Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kina Lijualikali wanajuta na kulia na hakuna wa kuwapa pole maana wanacho kipata ndiyo malipo yao
Huyu mzee vip? Kwani huko walikohamia hakuna vijana? Wapambane....na hilo liwe funzo la kupenda hela za muda mfupi kwa hawa vijana