Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 8,973
- 13,473
Wana Rombo musitegemee chochote toka kwa Selasini kwa vile huyu ni mnafiki sana hadi kwenye ngazi ya familia. Yuko radhi kuzua uongo wowote alimradi ashibishe tumbo lake. Kumbukeni mgogoro wa NCCR uliomleta Mbatia madarakani, Selasini aliweza kumdhalilisha kaka yake wa kuzsliwa pamoja Dr Masumbuko Lamwai kwa kutoa siri za makuzi yao. Kwa kitendo hicho maadui wa Lamwai akina Mvungi na Mbatia walipata point na kumuahidi cheo kwenye himaya yao. Nawatahadharisha vilevile muwe makini na raslimali zozote ambazo munazo kama vile mfuko wa maendeleo wa jimbo. Huyu Selasini si mwaminifu hata kidogo kwa mali ya umma. Kwenye miaka ya 1990s akiwa afisa usafirishaji wa THB aliwahi kuuza gari aina ya Suzuki mali ya benki na akadanganya kuwa imeibiwa. Menejimenti haikumchukulia hatua kwa vile aliletwa banki na Urassa aliyekuwa bosi wa THB.
Wakati wa uchaguzi ws 2010 ingekuwa vigumu sana kuwaaminisha wana Rombo kuwa huyu mtu ni bogus kwa vile naye amejaaliwa mdomo wa kuongea. Hivyo kubalini tu kuwa kimaendeleo ya jimbo imekula kwenu. Jipangeni upya kwa 2015.
Wakati wa uchaguzi ws 2010 ingekuwa vigumu sana kuwaaminisha wana Rombo kuwa huyu mtu ni bogus kwa vile naye amejaaliwa mdomo wa kuongea. Hivyo kubalini tu kuwa kimaendeleo ya jimbo imekula kwenu. Jipangeni upya kwa 2015.