Joseph Selasini, a Square peg in a Round hole?

Joseph Selasini, a Square peg in a Round hole?

ok ok kumbe uko dar,nlidhan uko rombo. watu wa dar wanajua mchapakaz ni akina idd azan na zungu,njoo huku rombo tutakwambia bora Selasini mara mia kuliko mramba,waambie wazee wa dar wasiwe na uendawazimu kwa kuwa selasin hawezi kuleta maendeleo nd

Tupe walao la maana moja alilofanya tangia kaingia madarakani bila kuwa mnafiki
 
Mi niko Rombo, Tarakea hapa. Huyu mbunge wetu ovyo. tangia amechaguliwa hajawahi kuja kusikiliza kero za wananchi na anapopata nafasi ya kuongea hasemi la maana, zaidi anaunga mkono wabunge kuongezewa Posho.

Vijana wa Tarakea nawaaminia mna muda bado wa kumwangalia kama ni gamba lingine najua azabu ataipata ipasavyo 2015,nawaaminia hamtaki upumbavu
 
Akiwa THB mnamo miaka ya 1990 alihusika na wizi wa gari ya mwajiri wake. Ila Urassa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu akaipotezea kwa vile yeye ndiye alimleta THB.

Kha kha tupe in brief
 
Mi niko Rombo, Tarakea hapa. Huyu mbunge wetu ovyo. tangia amechaguliwa hajawahi kuja kusikiliza kero za wananchi na anapopata nafasi ya kuongea hasemi la maana, zaidi anaunga mkono wabunge kuongezewa Posho.

Cha maana alichosema mramba bungeni ni kwamba hata kama wananchi watakula nyasi lazima ndege ya raisi iniuuliwe. Kwani mramba aliwahi wapi kupigania posho kupunguzwa?
 
acha we upo tarakea ip sehemu gan selasin lazima uweke strategic unajua ishu ya tajir mauld ilivumbuliwa na nan alikuwa halip TRA toka lini

Kha na huyu anayejifanya kuisapoti ccm kumbe anakonufaika ni huko kwa mapato nilisikia alikuwa anafanya mishe apewe contract yakusamsa sukari rombo tangia imezuiliwa tujuze kama keshapewa
 
Tumalize ubishi WABUNGE WOTE WA CDM hakuna kitu kabisa HERI YA WALE WA CCM.Wabunge wa cdm hadi sasa maendeleo waliofanya majimboni ni MAANDAMANO na VURUGU tu.Kutaka kusikika kwenye vyombo vya habari.
Rostam aliyekaa 17 yrs Igunga kafanya nini?Usilete ubwege hapa...!
 
Selasini amka baba unakiangusha chama cha wapambanaji
 
Mungu asaidie but nadhani 2015 cdm na rombo itapata mbunge mwenye sifa hata mimi bado sijamkubal kabisa alipita kwa ule mkumbo wa ufisadi watu walichoka ma mramba ndo akapita sasa mpaka muda huu hajaongelea kuhusu sukari hata kuitisha maandamano'
 
Mkuu apewe muda gani tena anashindwa kutoa hata kauli ktk hili la sukari? kweli hata mimi katika hili kanikera saaaanaa, Muda wa kubadilika ndo huu asisubiri uchaguzi ufike ndo ajifanye anajua kubonga
wewe mbunge wa jimbo lako ni Majimarefu??
 
Tumalize ubishi WABUNGE WOTE WA CDM hakuna kitu kabisa HERI YA WALE WA CCM.Wabunge wa cdm hadi sasa maendeleo waliofanya majimboni ni MAANDAMANO na VURUGU tu.Kutaka kusikika kwenye vyombo vya habari.
Pole mkuu naona hujui kuwa CDM ni CHAMA UPINZANI na si chama tawala B wao hawapigi rangi upepo ni lazima wawajibike kama wananchi walivyo wachagua kama WAPINZANI mara nyingine uwe unajilazimisha kuelewa
 
Ktk pita pita zangu cku 1 Nilimckia akiongea na 4n! Namnukuu "Cmpnd mbowe..... Kwsbb anataka posho zifutwe hana akili kabisa" huyu jamaa moyo wake haupo chadema hata kidogo huyu ni kati ya wale walioingia bungeni na upepo wa dr slaa! Ila swala la jimbon me cjui ila ni mtu wa misifa hasa akiwa huku kwe2 dom!
 
Kaazi kweli kweli wengine hawajawahi kutembelea maeneo husika,lakini wanapiga domo utafikiri wanaishi huko,jamani acheni ushabiki wa kijinga.
 
Selasini amka baba unakiangusha chama cha wapambanaji

chama chake kiliishaanguka unataka kianguke mara ngapi?.mwaka 1995,2000,2005 na 2010.na 2015 kinapotekea kwenye ramani ya siasa kama DP.
 
Akiwa THB mnamo miaka ya 1990 alihusika na wizi wa gari ya mwajiri wake. Ila Urassa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu akaipotezea kwa vile yeye ndiye alimleta THB.

Duh! Lakini na wewe umechelewa sana kuibua hiyo kashfa kama kweli alihusika. Unaileta leo almost 20 years after!
 
Wananchi wa Rombo tumsaidie mbunge wetu,tumpe ushauri.Halmashauri ya Rombo ipo chini ya madiwani wa CCM,natoa wito hasa kwa vijana wenzangu tumsaidie Selasini.Kuna kila dalili tukizembea jimbo hili litarudi CCM
 
Tumalize ubishi WABUNGE WOTE WA CDM hakuna kitu kabisa HERI YA WALE WA CCM.Wabunge wa cdm hadi sasa maendeleo waliofanya majimboni ni MAANDAMANO na VURUGU tu.Kutaka kusikika kwenye vyombo vya habari.
Umemsahau jamaa yenu zitto. Na yy hajafanya kitu?
 
Akiwa THB mnamo miaka ya 1990 alihusika na wizi wa gari ya mwajiri wake. Ila Urassa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu akaipotezea kwa vile yeye ndiye alimleta THB.

yupi bora, JK alikwenda kufanyia kampeni pale Rombo ili Mramba achaguliwe wakati serikari yake ndio inamshitaki, na wewe unatukumbusha mambo ya wakati hata hatujazaliwa
 
Kuna thread iliyoondolewa jana na moderators sijui kwa maslahi ya nani. Ilikuwa inaripoti habari ya wabunge, akiwemo Selasini, kutaka kuongezewa posho na mishahara. Ndio uwakilishi tuliowatuma? Do we really need these thugs? Can't we do without them?
 
Niko na wazee na vijana kijiweni dar, kuna wa2 wa ROMBO wanalalamika wa2 wa kwao kumchagua Selasini.wanasema hajafanya chochote n anataka posho iongezwe.yeyote anaejua mazuri ya mh huyu anipe niwaelimishe coz wanasema bora mramba
gombeeni hilo jimbo kwa tiketi za NCCR/CCM manake nyie ni wazee wa kupika majungu
 
Nafikiri maendeleo ya mahali popote hayaletwi na Mbunge peke yake.Kumbuka kila mkoa kuna afisa maendeleo
wa mkoa na wilaya,na wote hao ni CCM.Je wao mchango wao ni upi?Mbona hao hamuwaoni kama ni tatizo?
 
Back
Top Bottom