Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamesomea political science mkuu, ndiyo fani yao. Sawa na dokta,lawyer,teacher. huku kwingine hawawezi,Kwahiyo ni rasmi sasa siasa ndio kila kitu..tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma ..
Badala washauriwe kutumikia fani zao kuna mtu anawaombea wasitupwe
Watavuna walichokipanda Malipo Mungu karahisisha sana ni Hapa Hapa DunianiWajiajiri si wametukamua 250mil za kiinua mgongo tatizo liko wapi?
Mzee means equal to your daddy, hupaswi kumuita mpumbavu, he can marry your ........ suprisingly be your step father enjoy your daddy's bed. respet elders whatever their statements.Huyu mzee ni mpumbavu aliyepindukia. Mods nisameheni. Kwa iyo siasa zinazobeba hatma ya maisha yetu watanzania yeye anataka tuzichukulie kama fursa za kimaisha?????
Huyu mtu bora aliondoka Chama makini chadema. Kwa akili hizi anastahili kuwepo huko NCCR au CCM ambalo watu wanachukulia hatma za maisha zetu kama fursa zao za kiuchumi.
Kanipa hasira sana. Ndo mana nchi hii hatuendelei kwa kweli. Akili kama hizi hazitakiwi kabisa kuwepo kwenye kada ya uongozi
Kwa hili tuwashukuru sana Chadema chini ya Dr. Slaa. Enzi akina Mnyika, Zitto, etc. wametoka chuo na kuingia mjengoni, gafla wakawa watu, ilituonyesha fursa mwanana pekee kwa vijana ni siasa.Kwahiyo ni rasmi sasa siasa ndio kila kitu..tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma ..
Badala washauriwe kutumikia fani zao kuna mtu anawaombea wasitupwe
JF raha sana 😂😂😂😂😂
Mhm OKKwa hili tuwashukuru sana Chadema chini ya Dr. Slaa. Enzi akina Mnyika, Zitto, etc. wametoka chuo na kuingia mjengoni, gafla wakawa watu, ilituonyesha fursa mwanana pekee kwa vijana ni siasa.
Wajiajiri si wametukamua 250mil za kiinua mgongo tatizo liko wapi?
Si wapokelewe NCCRMbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura za maoni kwa kuwa walishaonesha wanao uwezo wa kufanya kazi.
Selasini ametoa kauli hiyo hii leo Agosti 7, 2020, Jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza kwenye mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi na kuongeza kuwa vijana hao wanapashwa kuwapokea na kisha kuwalea na kuwarekebisha kwenye makosa yao na kuwapa nafasi za uongozi.
"Naviomba vyama vyote, chama changu cha NCCR-Mageuzi, CCM, CHADEMA tusiwatupe vijana, hata vijana ambao walihama kutoka CHADEMA kwenda CCM wakaenda kushindwa kwenye kura za maoni, tunajua vijana wanavyotangatanga hata katika kutafuta uchumba, wanatafuta fursa fungueni milango hao vijana warudi waweze, kufanya kazi ya Watanzania" amesema Selasini.
CC: Lijualikali.
Kama ni hivyo wapewe kazi za kudeki Lumumba huko ili waitane hayo majinaKuitwa Mheshimiwa nako ni raha
Alafu siku hizi linaitwa Mtakatifu Joseph wa SelasiniJana nmeliona pale Hongera baa linakata masanga
Kule waheshimiwa sana ni Dr Bashiru na Comrade Polepole .Kama ni hivyo wapewe kazi za kudeki Lumumba huko ili waitane hayo majina
Hiki ni kitu ambacho huwa kinanikwaza sana.tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma
Yeye maisha yalivyomshinda nje ya siasa anafikiria kila mtu yuko hivyo.Yaani Selasini anaamini bila siasa vijana watakufa njaa.