Kutambaa kwa thread haina maana zzk ni maarufu bali comments nying zinz mponda zzk nyie ccm mmelaaniwa nyinyi na vizazi vyenu pambaf.
Na ndio Maana CHADEMA tumemtimulia mbali
Wakati mwingine unashangaa sana,hii nayo hoja?, ,Lete vidhibitisho lini wapi,saa ngapi Lissu,msigwa nk wamehongwa?, kimtokacho mtu mdomoni ndio kimtiacho unajisi," Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko". CCM mlipoua Azimio la Arusha mkakosa maadili( moral justs), Mmebaki siasa za kupiga majungu za enzi ya zama za giza za mwaka 343-124BC,Kwa bahati mbaya hii thread haieleweki.hotuba za upinzani huandaliwa na Lissu na Lema?hoja hujibiwa kwa hoja,ktk hotuba ya upinzani kumetolewa ac namba za benki pesa imeingia na kutoka hoja iwe ni kwa kazi gani? haya mengine ni "diversion"
Acha ujinga na uongo wa wazi , ungeuliza hata yeye angekuambia usiandike ujinga mkubwa kiasi hiki.......Ndio tusubiri huo ukweli kibwaso nataka tu nikuweke wazi hotuba ya wizara ya habari imeandaliwa na Lissu na kusomwa na Sugu na sio hiyo tu hata hii itakayosomwa leo,na hotuba nyingi za kambi ya upinzani alikuwa akiindaa Zitto ndio maana uliona zilikuwa na uzito tofauti na hizi wanazoaandaa hawa wajinga
Zitto na chadema ni kama mke na mume waliochana huku wanapendana..new drama kila siku
Sugu unapolishwa maneno na mbowe ukaongee bungeni changanya na akili zako tunatambua huna uwezo wa kujibishana kwa hoja na zzk.Kashindwa mama kifalanga,kifalanga wee ndo utaweza, kipindi cha mgogolo mbowe aliahidi kufungua kesi zidi ya zitto kabwe lakini mpaka leo hajafungua.Na wote mlio munyooshea kidole zzk 2015 mtaanguka vibaya kwenye majimbo yenu.
Mbona TANAPA wanalipa mabilioni ya fedha CNN na BBC na kwinginepo kujitangaza hamsemi..!! How can you question TANAPA kuwatumia wasanii wa ndani kujitangaza ili kukuza utalii wa ndani..?? Ishu hapo ingekua kama ZZK alipiga hizo hela mwenyewe akawarusha wale artist waliotumika BUT if that is not a case hapo hamna issue isipokua MAJUNGU..!! Me nadhani SUGU alitaka apewe hilo dili yeye but unfortunately he is not that popular anymore and only SIASA za maji taka kama hizi ndo zinamfaa...!!
kwahiyo hii ni id mpya ya zitto au wewe ni karani wake tu? naona tangu jana unatumika vilivyo na rais wa lekadutigite.Fungua LINK Hii http://ubuntuone.com/3Yvcq8P9kqiHBUtIcCzFB5 MSIGWA, LISSU NA LEMA ;- WAHONGWA NA PROF. MUHONGO na MASWI kumchafua ZITTO KABWE na WABUNGE WENGINE WOTE WAZALENDO. wamdhurumu SUGU, nayeye akataa kusoma mashtaka ya LISSU dhidi ya ZITTO KABWE kwenye Hotuba yake.
Kwa bahati mbaya hili suala la zitto litawaumbua watu wengi sana ndani siasa hasa chadma zitto hajawahi kushindwa kwenye harakati zake,Hii ni very serious issue,tusiijadili kishabiki,ni bora tukawa watulivu tupate maelezo ya CAG,nategemea CAG atakuwa diligent na kuanza uchunguzi mara moja juu hili.
Zitto ameshutumiwa kukiuka misingi ya Governance ukizingatia yeye ndio kiongozi mkuu wa chombo cha bunge kianachooversee governance ya mashirika ya UMA.
Tusiwe wepesi wa kutoa tafsiri za kisiasa,tulichukulie swala hili kama mengine yote.
Zitto Mwenyewe kamuelekeza CAG amchunguze,nasubiri nisikie akiachia nafasi yake kupisha uchunguzi.
hawa wa kutoka oman wataongozwa na alhaj barubaru wao ni mwiko kumtia adabu mtu wa dini yao.cag ni rafiki yake zitto tumataka waje wakaguzi huru toka oman waadirifu
Wewe mburula kweli hujaona hiyo LINK?kwahiyo hii ni id mpya ya zitto au wewe ni karani wake tu? naona tangu jana unatumika vilivyo na rais wa lekadutigite.
Hivi kweli Sugu anaweza kupambana kwa hoja na zitto.
Kwakweli chadema mna jiaibisha sana.
Nssf ina mdai mbowe hadi sasa hajalipa.