Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Hawakuelewa ule usemi "...za kuambiwa...!!"Zimenunuliwa gari mpya za kampeni nadhani lijuabaridi atazimia tena akiziona,aliacha kura 75000 CDM akafata kura 7 ccm
Hawakuelewa ule usemi "...za kuambiwa...!!"Zimenunuliwa gari mpya za kampeni nadhani lijuabaridi atazimia tena akiziona,aliacha kura 75000 CDM akafata kura 7 ccm
Kwani wameanza kutapatapa? Wafanye hata biashara si huwa wanahamasisha vijana wengine wajiajiri? Kwa nini inakuwa ngumu kwao kujiajiri?Mbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura za maoni kwa kuwa walishaonesha wanao uwezo wa kufanya kazi.
Selasini ametoa kauli hiyo hii leo Agosti 7, 2020, Jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza kwenye mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi na kuongeza kuwa vijana hao wanapashwa kuwapokea na kisha kuwalea na kuwarekebisha kwenye makosa yao na kuwapa nafasi za uongozi.
"Naviomba vyama vyote, chama changu cha NCCR-Mageuzi, CCM, CHADEMA tusiwatupe vijana, hata vijana ambao walihama kutoka CHADEMA kwenda CCM wakaenda kushindwa kwenye kura za maoni, tunajua vijana wanavyotangatanga hata katika kutafuta uchumba, wanatafuta fursa fungueni milango hao vijana warudi waweze, kufanya kazi ya Watanzania" amesema Selasini.
CC: Lijualikali.
Uko sahihi 100%Kwahiyo ni rasmi sasa siasa ndio kila kitu..tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma ..
Badala washauriwe kutumikia fani zao kuna mtu anawaombea wasitupwe
Na Hasa Silinde anajifanya yeye eti Mchumi Mahiri...si aanze sasa kutoa mihadhara kwenye Vyuo Vikuu mbalimbali duniani?😀Kwahiyo ni rasmi sasa siasa ndio kila kitu..tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma ..
Badala washauriwe kutumikia fani zao kuna mtu anawaombea wasitupwe
Wewe huu muziki munene hautegemei kuegemea wenyewe ndio unegemewaKudadadeeeki bundle limekata na Chakubanga yupo kwao Idindili
yaani zamani nilikuwa na heshimu watu wa kasikazini kwa kuwa na akili na misimamo ya maana lakini utawala wa Magufuli umesaidia kujuwa watu kwa uhalisia wao. na kwasababu hiyo nimegunduwa ujinga hauna kabila. hata kasikazini tumeona Magufuli na polepole wakirubuni wajinga kibao kwa ahadi hewa.Huyu mzee ni mpumbavu aliyepindukia. Mods nisameheni. Kwa iyo siasa zinazobeba hatma ya maisha yetu watanzania yeye anataka tuzichukulie kama fursa za kimaisha?????
Huyu mtu bora aliondoka Chama makini chadema. Kwa akili hizi anastahili kuwepo huko NCCR au CCM ambako watu wanachukulia hatma za maisha zetu kama fursa zao za kiuchumi.
Kanipa hasira sana. Ndo mana nchi hii hatuendelei kwa kweli. Akili kama hizi hazitakiwi kabisa kuwepo kwenye kada ya uongozi
Huko walikohamia kuna waliowakuta ambao wametumikia Vyama vyao Kwa Mapenzi, Utii, Shida na Raha na Uvumilivu. Waliokutwa ndio Wanàstahili Uongozi . Leo Wageni wasiojua ABC za Vyama walivyohamia Wapewe Uongozi Kwa Lipi? au Pongezi ya Kusaliti Vyama vilivyotoka? Kama wamehamia huko Kwa Mapenzi ya dhati wapimwe Kwa Kunyimwa Uongozi/ Madaraka Kwa 5 Years.Mbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura za maoni kwa kuwa walishaonesha wanao uwezo wa kufanya kazi.
Selasini ametoa kauli hiyo hii leo Agosti 7, 2020, Jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza kwenye mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi na kuongeza kuwa vijana hao wanapashwa kuwapokea na kisha kuwalea na kuwarekebisha kwenye makosa yao na kuwapa nafasi za uongozi.
"Naviomba vyama vyote, chama changu cha NCCR-Mageuzi, CCM, CHADEMA tusiwatupe vijana, hata vijana ambao walihama kutoka CHADEMA kwenda CCM wakaenda kushindwa kwenye kura za maoni, tunajua vijana wanavyotangatanga hata katika kutafuta uchumba, wanatafuta fursa fungueni milango hao vijana warudi waweze, kufanya kazi ya Watanzania" amesema Selasini.
CC: Lijualikali.
Yeye mwenyewe aombe msamahaMbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura za maoni kwa kuwa walishaonesha wanao uwezo wa kufanya kazi.
Selasini ametoa kauli hiyo hii leo Agosti 7, 2020, Jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza kwenye mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi na kuongeza kuwa vijana hao wanapashwa kuwapokea na kisha kuwalea na kuwarekebisha kwenye makosa yao na kuwapa nafasi za uongozi.
"Naviomba vyama vyote, chama changu cha NCCR-Mageuzi, CCM, CHADEMA tusiwatupe vijana, hata vijana ambao walihama kutoka CHADEMA kwenda CCM wakaenda kushindwa kwenye kura za maoni, tunajua vijana wanavyotangatanga hata katika kutafuta uchumba, wanatafuta fursa fungueni milango hao vijana warudi waweze, kufanya kazi ya Watanzania" amesema Selasini.
CC: Lijualikali.
Na Tena wakatufokeaTena wakatutukana
Mpuuzeni huyu ni mlevi tu maneno yake binafsi wala hajatumwa na waRombo au warombo mnasemaje ? Mfokeeni ebo!
Ng'ombe kabisa hawa jamaa...... Nasikia lijualikali kamekua kalevi balaa muda si mrefu katakua kaendawazimuTena wakatutukana
Hahahaaa....... Ngumu kumezaKwa namna moja au nyingine kuna pointi.
Mtu hujifunza zaidi pale anapofanya makosa.
Tusishindwe na ccm imewapokea walio wao hadi Lowasa.
Nasi tuwapokee lakini wakae karantini...chini ya uangalizi kwa muda wa kutosha
Shithole kabisa....Mkuu hao kama motivation speaker maneno mengi ila hakuna wanachojua
Kabisa yani...... Zile ngebe zile ni laana tosha....Watavuna walichokipanda Malipo Mungu karahisisha sana ni Hapa Hapa Duniani
Kwa hiyo unataka tumsaidieje mkuu...Kalai( Katambi) hakuwa mbunge
Mbatia kachemka sn..... Hata km walimuahidi km walivofanya kwa lipumba lkn angeweka uzalendo mbele sio kuhujumu upinzani kizembe vileWahamie kwa hao nccr wasaka tonge