Joseph Selasini, a Square peg in a Round hole?

Joseph Selasini, a Square peg in a Round hole?

Hii thread nategemea itakuwa imeandikwa na mzee tena mwenye fikra za kimagamba za "ccm yajenga nchi!".

Mbunge hawezi kuwatafutia ajira. Vijana lazima mchakarike. Huku Arusha, vijana wa kiarusha waliokuwa wanakaa kijiweni wakinywa viroba mchana na kukaba watu usiku sasa wameuza vislasi vya viwanja vyao na kununua bodaboda. Wapo wanapiga kazi. Mbunge anawasaidia wasinyanyaswe na polisi! Kaeni chini muangalie nini cha kufanya halafu mbunge awasaidie kuweka mazingira mazuri.

Kuhusu barabara yenu, hilo swala ni kumshauri tu mbunge akafuatilie Tanroads. Mkandarasi huwa anapewa kazi/mkataba ikiwa na deadline. Na akicheleweshwa anakatwa malipo (liquidated demage) kwa kila siku iliyoongezeka. Kwahiyo mbunge ni kufuatilia tu maana mkataba ni wa Tanroads!

Kuhusu waalimu, mbunge hawezi kuwaajiri. Licha ya kuwa sehemu ya baraza la madiwani, lakini hata halmashauri zetu haziajiri waalimu! Mnaweza kushirikiana na diwani kuwatumia vijana waliomaliza form 6 kama part time!

Kimsingi mbunge anaweza kuwesaidia kuboresha mazingira na sio utendaji kwenye kutatua kero mbalimbali zinazowakabili. Lazima muamke na kuibua mbinu za kutatua kero zenu ili mbunge awasaidie kusukuma badala ya kukaa na kusubiri afanye yeye!
 
Hii thread nategemea itakuwa imeandikwa na mzee tena mwenye fikra za kimagamba za "ccm yajenga nchi!".

Mbunge hawezi kuwatafutia ajira. Vijana lazima mchakarike. Huku Arusha, vijana wa kiarusha waliokuwa wanakaa kijiweni wakinywa viroba mchana na kukaba watu usiku sasa wameuza vislasi vya viwanja vyao na kununua bodaboda. Wapo wanapiga kazi. Mbunge anawasaidia wasinyanyaswe na polisi! Kaeni chini muangalie nini cha kufanya halafu mbunge awasaidie kuweka mazingira mazuri.

Kuhusu barabara yenu, hilo swala ni kumshauri tu mbunge akafuatilie Tanroads. Mkandarasi huwa anapewa kazi/mkataba ikiwa na deadline. Na akicheleweshwa anakatwa malipo (liquidated demage) kwa kila siku iliyoongezeka. Kwahiyo mbunge ni kufuatilia tu maana mkataba ni wa Tanroads!

Kuhusu waalimu, mbunge hawezi kuwaajiri. Licha ya kuwa sehemu ya baraza la madiwani, lakini hata halmashauri zetu haziajiri waalimu! Mnaweza kushirikiana na diwani kuwatumia vijana waliomaliza form 6 kama part time!

Kimsingi mbunge anaweza kuwesaidia kuboresha mazingira na sio utendaji kwenye kutatua kero mbalimbali zinazowakabili. Lazima muamke na kuibua mbinu za kutatua kero zenu ili mbunge awasaidie kusukuma badala ya kukaa na kusubiri afanye yeye!
i was expecting sucha invalid and vague answer frm a guy lyk u bt i jus alert my mp and im bout 24 nau xo cjui kwa tht age ndo mzee wa nowadays....fuatilia ujue kilichomwangusha salakana rombo mwaka 2000 ndo utajuja grounds of my argument....he who knows not and knows not that he knows not is a fool!
 
i was expecting sucha invalid and vague answer frm a guy lyk u bt i jus alert my mp and im bout 24 nau xo cjui kwa tht age ndo mzee wa nowadays....fuatilia ujue kilichomwangusha salakana rombo mwaka 2000 ndo utajuja grounds of my argument....he who knows not and knows not that he knows not is a fool!



Mkuu, story za Salakana mimi siwezi kujua maana mimi sio mkazi wa Rombo. Nimejaribu kukufafanulia majukumu ya mbunge na wajibu wako/wenu kama wananchi. Kama umeona ni mimi ni mjinga, nikicomment naweza nikaishia na ban. Ila sikulazimishi kunielewa. Mimi nipo Arusha na mbunge wetu ni wa cdm. Hatusubiri atuletee ajira wala kutujengea barabara. Hatusubiri atvletee walimu kwenye shule zetu. Kama nyie mpo graduate zaidi ya 25 huko na mnaupungufu wa walimu mnamsubiri mbunge awaletee walimu, basi kazi ipo!

Tatizo letu ni kudhani mbunge ndio suluhisho la matatizo yetu. Na kwa ndoto mlizonazo, mtabadilisha wabunge kila uchaguzi bila kupata maendeleo yoyote. Mbunge ni muhamasishaji na sio mtendaji!

Kwa commets zako, I can be a fool now but a hero tomorrow. Woke up na achana na chuki binafsi ulizonazo dhidi ya mbunge wako ili uweze kushirikiana nae kuleta maendeleo jimboni kwenu.

Ni hayo tu!
 
Hilo hina hapo mwishoni "SHAO" hujaongeza wewe???? Mbona sijawahi sikia?
 
Vmark, haijalishi kama ni mkazi ama la, hilo jina si lake. Umelitoa wapi?
 
Vmark, haijalishi kama ni mkazi ama la, hilo jina si lake. Umelitoa wapi?
kamuulize baba yake mzee roman selasini shao diwani wa ccm kata ya maharo-makiidi
na uchagani selasini sio ukoo coz ukoo wao ni shao! Satisfied??
 
Vmark, haijalishi kama ni mkazi ama la, hilo jina si lake. Umelitoa wapi?
na je wafaham kua huyu mbunge kaka yake ni dr masumbuko lamwai dean of students faculty of law tumain university dar?? Usitoe mapovu tu wit aint no facts!
 
selasini ni fisadi wa posho,hata angekuwa kajenga barabara za juu lakini kwa msimamo wake wa posho ni mroho,naomba alipoteze jimbo come 2015,mark my word..huyu na shibuda watarudi ccm
 
selasini ni fisadi wa posho,hata angekuwa kajenga barabara za juu lakini kwa msimamo wake wa posho ni mroho,naomba alipoteze jimbo come 2015,mark my word..huyu na shibuda watarudi ccm
kaka u might b rite bt 2nataka cc wananch kabla ya huo muda awe ame pay the price....if he wil rectify himself we wish him a long stay@ rombo constituency!!
 
Hii thread nategemea itakuwa imeandikwa na mzee tena mwenye fikra za kimagamba za "ccm yajenga nchi!".

Mbunge hawezi kuwatafutia ajira. Vijana lazima mchakarike. Huku Arusha, vijana wa kiarusha waliokuwa wanakaa kijiweni wakinywa viroba mchana na kukaba watu usiku sasa wameuza vislasi vya viwanja vyao na kununua bodaboda. Wapo wanapiga kazi. Mbunge anawasaidia wasinyanyaswe na polisi! Kaeni chini muangalie nini cha kufanya halafu mbunge awasaidie kuweka mazingira mazuri.

Kuhusu barabara yenu, hilo swala ni kumshauri tu mbunge akafuatilie Tanroads. Mkandarasi huwa anapewa kazi/mkataba ikiwa na deadline. Na akicheleweshwa anakatwa malipo (liquidated demage) kwa kila siku iliyoongezeka. Kwahiyo mbunge ni kufuatilia tu maana mkataba ni wa Tanroads!

Kuhusu waalimu, mbunge hawezi kuwaajiri. Licha ya kuwa sehemu ya baraza la madiwani, lakini hata halmashauri zetu haziajiri waalimu! Mnaweza kushirikiana na diwani kuwatumia vijana waliomaliza form 6 kama part time!

Kimsingi mbunge anaweza kuwesaidia kuboresha mazingira na sio utendaji kwenye kutatua kero mbalimbali zinazowakabili. Lazima muamke na kuibua mbinu za kutatua kero zenu ili mbunge awasaidie kusukuma badala ya kukaa na kusubiri afanye yeye!

kweli mkuu philipo umenena kabisa mbunge ni daraja kati ya watu wake na serikali iliyopo madarakani si zaidi ya hapo,
Kukiwa na matatizo yoyote atayafikisha serikalini kama serikali haitatui tatizo, basi wananchi wataamua kubadili serikali iliyopo bila kujali ni ya mbunge waliyemchagua au sio.
Kwa sasa nafikiri kama kuna tatizo eneo lolote tatizo ni serikali na njia mojawapo kuyatatua tatizo ni kubadili serikali kuweka serikali ambayo itaweza kusimamia rasiilimali kama madini/utalii etc na kusimamia vizuri hela inayopatikana na kuipeleka kuajiri hao walimu kuajiri vijana na kusomesha watoto wetu etcna kuweka serikali itakayorudisha heshima ya tanzania kuacha kutegemea misaada na mikopo ya masharti kutoka world bank na imf,kwa wenye uchungu na maendeleo yetu basi subiri 2015 tumia kura yako kwa busara,

otherwise mpandishe bendera rombo iwe nchi mbunge awe raisi hapo itabidi awajibe sababu itabidi kodi yote ya rombo ibaki rombo na kuelekezwa kwenye maendeleo akiamua kushika bakuli naye kuomba omba mumfunge kengele ili huko anakoenda kuomba wamkimbie wakimsikia anakuja hahaha
 
WanaJF,Watu wa Rombo na wote wenye maslahi na Jimbo la Rombo,

Jimbo la Rombo kama yalivyo majimbo mengine lina changamoto nyingi.changamoto hizi haziwezi kutatuliwa bila kuwa na ushirikianao kati ya wananchi,wasomi na mbunge anaywakilisha jimbo hilo kwasasa.Mh.selasini hawezi kufanya kazi zote peke yake.Anahitaji mawazo,ushauri na hata ikiwezekana kushinikizwa katika vikao au nje ya vikao kwa njia za haki ili kuhakikisha kwambaanawarudishia wapiga kura haki na thamani ya kura yao kwautumishi uliotukuka,uwakilishi thabiti n.k

Tangu enzi za akina Mzee Alphonce Masikini(mbunge wa zamani wa Rombo),nimeshindwa kuona (kama kijana wa kizazi cha sasa) kuona mchango wa mbunge moja kwa moja katika kuchochea maendeleo ya jimbo zaidi yasifa za vituo vya kuuza na kununua kahawa na chuo cha Mamtukuna,Useri. Wabunge kama akina Ngalai na Salakana hawana kitu cha kujivunia katika CV zao kwenye jimbo la Rombo.

Mramba pengine anaweza kujichukulia credit za upotoshaji kuhusu barabara ya Rombo. Mhe.Joseph Selasini anastahili ushirikiano ili angalao awaonyeshe wananchi wa Rombo maana ya uwakilishi na utumishi .Anaweza kufanya hivyo kama tutamsaidia mbinu mbalimbali za kuandika miradi yamaendeleo na kumsaidia njia muafaka wa kutafuta funds kwaajili ya miradi husika Kuna haja ya kuongeza ajira kwa wananchi wa Rombo kwa kuanzisha viwanda vidogo vidogo kwa kuiga mbinu wanazotumia INdia (hususani jimbo la Punjab), Malaysia,Thailand n.k.

Pia tutumie fursa ya kuwa mpakani na kenya,yaani karibu na nchi ambayo wanapambana ku-transform uchumi wa nchi yao kulenga middle class ili waweze pia kuinua lower class ambayo ni asilimia kubwa ya wakazi wa Rombo.Tuwekeze kwenye idea ya kujenga soko la kimataifa kule Tarakea na tulenge kwenye bidhaa ambazo ni selective kati ya kenya na Tanzania ili tuhakukishe kipato cha mwanachi wa Rombo ni zaidi ya dola moja.

Kwa sasa pato la mwananchi wa Rombo ni 0.6 Us D per day....Hii ni hatari sana Anyways,nina mengi ya kuandika kwa sasa lakini naomba nirahisishe tu kwa kutoa ushauri kwamba tushirikiane na mbunge ili tufikie malengo.Kwa wanachadema,tusikubali jimbo lirudi CCM.

We need to pressurize the restructure of the police such that they are responsible and committed to the protection of lives and property,Equip them.

We should Improve agriculture by researching into improved seedlings, providing farmers with these seedlings at a highly subsidized rate, as well as fertilizers and machinery as well as training. This will create food boom and end the foodration from government(i'e mahindi ya msaada). Let us Ensure that the speed is fast enough to compete with what obtains in the rest of the country.

Tunahitaji funds kwaajili ya haya,mbunge afanye kazi usiku na mchana,tumsaidie/aombe msaada wa mawazo.Yote haya yanawezekana.Ni muda wa kumfanya mwananchi wa Rombo ajisikie fahari kuwa mtanzania na asijivunie kuwa mkenya au kukimbilia/kuegemea kenya wakati wa matatizo na kuona serikali na mbunge wao amewatanga(kumbuka suala la wananchi kupandisha bendera ya kenya)

CCM walishindwa kufanya haya chini ya Alfonse masikini,Leonce Silayo Ngalai na Basil Pesambili Mramba......Lakini naamini Bila CCM Rombo yenye Neema inawezekana,wananchi wa Rombo kwa mara ya kwanza wanaweza kujiskia fahari ya kuwa Watanzania kutokana na uwakilishi uliotukuka na uongozi thabiti wa jimbo kutoka Chadema.CCM wajifunze nje ya ulingo kwanza(from periphery)

Nasikia wameandaa vijana wa kutosha kabisa watakaochuana kwenye kura za maoni,tunawatumia salamu...waendelee kupanga safu,tuna zaidi ya miaka mitatu mbele ! Inshallah!
 
siasa bwana yaani hapo juu umemtaja Alponce Masikini katika vituo vya kuuza kahawa na chuo cha Mamtukuna (ukisahau shule za Wazazi zilizojengwa chini ya kipindi chake) lakini hapa mwisho unamponda bila kujua hiyo CHADEMA unayojivunia na kuwa that ambitious na jimbo hilo, yeye ndo ameweka mizizi yake na mazingira mazuri hata leo wakina Selasini (wachovu) wanashinda jimbo kiubua! Hivi unajua uchaguzi wa 1995 CHADEMA ilishinda viti vingapi nchi zima?

Hivi unajua hata karibu Kilimanjaro nzima majimbo yailienda NCCR Mageuzi kasoro Rombo iliyoenda CHADEMA? Unajua the force behind CHADEMA kuchukua jimbo Rombo kipindi ambacho ilikuwa hata haijulikani? Kipindi ambacho hata kwa Mzee Mtei jimbo lilichukuliwa na NCCR Mageuzi kasoro majimbo matatu tu Tanzania nzima yaani Kigoma Mjini, Karatu na Rombo?

Kuna watu (pioneers) walijenga utamaduni huu wa Warombo kupokea vyama vingi na kujiamulia kwa huru na walipita Rombo nzima bila woga na kuhimiza Warombo (create awareness) kuamka na kuikataa CCM la sivyo ungekuta mpaka leo Mramba anatawala haswa ukizingatia siasa za nchi yetu zilivyo na mambo aliyoyafanya Rombo ila Warombo walichagua uadilifu uchaguzi uliopita na so far huyo jamaa amekosa uadilifu kama kaka yake alivyougeuka upinzani historia inajirudia polepole japokuwa suala la posho ndilo liko hewani sasa!
 
siasa bwana yaani hapo juu umemtaja Alponce Masikini katika vituo vya kuuza kahawa na chuo cha Mamtukuna (ukisahau shule za Wazazi zilizojengwa chini ya kipindi chake) lakini hapa mwisho unamponda bila kujua hiyo CHADEMA unayojivunia na kuwa that ambitious na jimbo hilo, yeye ndo ameweka mizizi yake na mazingira mazuri hata leo wakina Selasini (wachovu) wanashinda jimbo kiubua!

Hivi unajua uchaguzi wa 1995 CHADEMA ilishinda viti vingapi nchi zima? Hivi unajua hata karibu Kilimanjaro nzima majimbo yailienda NCCR Mageuzi kasoro Rombo iliyoenda CHADEMA?

Unajua the force behind CHADEMA kuchukua jimbo Rombo kipindi ambacho ilikuwa hata haijulikani? kipindi ambacho hata kwa Mzee Mtei jimbo lilichukuliwa na NCCR Mageuzi kasoro majimbo matatu tu Tanzania nzima yaani Kigoma Mjini, Karatu na Rombo?

Kuna watu (pioneers) walijenga utamaduni huu wa Warombo kupokea vyama vingi na kujiamulia kwa huru na walipita Rombo nzima bila woga na kuhimiza Warombo (create awareness) kuamka na kuikataa CCM la sivyo ungekuta mpaka leo Mramba anatawala haswa ukizingatia siasa za nchi yetu zilivyo na mambo aliyoyafanya Rombo ila Warombo walichagua uadilifu uchaguzi uliopita na so far huyo jamaa amekosa uadilifu kama kaka yake alivyougeuka upinzani historia inajirudia polepole japokuwa suala la posho ndilo liko hewani sasa!

Ndiyo masikini alifanya hayo,pamoja na wabungewengine nadhani walistahili kufanya better than that. Warombo hawajawahi kupata uwakilishi wa kuridhisha Bungeni

Kuhusu mwaka 1995,ni kwamba NCCR ilikuwa imeungana na Chadema lakini rombo vyama vyote hivyo viliweka mgombea .Pia rekodi ya mgombeabwa CCM,yaani Mramba ilikuwa mbovu,halikadhalika rekodi ya mgombea wa NCCR-Mageuzi muda huo Leonce Silayo Ngalai ilikuwa chafu pia ....wote hawakuwa wageni katika siasa za Rombo

Kwa kuwa siasa za Rombo zinaenda kwa uhamasishaji basi salakana alionekana anafaa au angekuwa better than other candidates.Mwishoni katika ubunge alikuja kuwa Disappointment.Warombo hawakumrudisha na mramba akawa amejifunza akaanza kuonekana afadhali yeye kuliko mgombea mwingine ndipo mwaka 2000 akagombea.

Mwaka 2010,Mramba aliajiamini nakujisahau tena wakati huo huo makundi ndani ya CCM yakawa tayari yako juu.Baba yake selasini ni Diwani wa CCM naye alikuwa kichocheo kikubwa ndani ya CCM kumpigia kampeni mwanae kwenye Grass Root.Pia ilibidi nguvu ya ziada itumike kule Tarakea hasa ku-mobilize vijana na maeneo ya mashati kwani tayari kura za Mramba mkuu zilishagawanyika kutokana na home base ya Selasini na baba yake aliyekuwa CCM

Pia upepo wa Dk.Slaa ulisaidia sana kumzika Mramba kwenye uchaguzi huo.Tulipiga kampeni nzito Tarakea na kuweka mikakati yakufika sehemu ambazo Mramba alikuwa hawezi kufika kwa kiburi tu.Tuliweka chapa kwenye akili za watu kwamba chadema na mgombea wake ndiye atakayekuwa chaguo sahihi

Kilichopo sasa tumsaidie mbunge,naye akubali ushauri bila kuwana hofu kama wabunge wengine wanavyohofia nguvu za vijana kwenye uchaguzi ujao.Wanahisi kwamba kuna ajenda ya kuwapindua majimboni.Pia nitumie fursa hii kuwaasa wabunge wa vyama vyote,washirikaine na vijana katika ajenda zote za maendeleo na uwakilishi wao
 
Ndiyo masikini alifanya hayo,pamoja na wabungewengine nadhani walistahili kufanya better than that. Warombo hawajawahi kupata uwakilishi wa kuridhisha Bungeni

Kuhusu mwaka 1995,ni kwamba NCCR ilikuwa imeungana na Chadema lakini rombo vyama vyote hivyo viliweka mgombea .Pia rekodi ya mgombeabwa CCM,yaani Mramba ilikuwa mbovu,halikadhalika rekodi ya mgombea wa NCCR-Mageuzi muda huo Leonce Silayo Ngalai ilikuwa chafu pia ....wote hawakuwa wageni katika siasa za Rombo

Kwa kuwa siasa za Rombo zinaenda kwa uhamasishaji basi salakana alionekana anafaa au angekuwa better than other candidates.Mwishoni katika ubunge alikuja kuwa Disappointment.Warombo hawakumrudisha na mramba akawa amejifunza akaanza kuonekana afadhali yeye kuliko mgombea mwingine ndipo mwaka 2000 akagombea.

Mwaka 2010,Mramba aliajiamini nakujisahau tena wakati huo huo makundi ndani ya CCM yakawa tayari yako juu.Baba yake selasini ni Diwani wa CCM naye alikuwa kichocheo kikubwa ndani ya CCM kumpigia kampeni mwanae kwenye Grass Root.Pia ilibidi nguvu ya ziada itumike kule Tarakea hasa ku-mobilize vijana na maeneo ya mashati kwani tayari kura za Mramba mkuu zilishagawanyika kutokana na home base ya Selasini na baba yake aliyekuwa CCM

Pia upepo wa Dk.Slaa ulisaidia sana kumzika Mramba kwenye uchaguzi huo.Tulipiga kampeni nzito Tarakea na kuweka mikakati yakufika sehemu ambazo Mramba alikuwa hawezi kufika kwa kiburi tu.Tuliweka chapa kwenye akili za watu kwamba chadema na mgombea wake ndiye atakayekuwa chaguo sahihi

Kilichopo sasa tumsaidie mbunge,naye akubali ushauri bila kuwana hofu kama wabunge wengine wanavyohofia nguvu za vijana kwenye uchaguzi ujao.Wanahisi kwamba kuna ajenda ya kuwapindua majimboni.Pia nitumie fursa hii kuwaasa wabunge wa vyama vyote,washirikaine na vijana katika ajenda zote za maendeleo na uwakilishi wao

Selasini kama Selasini alishinda kwa vile Mramba alikuwa hauziki kwa sababu ya kesi yake na nyodo zake akawa king'ang'anizi kugombea hata baada ya kushauriwa akae pembeni hiyo ikasababisha mgawanyo ndani ya CCM! Selasini amepita as a result of circumstances hakuwa na base CHADEMA wala mvuto! Kama CCM wangeweka mtu mwingine 70% nina uhakika jimbo lingebaki CCM! na the same vice will cost CCM 2015 if they let Lowassa vie for the CCM ticket!
 
WanaJF,Watu wa Rombo na wote wenye maslahi na Jimbo la Rombo,

Jimbo la Rombo kama yalivyo majimbo mengine lina changamoto nyingi.changamoto hizi haziwezi kutatuliwa bila kuwa na ushirikianao kati ya wananchi,wasomi na mbunge anaywakilisha jimbo hilo kwasasa.Mh.selasini hawezi kufanya kazi zote peke yake.Anahitaji mawazo,ushauri na hata ikiwezekana kushinikizwa katika vikao au nje ya vikao kwa njia za haki ili kuhakikisha kwambaanawarudishia wapiga kura haki na thamani ya kura yao kwautumishi uliotukuka,uwakilishi thabiti n.k

Tangu enzi za akina Mzee Alphonce Masikini(mbunge wa zamani wa Rombo),nimeshindwa kuona (kama kijana wa kizazi cha sasa) kuona mchango wa mbunge moja kwa moja katika kuchochea maendeleo ya jimbo zaidi yasifa za vituo vya kuuza na kununua kahawa na chuo cha Mamtukuna,Useri. Wabunge kama akina Ngalai na Salakana hawana kitu cha kujivunia katika CV zao kwenye jimbo la Rombo.

Mramba pengine anaweza kujichukulia credit za upotoshaji kuhusu barabara ya Rombo. Mhe.Joseph Selasini anastahili ushirikiano ili angalao awaonyeshe wananchi wa Rombo maana ya uwakilishi na utumishi .Anaweza kufanya hivyo kama tutamsaidia mbinu mbalimbali za kuandika miradi yamaendeleo na kumsaidia njia muafaka wa kutafuta funds kwaajili ya miradi husika Kuna haja ya kuongeza ajira kwa wananchi wa Rombo kwa kuanzisha viwanda vidogo vidogo kwa kuiga mbinu wanazotumia INdia (hususani jimbo la Punjab), Malaysia,Thailand n.k.

Pia tutumie fursa ya kuwa mpakani na kenya,yaani karibu na nchi ambayo wanapambana ku-transform uchumi wa nchi yao kulenga middle class ili waweze pia kuinua lower class ambayo ni asilimia kubwa ya wakazi wa Rombo.Tuwekeze kwenye idea ya kujenga soko la kimataifa kule Tarakea na tulenge kwenye bidhaa ambazo ni selective kati ya kenya na Tanzania ili tuhakukishe kipato cha mwanachi wa Rombo ni zaidi ya dola moja.

Kwa sasa pato la mwananchi wa Rombo ni 0.6 Us D per day....Hii ni hatari sana Anyways,nina mengi ya kuandika kwa sasa lakini naomba nirahisishe tu kwa kutoa ushauri kwamba tushirikiane na mbunge ili tufikie malengo.Kwa wanachadema,tusikubali jimbo lirudi CCM.

We need to pressurize the restructure of the police such that they are responsible and committed to the protection of lives and property,Equip them.

We should Improve agriculture by researching into improved seedlings, providing farmers with these seedlings at a highly subsidized rate, as well as fertilizers and machinery as well as training. This will create food boom and end the foodration from government(i'e mahindi ya msaada). Let us Ensure that the speed is fast enough to compete with what obtains in the rest of the country.

Tunahitaji funds kwaajili ya haya,mbunge afanye kazi usiku na mchana,tumsaidie/aombe msaada wa mawazo.Yote haya yanawezekana.Ni muda wa kumfanya mwananchi wa Rombo ajisikie fahari kuwa mtanzania na asijivunie kuwa mkenya au kukimbilia/kuegemea kenya wakati wa matatizo na kuona serikali na mbunge wao amewatanga(kumbuka suala la wananchi kupandisha bendera ya kenya)

CCM walishindwa kufanya haya chini ya Alfonse masikini,Leonce Silayo Ngalai na Basil Pesambili Mramba......Lakini naamini Bila CCM Rombo yenye Neema inawezekana,wananchi wa Rombo kwa mara ya kwanza wanaweza kujiskia fahari ya kuwa Watanzania kutokana na uwakilishi uliotukuka na uongozi thabiti wa jimbo kutoka Chadema.CCM wajifunze nje ya ulingo kwanza(from periphery)

Nasikia wameandaa vijana wa kutosha kabisa watakaochuana kwenye kura za maoni,tunawatumia salamu...waendelee kupanga safu,tuna zaidi ya miaka mitatu mbele ! Inshallah!

thank you very much mkuu wana rombo waache papara cdm ndio mkombozi wao.
 
Selasini kama Selasini alishinda kwa vile Mramba alikuwa hauziki kwa sababu ya kesi yake na nyodo zake akawa king'ang'anizi kugombea hata baada ya kushauriwa akae pembeni hiyo ikasababisha mgawanyo ndani ya CCM! Selasini amepita as a result of circumstances hakuwa na base CHADEMA wala mvuto! Kama CCM wangeweka mtu mwingine 70% nina uhakika jimbo lingebaki CCM! na the same vice will cost CCM 2015 if they let Lowassa vie for the CCM ticket!

CCM wasahau jimbo la Rombo kwa sasa.....Chadema hatutakubali jimbo hilo lirudi CCM.Najua kila kinachoendelea CCM kwa sasa,na mikakati yao kama chama huku wengine binafsi wakiendelea kujiandaa.........
 
CCM wasahau jimbo la Rombo kwa sasa.....Chadema hatutakubali jimbo hilo lirudi CCM.Najua kila kinachoendelea CCM kwa sasa,na mikakati yao kama chama huku wengine binafsi wakiendelea kujiandaa.........
well said ben bt watalisahau 2 endapo wana rombo watakuwa satisfied na anachokifanya selasini....namshauri kama anapitia huku a take these thngs seriously kwa ajili ya rombo prosperity na kwake pia!!
 
Huyu jamaa kweli hata mie ananipa wasiwasi sana naona anarudisha nyuma harakati,hivi sasa ameingia kwenye marumbano na waandishi wa habari eti wanamuundia zengwe nani amuundie zengwe,zengwe anajiundia mwenyewe huyu kwa kushindwa kutimiza ahadi kwa wapiga kura wake.
 
Back
Top Bottom