komeka
JF-Expert Member
- May 1, 2013
- 1,072
- 404
Mi ni mmoja wa watu wanaomheshimu sana mh sugu lkn kwa hili amejishushia heshima kwa situation iliyokuwepo ya zitto kuuguliwa na mama yake chadema wangeinezea hili suala kwani kwa kufanya ivo hlf wanajua kuwa zitto anauguliwa na mama yake hawakumtendea haki isitoshe mama zitto ni mwanschama wa chadema kwa kulijua hilo kwamba hawa ni wanachama wetu na pia mmoja anamuuguza mwenzake walipaswa kuonyesha heshima na utu na cyo kuwashambulia km walivyofanya....na pia nitoe angalizo kwa mh sugu hya anayoagizwa amfanyie zitto Kuna siku atakuwa kwny same situation au vinginevyo na atafanyiwa haya haya kwani what goes around comes around