Josephine kugombea ubunge jimbo la Kawe

Josephine kugombea ubunge jimbo la Kawe

Naamini CDM misuguano haitakosa lakini misuguano hiyo ni kama nundu ya ng'ombe katu haiwezi kumuelemea.
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 yani uko sawa kabisa,lakini mimi kinachonisikitisha humu ndani kuna ushabiki ambao hauna maana hata kidogo,Mkuu kuna atu humu Jamvini wanaojiona kwamba wao ndio CDM wa kutupa na kwamba wana uchungu sana na Chama hicho wanaponda kila jambo hat kama ni la ukweli na hasa kama ni la ukweli hadi na matusi juu yake,hawajui kwamba mtu anaweza kuleta hoja humu ndani akiwa na nia ya wahusika walione ili walifanyie kazi kabla ya mambo ya kuharibika lakini utakavyoshambuliwa huwezi amini.

Nataka nikwambie hali hii imekuwa ikisababisha badhi ya watu kuamua kujiondoa CDM kutokana tu na Comment za badhi ya watu wnaojifanya kwamba wao ni CDM wa kutupwa humu ndani,sasa sijui ili uonekane wewe ni CDM ni laima uponde kila hoja ya mtu unayeona hakuungi mkono,ama kuunga mkono kilahoja inayotolewa na mwanCDM?,Mi nakwambia bada ya muda mfupi utaniambia!!!!!!
Kwa iyo na ww umeona hii ni hoja,ww unaujua ukwel au umemezeshwa,.acha kukariri..hakuna anaejifanya anajua wakat alishajua..JITAMBUE SIO UNAKARIR
 
Mkuu blueray,
Acha siasa za makengeza kwa hiyo wewe unakataa au?

Hizo ni siasa uchwara ambazo zimepangwa na kuenezwa na mafisadi ili kujaribu kueneza dhana yao kwamba hata CHADEMA kuna mgawanyiko.

Kwani Mkuu Mwananchi ni gazeti la nani?

Kwani hatujui kwamba kuna mikakati mahsusi ya ndani ya magamba kuhujumu harakati za M4C na kujaribu kutengeneza nyufa ndani ya CHADEMA?

Ila Mkuu pamoja na u radical wako wa kutetea magamba tunategemea M4C itawakomboa watu kama wewe pia na kuwaweka huru kifikra
 
Huyu jamaa kila siku Chadema ati kasema kada wa siku nyingi teh teh teh tangu lini Chadema kukawa na makada?Ritz Chadema hakuna makada kuna Makamanda.Yaani Chadema itakutia Mimba kabisa maake hukai one week bila kutaja Chadema hivi Kikwete/Nape ndio wanakutuma humu??
 
Bado unautaka Urais? Ama kweli Dr Slaa ni mwiba mchungu kwako.Hujasoma Tanzania Daima la Jumatano jinsi Dr Slaa alivyokutupa mbali.
Huna hata aibu msaidizi unakuja kumchimba bosi wako kwa thread za majungu.

Mkuu yani wewe upo hapahapa JF habari unakuja kuisomea gazetini, hahahaa hustahili hata kujadili na mimi
 
Wewe ni wale wale! Huwezi kuwa na jipya! Unataka tujadili majungu na chuki binafsi+ uchonganishi?

Utazidi kuumbuka huna lolote!

Ruttashobolwa mshauri dada yako akagombee kule kijijini kwenu, aachane na Mdee
 
Ritz source ya hii taarifa ni wapi? Au kichwani mwako wewe mwenyewe na wanaCCM wenzio?

Wanabodi.

Joto la Uchaguzi Mkuu linazidi kupamba moto baadhi ya makada wa Chadema wameanza kutangaza nia zao za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho. Habari za ndani kabisa kutoka Makao Makuu ya Chadema pale Kinondoni Mtaa wa Ufipa kupitia kwa kada wa siku nyingi wa Chadema zinasema kuwa Josephine Mshumbusi, amejiandaa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia Chadema mwaka 2015.

Jimbo la Kawe kwa sasa linaongozwa na Mbunge Halima Mdee, kupitia Chadema pia, inasemekana imetokea sintofahamu kati ya Halima Mdee na uongozi wa juu wa Chadema baada ya Josephine, kutangaza nia yake ya kulitaka jimbo la Kawe imefikia mpaka Halima Mdee kususia mikutano na harakati za M4C.

mrsslaaa.jpg
 
Raundi Hii sio Mchezo, kumbe wachumba wa Wazee wenye wajukuu wenye wachumba wa Chama Cha CHALEMA ah! CHADEMA wanagombea.. CHADEMA Kwisha Kabisa
 
Kumekucha tena Chadema Dr. Slaa ameanza harakatibza chini chini kumuandaa mzazi mwenzie Josephine Mshumbusi kumrithi Halima Mdee ktk kiti cha ubungu
 

Attachments

  • 1421404709115.jpg
    1421404709115.jpg
    85.3 KB · Views: 547
Gazeti hoja !'''' Makada wa ssssm''', makanjanja ;;;; wasaniii watupu ''' wamsingizia mwilima si raia
 
Kumekucha tena Chadema Dr. Slaa ameanza harakatibza chini chini kumuandaa mzazi mwenzie Josephine Mshumbusi kumrithi Halima Mdee ktk kiti cha ubungu

Hayo ndiyo yale magazeti yaliyosababisha CCM kufilisika kwa vile yanachukua ruzuku kutoka katika chama huku yakiwa hayako katika bajeti.
Huu wote ni woga kwa Halima Mdee hivyo mnaleta umbea wa kuwakosanisha watu.
 
Kumekucha tena Chadema Dr. Slaa ameanza harakatibza chini chini kumuandaa mzazi mwenzie Josephine Mshumbusi kumrithi Halima Mdee ktk kiti cha ubungu

Hili gazeti ni tawi la gazeti la Uhuru, kwa bahati mbaya sijawahi kutana na mtu akisoma hicho kipeperushi.
 
Kumekucha tena Chadema Dr. Slaa ameanza harakatibza chini chini kumuandaa mzazi mwenzie Josephine Mshumbusi kumrithi Halima Mdee ktk kiti cha ubungu

Ni aibu kwa kijana wa ccm kukosa hoja zenye mtazamo chanya bali unakaa kujadili watu tena sio kwa fact bali kwa propaganda za kizamani. Udhaifu huu ni mkubwa sana kwa wanaccm walio wengi kuanzia vijana mpaka wazee wa ccm wote wanakabiliwa na udhaifu huu. Kwa hoja kama hizi tutegemee nini? ITV wametangaza kutakuwa na midahalo ya wagombea wa urais kwa kushirikiana na Udassa, hapa ndio tutajua nyinyi ni viongozi wa aina gani. Kwa ujengaji huu wa hoja natarajia kutokumuona mgombea yoyote kwenye midahalo hiyo huru kwani hii ndio aina ya siasa zenu, Je aina hii ya siasa zitatuwezesha kupata kiongozi bora sisi wananchi? Tuwashukuru sana ITV na Udassa na hakutakuwa na nafasi ya kupewa maswali pembeni ili mje mpige propaganda tutataka mtu aje aulizwe maswali na ayajibu kwa ufasaha ni jinsi gani ataliongoza taifa. Hapo ndio tutaona kama mtawatapikia wananchi huu upuuzi ama ule unaofanywa na wabunge wenu kule bungeni kwa kusemaa ndiooooo kwa kila kitu.
 
Hayo ndiyo yale magazeti yaliyosababisha CCM kufilisika kwa vile yanachukua ruzuku kutoka katika chama huku yakiwa hayako katika bajeti.
Huu wote ni woga kwa Halima Mdee hivyo mnaleta umbea wa kuwakosanisha watu.
Muulize Mushumbusi kama siyo kweli, huku mitaani zimeshazagaa sana.
 
Back
Top Bottom