Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,988
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 9, leo Novemba 9, 2023.
Wabunge wamchangia fedha Profesa Jay
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekubaliana kumchangia fedha Mbunge wa zamani wa Mikumi na Msanii wa Bongo Fleva, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ kwa ajili ya kumuunga mkono katika Taasisi yake ya Profesa Jay Foundation na kumpa pole kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Hoja hiyo kuhusu Haule aliyefika Bungeni akiwa mmoja wa wageni waalikwa Jijini Dodoma, leo November 9 2023, ilitolewa na Mbunge Aida Khenani, ikaungwa mkono na Joseph Musukuma kisha Wabunge wengine nao wakaunga mkono.
Musukuma: Huu mwaka wa mwisho kutudanganya, Waziri ukija na swaga tutazinguana
Akizungumzia kuhusu maboresho ya Uwanja wa Ndege wa Mwanza, Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma amesema “Licha ya kuwa ni uwanja wa pili kuingiza mapato mengi Nchini lakini bado kuna kigugumizi cha maboresho ya kuufanya kuwa Uwanja wa Kimataifa, bajeti ijayo ije na hela ya maboresho ya uwanja huo.”
Wabunge wamchangia fedha Profesa Jay
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekubaliana kumchangia fedha Mbunge wa zamani wa Mikumi na Msanii wa Bongo Fleva, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ kwa ajili ya kumuunga mkono katika Taasisi yake ya Profesa Jay Foundation na kumpa pole kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Hoja hiyo kuhusu Haule aliyefika Bungeni akiwa mmoja wa wageni waalikwa Jijini Dodoma, leo November 9 2023, ilitolewa na Mbunge Aida Khenani, ikaungwa mkono na Joseph Musukuma kisha Wabunge wengine nao wakaunga mkono.
Musukuma: Huu mwaka wa mwisho kutudanganya, Waziri ukija na swaga tutazinguana
Akizungumzia kuhusu maboresho ya Uwanja wa Ndege wa Mwanza, Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma amesema “Licha ya kuwa ni uwanja wa pili kuingiza mapato mengi Nchini lakini bado kuna kigugumizi cha maboresho ya kuufanya kuwa Uwanja wa Kimataifa, bajeti ijayo ije na hela ya maboresho ya uwanja huo.”