Jonh Momose Cheyo ni Mwenyekiti wa chama chake toka mwaka 1993 (miaka 26) lakini siyo CCM wala msajili mwenye shida naye

hii yote ni kinyume na demokrasia! watu wa chadema msitumie uhalamu wa vyama vingine kuhalamisha udikteta chadema

tunahitaji siasa za kidemokrasia kuanzia chamani mpaka kwa level ya taifa

Mbowe wachana na uenyekiti kwa kisingizio cha akina cheyo na mrema,,,,hii ni dalili kuwa siku mkipewa ikulu mtaanza kulinganisha na marais wa uganda rwanda na burundi
Una kichàa, ccm kuna anayeweza kujitokeA kugombea naJiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom