Uchaguzi 2020 Joseph Selasini, aviangukia vyama kuwasamehe vijana walioshindwa kura za maoni baada ya kuvihama vyama vyao

Na je waliondokaje huko walipotoka?.

Na kwani wao hawawezi kuwatumikia Wananchi bila kuwa na wadhfa?...maana huko walipoenda wameshindwa tu kwenye kura za maoni ila bado ni Wanachama.
 
Kwahiyo ni rasmi sasa siasa ndio kila kitu..tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma ..
Badala washauriwe kutumikia fani zao kuna mtu anawaombea wasitupwe
wamesomea political science mkuu, ndiyo fani yao. Sawa na dokta,lawyer,teacher. huku kwingine hawawezi,
 
Huyu mzee ni mpumbavu aliyepindukia. Mods nisameheni. Kwa iyo siasa zinazobeba hatma ya maisha yetu watanzania yeye anataka tuzichukulie kama fursa za kimaisha?????

Huyu mtu bora aliondoka Chama makini chadema. Kwa akili hizi anastahili kuwepo huko NCCR au CCM ambalo watu wanachukulia hatma za maisha zetu kama fursa zao za kiuchumi.

Kanipa hasira sana. Ndo mana nchi hii hatuendelei kwa kweli. Akili kama hizi hazitakiwi kabisa kuwepo kwenye kada ya uongozi
Mzee means equal to your daddy, hupaswi kumuita mpumbavu, he can marry your ........ suprisingly be your step father enjoy your daddy's bed. respet elders whatever their statements.
ushauri tu, unazeeka pia few years to come.
 
Kwahiyo ni rasmi sasa siasa ndio kila kitu..tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma ..
Badala washauriwe kutumikia fani zao kuna mtu anawaombea wasitupwe
Kwa hili tuwashukuru sana Chadema chini ya Dr. Slaa. Enzi akina Mnyika, Zitto, etc. wametoka chuo na kuingia mjengoni, gafla wakawa watu, ilituonyesha fursa mwanana pekee kwa vijana ni siasa.
 
Mbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura za maoni kwa kuwa walishaonesha wanao uwezo wa kufanya kazi.

Selasini ametoa kauli hiyo hii leo Agosti 7, 2020, Jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza kwenye mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi na kuongeza kuwa vijana hao wanapashwa kuwapokea na kisha kuwalea na kuwarekebisha kwenye makosa yao na kuwapa nafasi za uongozi.

"Naviomba vyama vyote, chama changu cha NCCR-Mageuzi, CCM, CHADEMA tusiwatupe vijana, hata vijana ambao walihama kutoka CHADEMA kwenda CCM wakaenda kushindwa kwenye kura za maoni, tunajua vijana wanavyotangatanga hata katika kutafuta uchumba, wanatafuta fursa fungueni milango hao vijana warudi waweze, kufanya kazi ya Watanzania" amesema Selasini.

CC: Lijualikali.
Si wapokelewe NCCR
 
Ushauri wa kipumbavu kabisa, inamaana kuwa akina Makonda na wenzake walioshindwa kwenye kura za maoni wasamehewe warudie nafasi zao wakati nafasi walizozikimbia zina watu tayari?.
 
selasini siyo kwa urembo huo. ni mtu anyependa ule mchezo wa kukunwa nyuma ndio maana alikubali kununuliwa
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom