Uchaguzi 2020 Joseph Selasini, aviangukia vyama kuwasamehe vijana walioshindwa kura za maoni baada ya kuvihama vyama vyao

Hovyo sana ni bora alipoondoka ,chama kinabaki na watu makini siyo hawa malaya wa kisiasa.
 
Lijualikali kazi aliyoomba ya kufagia na kusafisha vyoo Lumumba tayari ameshapata.
Afike mara moja kuanza kazi na sisi tutakuwa tunakunya mavi mengi pembeni ya sinki ili jasho limvuje hadi kwenye tigo yake wakati wa kusafisha.
 
Anatamani Kurudi Chadema. Hiyo ameomba msamaha kitu uzima. Ndio basi tena Mh Selasini kula hizo hizo ulizolipwa na jpm kwa mgongo wa Mbatia
 
Mpuuzeni huyu ni mlevi tu maneno yake binafsi wala hajatumwa na waRombo au warombo mnasemaje ? Mfokeeni ebo! 😂😂😂😂
 
Mwambie kuunga juhudi hakuna deadline,hao walihama kuunga juhudi Sasa sijui kuunga juhudi huwa na deadline?
Hao wamefata demokrasia CCM baada ya walipotoka kutokuwa na demokrasia,
 
Kabisa hatakaa asahau milele huyu dogo aisee ndio basi tena... bila aibu jana kaanza kumshambulia Lisu eti hakuna kura za huruma. Na bado mpk atatembelea lapa awaulize wenzake
Waliingizwa kingi hawakujua yule mzee ni msanii lengo lilikuwa kuwaharibia potepote.
 
Nilidhani 30 angewashauri hao vijana watumie pesa zao za kiinua mgongo kujiajiri coz huwa wanasema fursa ni nyingi sana hii nchi ila vijana niwavivu tu. Suala la kujiajiri lisikieni tu...
 
Heri kenda kuliko kumi nenda uje.

Tatizo la wahamaji huondoka kwa kunyea kambi, waliondoka kwa mbwembwe nyingi sana!

Wengine wakiuza kura za wananchi kwa vipande vya fedha kwa dhamana ya vyama vyao, wapumbavu sana!
 
Huyo anadhani ni mjanja kama sungura, anatumia huo mkutano kuwaomba hao wasaka tonge wakajiunge na NCCR.

Kwakuwa ni chama dhaifu basi wayapokee masaliti tu maana hawana chao tena kisiasa hapa Tanzania.
 
Teuzi za kupeana kama mahindi ya kuchoma safari hii hakuna maana kinaingia chuma kipya pale mjengoni.
Wasubiri teuzi
photo%20266%2012-18-0.jpeg
 
Naona anatuandaa kuwapokea vijana hao kama wagombea ubunge kupitia nccr
Mbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura za maoni kwa kuwa walishaonesha wanao uwezo wa kufanya kazi.

Selasini ametoa kauli hiyo hii leo Agosti 7, 2020, Jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza kwenye mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi na kuongeza kuwa vijana hao wanapashwa kuwapokea na kisha kuwalea na kuwarekebisha kwenye makosa yao na kuwapa nafasi za uongozi.

"Naviomba vyama vyote, chama changu cha NCCR-Mageuzi, CCM, CHADEMA tusiwatupe vijana, hata vijana ambao walihama kutoka CHADEMA kwenda CCM wakaenda kushindwa kwenye kura za maoni, tunajua vijana wanavyotangatanga hata katika kutafuta uchumba, wanatafuta fursa fungueni milango hao vijana warudi waweze, kufanya kazi ya Watanzania" amesema Selasini.

CC: Lijualikali.
 
NCCR ni chama dhaifu sana na viongozi wao wote hawana maono ya kukiendesha chama kisiasa
Kwahiyo ni rasmi sasa siasa ndio kila kitu..tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma ..
Badala washauriwe kutumikia fani zao kuna mtu anawaombea wasitupwe
 
Back
Top Bottom