Josephine kugombea ubunge jimbo la Kawe

Josephine kugombea ubunge jimbo la Kawe

Hivi hujui kusoma? We ujaona kaweka chanzo kuwa ni mtu wa cdm makao makuu?

RITZ Mkuu wangu,
naomba mwisho wa habari hii uandike chanzo cha habari husika

CHANZO:GAZETI LA HOJA
LA TAR.30/11/2012
PEJI YA KWANZA NA YAPILI
 
Tunte na akili za samaki wanakamilisha ujira wa mwia hongereni
 
Kume ni tetesi hainaga shida hata huku mtaani tumesikia tetesi na wewe unataka kugombea chalinze mwaka 2015 ndio maana hauelewani na rizmoko.
 
Kumbuka kila kitu kina mipaka yake. Kuna mambo ambayo anaweza kuyaongelea na mengine hawezi. Kuna wakati mwingine huwa anatoa majibu kwa mambo ambayo hakupaswa na mengine huwa anapotosha kabisa. Kumbuka watu wanaimani kuwa, anachoongea yeye ndio msimamo wa Slaa!
Kama kweli huwa anapotosha basi ni tatizo,nakubaliana kuhusu mipaka lakini kwanini wewe wa chama tofauti na Josephine uje kumsema ilihali wapo viongozi waandamizi hawajalisemea hili kama si lile genge lenye ajenda binafsi ktk chama?!Kwanini iwe ni wewe Rejao uje kutusemea sisi CDM na wewe ni mwanaCCM je,huoni tatizo hapo mkuu? Je,wewe ni aina ile ya wanachama cha mapinduzi ambao wana-ndimi mbili?!Naamini ktk uhuru wenye mipaka na ninaamini ktk nidhamu lakini pia naamini ktk usawa na bado naamini ktk ukweli.Kwanini wewe ukereketwe na jambo lisilokuhusu? Huu uchungu kwa chadema umeutoa wapi? Au ndo mkakati wa kupunguza nguvu ya chadema? Maana muanzisha mada ni Ritz na mjenga hoja ni Rejao kama ungekuwa ni wewe ungefikiriaje? Mimi na wewe tunajadili na hatuhitaji kusutana ktk hoja zetu ila wewe mwanajukwaa mwenzangu waonaje? Je,mnamtendea haki Josephine?Hii ni kwa maslahi ya nani hizi za kutaka kumnyamazisha?!
 
Last edited by a moderator:
Great thinkers wanaacha kujadili habari wanamjadili Ritz . Haya, time will tell, labda mama huyu asiyekuwa na haya na mumewe wabadili mawazo juu ya Josephine kutaka kugombea ubunge Kawe kwa ticket ya CDM
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi.

Joto la Uchaguzi Mkuu linazidi kupamba moto baadhi ya makada wa Chadema wameanza kutangaza nia zao za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho. Habari za ndani kabisa kutoka Makao Makuu ya Chadema pale Kinondoni Mtaa wa Ufipa kupitia kwa kada wa siku nyingi wa Chadema zinasema kuwa Josephine Mshumbusi, amejiandaa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia Chadema mwaka 2015.

Jimbo la Kawe kwa sasa linaongozwa na Mbunge Halima Mdee, kupitia Chadema pia, inasemekana imetokea sintofahamu kati ya Halima Mdee na uongozi wa juu wa Chadema baada ya Josephine, kutangaza nia yake ya kulitaka jimbo la Kawe imefikia mpaka Halima Mdee kususia mikutano na harakati za M4C.

mrsslaaa.jpg


Kesho nisipoona thread ya kupongezana majembe JF kwa kujibu hoja nitafikiria kujiuzulu humu ndani.
Sasa naona umekuja na single mpya mkuu. All the best kwenye party ya kupongezana.
 
Hivi hamuwez mkaicha thread ya Ritz gamba bia comments?
 
Kama kweli huwa anapotosha basi ni tatizo,nakubaliana kuhusu mipaka lakini kwanini wewe wa chama tofauti na Josephine uje kumsema ilihali wapo viongozi waandamizi hawajalisemea hili kama si lile genge lenye ajenda binafsi ktk chama?!Kwanini iwe ni wewe Rejao uje kutusemea sisi CDM na wewe ni mwanaCCM je,huoni tatizo hapo mkuu? Je,wewe ni aina ile ya wanachama cha mapinduzi ambao wana-ndimi mbili?!Naamini ktk uhuru wenye mipaka na ninaamini ktk nidhamu lakini pia naamini ktk usawa na bado naamini ktk ukweli.Kwanini wewe ukereketwe na jambo lisilokuhusu? Huu uchungu kwa chadema umeutoa wapi? Au ndo mkakati wa kupunguza nguvu ya chadema? Maana muanzisha mada ni Ritz na mjenga hoja ni Rejao kama ungekuwa ni wewe ungefikiriaje? Mimi na wewe tunajadili na hatuhitaji kusutana ktk hoja zetu ila wewe mwanajukwaa mwenzangu waonaje? Je,mnamtendea haki Josephine?Hii ni kwa maslahi ya nani hizi za kutaka kumnyamazisha?!
Nia yangu ni kuonyesha mapungufu yaliyo ndani ya CDM ili wayafanyie kazi. Kumbuka CDM bado ni chama kichanga, tunahitaji kuwapa mawazo ili kuwasaidia wakue, waweze kuleta changamoto kwa chama tawala ili mwishowe tuwe na nchi yenye demokrasia ya kweli.

Tukirudi kwenye mada husika. Huoni kama huyu mama ni tatizo mpaka anafikiria kuwa mshindani wa mwanachama mwenzake tena kwenye jimbo ambalo lipo kwenye mikono ya CDM? Hapa kwa tafsiri yangu ameona kuwa H. Mdee ameshindwa kufanya kazi yake!
 
Last edited by a moderator:
Naomba nikuulize jambo moja,wewe huwa unajibu mambo mazito ya chama cha mapinduzi hapa jamvini na hata ktk mijadala huwa unatetea chama cha mapinduzi je wewe ni nani ktk chama chako?!

Hujibu kama Nape kwa kutumia mojawapo ya ID zake nyingi humu!
 
Nia yangu ni kuonyesha mapungufu yaliyo ndani ya CDM ili wayafanyie kazi. Kumbuka CDM bado ni chama kichanga, tunahitaji kuwapa mawazo ili kuwasaidia wakue, waweze kuleta changamoto kwa chama tawala ili mwishowe tuwe na nchi yenye demokrasia ya kweli.

Tukirudi kwenye mada husika. Huoni kama huyu mama ni tatizo mpaka anafikiria kuwa mshindani wa mwanachama mwenzake tena kwenye jimbo ambalo lipo kwenye mikono ya CDM? Hapa kwa tafsiri yangu ameona kuwa H. Mdee ameshindwa kufanya kazi yake!

Unalosema uko sawa lakini nadhani baada ya muda mfupi utaanza kujilaumu kwa nini umeamua kutoa comment hii mkuu,kuna watu watakupa za uso huu mpaka utashangaa,ni wazi kwamba hakuna mtu aliyekamilika,vivyo hivyo hata kwa vyam hakuna chama ambacho kimekamilika kwa kila kitu kwa sababu kinaongozwa tu na hao hao watu ambao hawana ukamilifu,lakini kuna watu humu ambao hawataki kusikia kitu ukweli ila wako tayario kukushabikia ili mradi tu umesema jambo la kuwafurahisha.
 
Mkuu Josephine hebu njoo umalize huu mnada sisi tujipumzishe kuliko kutoa povu humu na wakati wahusika mpo humu.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe josephine anataka awe mbunge kama mke mwenzie?aisee si watapingana wao kwa wao?maana mke mmoja hawezi msifia mke mwinzie,dah!chadema ni nouma.
 
Unalosema uko sawa lakini nadhani baada ya muda mfupi utaanza kujilaumu kwa nini umeamua kutoa comment hii mkuu,kuna watu watakupa za uso huu mpaka utashangaa,ni wazi kwamba hakuna mtu aliyekamilika,vivyo hivyo hata kwa vyam hakuna chama ambacho kimekamilika kwa kila kitu kwa sababu kinaongozwa tu na hao hao watu ambao hawana ukamilifu,lakini kuna watu humu ambao hawataki kusikia kitu ukweli ila wako tayario kukushabikia ili mradi tu umesema jambo la kuwafurahisha.
Penye ukweli lazima tuseme mkuu. Inabidi wajifunze kukubali kukosolewa kwani makosa ni sehemu ya kujifunza.
 
Saburi ni saburi tu kamwe haliwezi kushika kichwa
 
Back
Top Bottom