John Shibuda: Mbowe ni dikteta

Shibuda huwa simuelewi ni kama vile ana sura mbili za chadema na ccm
 
Mbowe anajulikana ni DJ wa muziki sio kiongozi wa siasa, sasa ulitegemea aache kuwapendelea watu wa kanda ya kaskazini akupe wewe Shibuda ?. Ni afadhali umetoa jina lako , na hiyo ni rasha rasha tu, mvua ya udikteta wa mbowe yaja
 
shibuda,
naona umeanza rasmi kufanya kazi yako ULIYOTUMWA!

TUNAJUA KILA KITU
TUNAJUA MICHEZO YOTE MICHAFU YA CHAMA TAWALA
 
CDM hawaoni makosa ya baba yao Mbowe, they will try to justify his every move....the guy is a crook. The party now needs a strong visionary leader not this thug....


wabunge wote wako shwari isipokuwa wawili tuuu....guess who??shibuda na zitto....wamepokea hela za mafisadi kuvuruga chama lakini wamestukiwa mapema...chadema majasusi wewe...nafikiri sugu ameupdate ANTIVIRUS YAKE...kama alivyosema slaa..hakuna aliye juu ya chama..chadema is here to stay..my conscious is telling me that they are here for the right course..iam down with them to the very end
 
Huyu ni mamluki,aondolewe atuachie chadema yetu!!
 
Kipindi kingine CDM wawachunguze hawa watu wanohamahama vyama kabla ya kupewa dhamana kubwa..
Ni heri kuwa na wabunge wawili wenye msimamo na kuheshimu mamlaka kuliko mia wasioeleweka..
 


Kwakweli kuanzia leo mtu atakaekuwa anamchukia malaria sugu basi huyo mtu atakuwa ana tafuta ugomvi na mimi, i like this guy, hii ni propaganda mashine ambayo hata kama umenuna saa nyingine waweza kucheka, kama mtakumbuka vizuri wakati wa utawala wa Saddam Hussein waziri wake wa habari alikuwa i Al Sahaf, na George W Bush alimpenda sana wakati ule wa vita kutokana na kuwa a good propaganda machine, na ikafikia Bush kumuondoa Al sahaf kwenye orodha ya maofisa wa serikali ya Saddam Hussein waliopaswa kukamatwa na kufikishwa mbele ya sheria.
sasa kwa mimi Malaria sugu kwangu ni kama Al Sahaf, anaburudisha, kumbuka buruani sio lazima imvutie kila mtu.
dokezo: burudani zangu kwa malaria sugu huanzia pale unapoona thread yake ameiedit lakini bado mafyongo matupu spell check ndio sifuri kabisa, na kama huamini hili angalia signature yake sasa hivi nadhani na wewe utaanza kuwa a fans of MS.
 
When was the last time dictatorship was regarded as a good brand?

Dictatorship is relative...only depends on which angle you are looking out from.

Saddam Hussein was branded as one.....

George W Bush (then prez of arguably the biggest democracy on the planet) ignored all democratic calls across the globe and went on ahead to kill innocent people in Iraq in his evil pursuit of toppling Saddam. Bush was never branded a dictator, was he?

I hear there's similar name-calling for Kagame.....a man who is about to turn his tiny nation into a regional economical superpower!

The list goes on...
 
soma hayo maandishi niliyoyakuza....nahisi harufu ya chuki ya udini na ukabila katika post yako.
ningekuwa MOD,,, nadhani wapumbavu mnaotumia makalio kufikiria kama wewe msingepata nafasi jukwaani. ila kwa sababu ya uhuru wa kujieleza alioupromot MKWERE! hatuna budi kuusoma ujinga wenu
 



Kweli devide & rule inaonekana kufanikiwa. Yaani watu wamepandikiziwa chuki wenyewe kwa wenyewe na wakakubali?
 
Tatizo wana chadema ukweli hamtaki.
Huu ndio ukweli Mbowe ni fisadi wa uongozi na Slaa wake.
Ukabira umejaa humo chadema.
 
Sijui nini hakijaeleweka kwa wana-JF, Shibuda ni mmoja ya mapandikizi ya sisiem, huyu ni kibaraka alitumwa rasmi kuja kuvuruga cdm baada ya CCM kuona joto linalowakabili. Wana CHADEMA Siyo mwenzetu huyu aogopwe kama ukoma.
 

Bado hujajibu hoja yangu ni vipi Mbowe amekisaidia Chadema kukua? Usizungumze upupu kaka au dada?
 
Mhe. Shibuda arejee sisiem , huko alishataka kuwa Rais wa Tz
 
kwa sasa marando bado ni shujaa ila akikutana na ubabe wa mbowe na kumtolea uvivu atapewa jina baya

ukitaka kumuuwa paka mpe jina baya
 
Mbowe, Ze Dictator!!
kiongozi CHADEMA ni Slaa pekee!!
Uchaguzi ujao Slaa achukue uenyekiti, na ukatibu vyote. utaona chama kitakavyo plogless.
ha ha ha ha ha ha
 
Bado hujajibu hoja yangu ni vipi Mbowe amekisaidia Chadema kukua? Usizungumze upupu kaka au dada?

hoja yako ni uharo.
Sina haja ya kukuorodheshea aliyoyafanya Mbowe ila kama unakifuatilia chama cha Chadema kilivyokuwa kabla ya Mbowe na sasa wakati mwenyekiti ni Mbowe utagundua ni yepi ambayo Mbowe amesaidia.
Ukishindwa kuelewa hapo tena basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…