Joseph Selasini, a Square peg in a Round hole?

Joseph Selasini, a Square peg in a Round hole?

Mimi nimekataa kuongozwa na mpinzani. Mpinzani akishika jimbo nahamia jimbo lingine.
 
Tumalize ubishi WABUNGE WOTE WA CDM hakuna kitu kabisa HERI YA WALE WA CCM.Wabunge wa cdm hadi sasa maendeleo waliofanya majimboni ni MAANDAMANO na VURUGU tu.Kutaka kusikika kwenye vyombo vya habari.

kasome ibara ya 61:2 ya katiba ujifunze majukumu ya wabunge
 
Anataka poshi ziongezwe cos amepata mialiko 26 yote ni ya kuchangia ujenzi na maendeleo ya jimbo lake,so mzee wa watu analia aongezewe pesa ili aweze kuchangia hiyo mialiko
 
Tumalize ubishi WABUNGE WOTE WA CDM hakuna kitu kabisa HERI YA WALE WA CCM.Wabunge wa cdm hadi sasa maendeleo waliofanya majimboni ni MAANDAMANO na VURUGU tu.Kutaka kusikika kwenye vyombo vya habari.
wewe ni kunguru au binadamu bado unaota kuwa ccm wanaweza kushinda eti kwa porojo za kuzuia maandamano kwani maandamano ni laana? wewe ni kati ya kundi la wezi au vichaa wanaoridhika na tshrt, au watoto wa vigogo wenye LAKE OIL,TICS,SIYO BURE
 
sina cha kuchangia thread yenyewe imekaa kinafki nafkiiiiiiiiiiiiii
 
Niko na wazee na vijana kijiweni Dar, kuna watu wa ROMBO wanalalamika watu wa kwao kumchagua Selasini. Wanasema hajafanya chochote na anataka posho iongezwe.

Yeyote anaejua mazuri ya mh huyu anipe niwaelimishe coz wanasema bora Mramba

Siyo yeye peke yake. Wabunge wote wa amgwanda ambao walichaguliwa kwa euphoria ya wakati huo wanalalamikiwa kinoma. Kazi kuandamana na kupiga makelele huku kero za wananchi zikiwa hazina wa kuzisemea.
 
Niko na wazee na vijana kijiweni Dar, kuna watu wa ROMBO wanalalamika watu wa kwao kumchagua Selasini. Wanasema hajafanya chochote na anataka posho iongezwe.

Yeyote anaejua mazuri ya mh huyu anipe niwaelimishe coz wanasema bora Mramba
Watu wa Dar, wanajadili mambo ya Rombo? Tuendelee...
 
Mimi nimekataa kuongozwa na mpinzani. Mpinzani akishika jimbo nahamia jimbo lingine.

Jiuage kabisa manake kila jimbo au eneo unalohamia wanalichukua wapinzani cjui utaenda wapi?
 
Mh tangu uchaguliwe jimboni Rombo una changamoto nyingi za kufanyia kazi! Tuanze na barabara ya Marangu-Tarakea. Hii road imegubikwa na mizengwe kwnye kipande cha kuanzia Mengwe to Kiboro? Nini shida mheshmiwa? Hakiishi na miaka inaenda!

Pili ni ukosefu wa ajira. Though its a cross cutting issue bt kwa Rombo its too much coz uhalifu umezidi na thats why vijana wanajinywea mapombe ya hovyo na yapo ka aina 42 tena hayajapimwa na tbs!

Tatu ni elimu! Ongezeko la shule za kata inabidi liendane na walimu na maabara but we upo kimya! Rombo ina sec schools 52 na zote zinahtaji your help! Wake up mheshimiwa coz hatukawii kuku Salakana!

Early bird usually catches the worm!!
 
Siriazly binafsi nilikuwa na imani sana na huyu jamaa lakn nimekuja kugundua ni kilaza vby sana.
 
Yuko bize kudai posho iongezwe akasaidie graduations huko kiraen secondary!
 
Napita tu.Lakini huenda 2015 na mimi nikatangaza nia.
 
Siriazly binafsi nilikuwa na imani sana na huyu jamaa lakn nimekuja kugundua ni kilaza vby sana.
sasa mwana tushajua ni kilaza xo lazima 2komae nae b4 2015 angalau atimize baadhi ya aliyoyasema! Akishndwa yeye atakua halali ye2!
 
Napita tu.Lakini huenda 2015 na mimi nikatangaza nia.
jitahdtmtaalam 2fahamiane coz 2na umoja wa graduates wa 2010 kama 25 hv frm kijijin kwake 2nataka 2mshkishe adabu ajue politics is a game lyk any other!
 
Mh tangu uchaguliwe jimboni rombo una changamoto nyingi za kufanyia kazi! Tuanze na barabara ya marangu-tarakea. Hii road imegubikwa na mizengwe kwnye kipande cha kuanzia mengwe to kiboro? Nin shda mheshmiwa? Hakiishi na miaka inaenda! Pili ni ukosefu wa ajira. Though ts a crosscutting issue bt kwa rombo ts too much coz uhalifu umezidi na thts y vjana wanajinywea mapombe ya hovyo na yapo ka aina 42 tena hayajapimwa na tbs! Tatu ni elimu! Ongezeko la shule za kata inabid liendane na walimu na maabara bt we upo kimya! Rombo ina sec schools 52 na zote znahtaji ua help! Wake up u mheshimiwa coz hatukawii kuku salakana! Early bird usually catches the worm!!
Hapa ni tatizo,nitakuja baadae mkuu!
Siriazly binafsi nilikuwa na imani sana na huyu jamaa lakn nimekuja kugundua ni kilaza vby sana.
Hapana mkuu,tunaweza kumsaidia mbunge wetu
Yuko bize kudai posho iongezwe akasaidie graduations huko kiraen secondary!
Hili hapa ni tatizo kubwa,ni kinyume na msimamo wa chama....anaweza kulitolea ufafanuzi
Naomba uzima 2015 naenda kuchukua jimbo hana jipya ameshindwa kazi
Karibu Majani Kv.....
Napita tu.Lakini huenda 2015 na mimi nikatangaza nia.
Karibu molemo,lakini tuendeleze ushirikiano na mbunge aliyepo

sasa mwana tushajua ni kilaza xo lazima 2komae nae b4 2015 angalau atimize baadhi ya aliyoyasema! Akishndwa yeye atakua halali ye2!

Hapana Vmark,tumshinikize na kumshauri pale inapobidi

NB:Wakuu tumuunge mkono mbunge aliyepo ili tufanikiwe kuwasaidia wananchi wa Rombo.
 
Ben umejibu vyema bt remember that in every action there is equal and opposite reaction....and im skeptical tht kama chama ben mnajua tatizo la huju jamaa! Y cant u help chadema in rombo likewise nationwide so as to bury this parasite???
 
Back
Top Bottom