Jonh Momose Cheyo ni Mwenyekiti wa chama chake toka mwaka 1993 (miaka 26) lakini siyo CCM wala msajili mwenye shida naye

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,274
Jonh Momose Cheyo ni Mwenyekiti wa chama chake toka mwaka 1993 (miaka 26) lakini siyo CCM wala msajili mwenye shida naye.

Unadhani ni kwa nini?

1575808873763.jpeg
 
hii yote ni kinyume na demokrasia! watu wa chadema msitumie uhalamu wa vyama vingine kuhalamisha udikteta chadema

tunahitaji siasa za kidemokrasia kuanzia chamani mpaka kwa level ya taifa

Mbowe wachana na uenyekiti kwa kisingizio cha akina cheyo na mrema,,,,hii ni dalili kuwa siku mkipewa ikulu mtaanza kulinganisha na marais wa uganda rwanda na burundi
 
Tukimaliza na Mbowe tunakuja kwa hao wengine, kwenye mapambano ya demokrasia na haki za kisiasa ni vizuri kupambana taratibu na kundi dogo
 
Mbona upumbavu mwingine wa vyma vya upinzani hamtaki kuiga kasoro tuu kukaa kwa mwenyekiti miaka mingi!?

Chadema mpaka kikawa chama kikuu cha upinzani kuna namna kilionekana tofauti na kina cheyo sasa kama hoja zenu za kutetea kukaa kwa mwenyekiti muda mrefu mnazijenga kwa msingi kujifananisha na cheyo nitawashangaa sana.
 
Mkuu UDP ni kama sisimizi hwasumbui mtu saaana, lakini CHADEMA ni zaidi ya tembo popote ilipofika haijawahi kuyumba ndio maana inawasumbua.
 
Back
Top Bottom