Joseph Selasini, a Square peg in a Round hole?

Joseph Selasini, a Square peg in a Round hole?

Huyu jamaa kweli hata mie ananipa wasiwasi sana naona anarudisha nyuma harakati,hivi sasa ameingia kwenye marumbano na waandishi wa habari eti wanamuundia zengwe nani amuundie zengwe,zengwe anajiundia mwenyewe huyu kwa kushindwa kutimiza ahadi kwa wapiga kura wake.

Atekeleze wajibu wake....wananchi nao watekeleze wajibu wao.Mbunge ni daraja kati ya wananchi na Executive...........Haitakuwa Busara chama kupoteza jimbo kwa kumbeba mtu,ikifika 2015 kila mwenye haki ya kikatiba aitumie vizuri.Tumpe ushirikiano wa kutosha,tusiwape sababu za kushindwa kutekeleza ahadi na majukumu yao viongozi na wawakilishi wetu ifikapo 2015
 
CCM wasahau jimbo la Rombo kwa sasa.....Chadema hatutakubali jimbo hilo lirudi CCM.Najua kila kinachoendelea CCM kwa sasa,na mikakati yao kama chama huku wengine binafsi wakiendelea kujiandaa.........

CCM wana mbinu gani? na kwa nini unafikiri hawawezi kulichukua ukizingatia kuna kiongozi legelege kama Selasini
 
napenda nione mbunge wetu anashunghulikia masuala ya wanainchi akiwa pamoja nao sasa huyu selesini pugu na rombo wapi na wapi, je masuala ya rombo atayatua akiwa hapa pugu? ninapo muona kila jumapili kwa paroko
tumshauli huyu kamanda wetu aende kwenye wanja wake wa nyumbani tusiwe kama wabunge wa magamba wanaoishi dar wote
 
Atekeleze wajibu wake....wananchi nao watekeleze wajibu wao.Mbunge ni daraja kati ya wananchi na Executive...........Haitakuwa Busara chama kupoteza jimbo kwa kumbeba mtu,ikifika 2015 kila mwenye haki ya kikatiba aitumie vizuri.Tumpe ushirikiano wa kutosha,tusiwape sababu za kushindwa kutekeleza ahadi na majukumu yao viongozi na wawakilishi wetu ifikapo 2015
wananchi watatekelezaje majukumu yao kama kuna umbwe la uongozi?
 
CCM wana mbinu gani? na kwa nini unafikiri hawawezi kulichukua ukizingatia kuwa kiongozi legelege kama Selasini

Hilo swali sitalijibu......sitaki niwape faida

wananchi watatekelezaje majukumu yao kama kuna umbwe la uongozi?

Wananchi tumpe ushirikiano ilimradi yeye anakubali kushaurika.Wananchi waelewe majukumu ya mbunge na waelewe wajibu wao ni nini
 
Nilimfahamu alipokuwa Itaga Seminary.

1. Ni mtu hodari wa kuongea na kuwapa watu first impression nzuri sana, lakini baada ya muda hubadilika na kuonesha uhalisia wake ambao si mzuri sana. Hivyo tulimjua kuwa ni mnafiki sana.

Alipofika Itaga Seminary mwaka 1980 akiwa Form V alisadikisha wanafunzi kuwa anaweza uongozi lakini alipochaguliwa kuwa Kiranja Mkuu akawa kiongozi mbaya sana mpaka akaitwa ZAHAMA. Waseminari wa Itaga wa wakati huo walitafuta neno la kiswahili ambalo linatosha kumwelezea mtu mbaya sana wakapata hilo ZAHAMA. Nick name ya Selasini Itaga Seminari ilikuwa ZAHAMA.

Alitumia muda wake kujipendekeza kwa Mkuu wa Seminari na walimu, akawa kiongozi wa kuchongea na kufukuzisha wanafunzi wenzake badala ya kuwashauri, kuwahamasisha na kutetea maslahi yao.

Alichukiwa na wanafunzi wote.

2. Kitaaluma alikuwa dhaifu sana. Alikuwa anakuwa wa mwisho darasani kwao.

3. Hakuwa mwaminifu, ndio maana alifukuzwa Segerea Seminari.

Niliposikia mitafaruku yake ya kisiasa alipokuwa NCCR mageuzi, niliona picha ya Selasini yuleyule niliyemfahamu.

Niliposikia amechaguliwa kuwa mbunge, nilijisemea: Kama hajabadilika, ngoja tuone!
 
​nawasikitikia wabunge wengi 2015 kupotea kwenye ramani,japo si kosa lao ni kosa la serikali kiziwi wanayofanya nayo kazi.
 
Hilo swali sitalijibu......sitaki niwape faida



Wananchi tumpe ushirikiano ilimradi yeye anakubali kushaurika.Wananchi waelewe majukumu ya mbunge na waelewe wajibu wao ni nini

ungesema hapa ili kuwasaidia wana CHADEMA wenzio tusio na habari za mikakati ya CCM huko Rombo! BTW as much as i want CHADEMA to stay in power as much as i see they r unfortunate to have Selasini as their MP! The constituent might go to CCM 2015 if he continue to show lack of leadership there!
 
Asije akawa kama kakake..Dr.M.Lamwai.. Hata mimi ni jimbo langu. Anyway.. Vmark, tuwakilisheni,tupo pamoja.
 
Joseph Selasini ninamfahamu tangu alipokuwa Itaga Seminary.

1. Ni mtu hodari wa kuongea na kuwapa watu first impression nzuri sana, lakini baada ya muda hubadilika na kuonesha uhalisia wake ambao si mzuri sana. Hivyo tulimjua kuwa ni mnafiki sana.

Alipofika Itaga Seminary mwaka 1980 akiwa Form V alisadikisha wanafunzi kuwa anaweza uongozi lakini alipochaguliwa kuwa Kiranja Mkuu akawa kiongozi mbaya sana mpaka akaitwa ZAHAMA. Waseminari wa Itaga wa wakati huo walitafuta neno la kiswahili ambalo linatosha kumwelezea mtu mbaya sana wakapata hilo ZAHAMA. Nick name ya Selasini Itaga Seminari ilikuwa ZAHAMA.

Alitumia muda wake kujipendekeza kwa Mkuu wa Seminari na walimu, akawa kiongozi wa kuchongea na kufukuzisha wanafunzi wenzake badala ya kuwashauri, kuwahamasisha na kutetea maslahi yao.

Alichukiwa na wanafunzi wote.

2. Kitaaluma alikuwa dhaifu sana. Alikuwa anakuwa wa mwisho darasani kwao.

3. Hakuwa mwaminifu, ndio maana alifukuzwa Segerea Seminari.

Niliposikia mitafaruku yake ya kisiasa alipokuwa NCCR mageuzi, niliona picha ya Selasini yuleyule niliyemfahamu.

Niliposikia amechaguliwa kuwa mbunge, nilijisemea: Kama hajabadilika, ngoja tuone!
 
CHADEMA watakuwa wamejifunza kuwa Joseph Selasini si kiongozi mzuri, na kwa kweli hafai kuwakilisha wananchi kwa tiketi ya chama chenye sifa ya kutetea wanyonge.

Angalisho kwa CHADEMA. Kosa lilifanyika kumpendekeza, kumpitisha na kumfanya mgombea wa chama. Kosa lenye bahati (CCM kuwa na mtu aliyekwisha bore watu) lilimwezesha kushinda ubunge Rombo 2010. Itakuwa kurudia kosa ambako kutakuwa na madhara kwa CHADEMA (kupoteza Jimbo la Rombo) kama Selasini atarudishwa tena kugombea 2015.

Wanaotarajia kuwa Selasini atabadilika, fanyeni jaribio muone. Mimi siamini kabisaaaaaaaaaaaaaaa!
 
CHADEMA watakuwa wamejifunza kuwa Joseph Selasini si kiongozi mzuri, na kwa kweli hafai kuwakilisha wananchi kwa tiketi ya chama chenye sifa ya kutetea wanyonge.

Angalisho kwa CHADEMA. Kosa lilifanyika kumpendekeza, kumpitisha na kumfanya mgombea wa chama. Kosa lenye bahati (CCM kuwa na mtu aliyekwisha bore watu) lilimwezesha kushinda ubunge Rombo 2010. Itakuwa kurudia kosa ambako kutakuwa na madhara kwa CHADEMA (kupoteza Jimbo la Rombo) kama Selasini atarudishwa tena kugombea 2015.

Wanaotarajia kuwa Selasini atabadilika, fanyeni jaribio muone. Mimi siamini kabisaaaaaaaaaaaaaaa!

mbona hii inajulikana huyu jamaa akirudishwa, CCM wanachukua jimbo! kama anajali basi aonyeshe makeke yake sasa la sivyo wala sitashangaa...
 
Na wa2 wa rombo hawaitaki ccm tena xo its better team ya chadema ianze kulifanyia kaz mapema coz it wil b so shameful kama jimbo likipotea kwasababu ya kiongozi ambaye ni Zahama thrice.....sie wananchi tunataka 2furahie kuwa na mbunge wa upinzani kutoka chama makini kama chadema....basing on juhudi zetu wananchi na yeye kama mbunge.!
 
Na wa2 wa rombo hawaitaki ccm tena xo its better team ya chadema ianze kulifanyia kaz mapema coz it wil b so shameful kama jimbo likipotea kwasababu ya kiongozi ambaye ni Zahama thrice.....sie wananchi tunataka 2furahie kuwa na mbunge wa upinzani kutoka chama makini kama chadema....basing on juhudi zetu wananchi na yeye kama mbunge.!
hapa kaka umekosea, kwa historia watu wa Rombo wanaangalia umefanya nini katika uongozi wako! Wababa na wamama huwa wana-check list wakikaa vilabuni huwa wanaulizana hali halisi na hawachelewi kukutema! Ni jimbo gumu kuliko maelezo hata kabla ya vyama vingi...huyu jamaa tangu achukue kiti hajaleta hata gunia la sembe kwa watoto wanywe uji mashuleni! kwa jinsi alivyoshinda kwa mbinde naamini ataangushwa vibaya mno 2015...
 
hapa kaka umekosea, kwa historia watu wa Rombo wanaangalia umefanya nini katika uongozi wako! Wababa na wamama huwa wana-check list wakikaa vilabuni huwa wanaulizana hali halisi na hawachelewi kukutema! Ni jimbo gumu kuliko maelezo hata kabla ya vyama vingi...
thnx bra for correcting me from the wrong! Viva jf!
 
Lakini kwa rekodi hii ya mbunge wa Chadema Rombo, nguvu kubwa itabidi ifanyike kumpigia debe mgombea mwingine wa CDM 2015.

Probability kuwa watamweka Selasini na ashinde ni 0.5%.

He is becoming a liability to the political development of CDM.
 
Kama cdm watafanya kosa tena la kumchagua mtu ambaye hawajamjua vizur kama selasina and the likes watakua wana approach political moribund or vegetative state! They hav 2 screen each individual smartly kabla ya uteuzi maana chdm is planning to fly the country xo this mus be observed keenly...nyc weekend jf memberz!
 
Hi! haswaa! hilo la pombe limekuwa janga kubwa kwa wana Rombo! kwani kwa sasa Rombo hakuna vijana sijui? kwa sababu kila mtu ni mzee! ukijachunguza unakuta amezaliwa 1985! lakini ni kikongwe wa miaka 100! Sababu ni mapombe ambayo hata hayana majini.Ndugu Mbunge wa Rombo pambana na hilo la pombe vijana wanaishia!
 
Back
Top Bottom