticket ya CDM
Wewe ni wale wale! Huwezi kuwa na jipya! Unataka tujadili majungu na chuki binafsi+ uchonganishi?
Utazidi kuumbuka huna lolote!