John Shibuda: Mbowe ni dikteta


teh teh teh, yaani unamuhusisha mungu sasa!!? Huu sio mjadala wa mambo ya dini lakini sasa wewe unamfananisha Mbowe na Mungu khaa!!

Chama sio cha Mbowe kama unavyoona wewe, huo ndio mtazamo wa madikteta, chama ni cha wananchi kwa hiyo ata Mbowe akikosea tutamkosoa tu!!
 
Ndio maana wengine sie hatujajiunga na chama hichi kwasababu hizi za undio mzee. Kulazimishana mitazamo kunapelekea kufanya maamuzi mengine yasiyo na msingi kabisa.

Zidumu fikra za mwenyekiti mbowe!!! sie wengine tunakaa mbali tukijitazamia tu.

hapo ndipo wengine tukachukua njia ya kupigana ndani ya chichiemu kwa kuwa huku kuna misingi iliwekwa na wazee wetu ambao mungu aliwajalia kutopenda kujilimbikizia madaraka.
 

nyumba ninaishi ina choo cha shimo.

karatasi ruksa.

huwa ninachambia gazeti la Mtanzania.
 
Ww vp cjamfananisha na mungu nilikuwa nakuonyesha ni kiasi gani wanadamu wanajua wanachokichukia lakini hawajui wanachokitaka kama hata uongozi wa aliyewaumba waliukataa sembuse huu wa mwanadamu ila mbowe ndiye aliyekitoa cdma kutoka kijiwe cha ubabaishaji kama tlp na nccr mpk kuwa chama thabiti big up mbowe , aibu kwa hao wanaofanya siasa za magazetini wewe songa mbele
 

Hapo kwenye RED changanya na za kwako
 
Mi nashangaa sana jamani

Wenje keshasema, SHIBUDA YAKE NYAMA, NI MLAFI WA NYAMA, akiwa anpewa kilo zake mbili kila siku atazunguka nchi nzima tena kwa yale amjimbo yasiyo ya chadema na kusema atakua kaimu mbunge wao kwisha!!!

CCM wakimpa kilo tatu, basi atahamia kwenye nyama nyingi

it is so easy to deal with shibuda, ni kumpa nyama tu, iwe steki, mchanganyiko au fileti

after all said and done, shibuda is still shibuda, a drama queen, full of himself and master vuvuzela with no censorship whatsoever, but that doesnt make Mbowe a good leader anyway

change has come to chadema, and power to the people is building inside chadema
 
Kama hii story imetoka kwenye gazeti la mtanzania la Rost tamu na Balile sioni ajabu. Wacha waandike uongo wote. Kazikwa shibuda kukubali au kukataa. Hao mafisadi watasema mengi lakini Mbowe ni kiongozi wa hali ya juu kuliko hata na Kikwete. Hawalinganishwi kwa namna yoyote ile
 
Mbio za kuusaka uraisi 2015 naona tayari zimeshaanza.
Ni wiki 2 zilizopita fedha alizogawa fisadi Rostam kule Bagamoyo kuvuruga uchaguzi KKKT zilishindwa kufanya kazi. Sasa naona ameamua kuingilia CHADEMA. Viongozi, wanachama na marafiki wa CHADEMA mnatakiwa kuwa macho sana na huyu fisadi.
Wameanza kuandaa mazingira ya kuwania uraisi 2015 (Lowassa) kwa gharama yoyote ile. It's time for Tanzanians to wake up na kusimamisha hii michezo michafu kwa gharama yoyote.
 


Nani anasoma magazeti ya kifisadi? na ww ni kibaraka wa mafisadi usije na source za ujinga hapa, ww kwanza vp? hujui unasoma gazeti gani hadi leo? na ww you don't jave direction wala magnitude, know what & what not read. Mtanzania gazeti la kufungia mihogo, maandazi na sambusa, sometimes hata wauza samaki hawalipendi, chafu
 

My friend, mimi sisemi kitu, maana I am CDM hater number one! ninapoona mawazo ya wengine hivi, siyo kuwa nafurahi tu bali ninaona kabisa kumbe sio wote waliolala!

kwa CDM Shibuda is another nightmare, however, ameongeza idadi ya wabunge na ameongeza ruzuku, who cares now? Shibuda hata asingekaribishwa CDM angeshinda kwa chama chochote kile, huo ndio ukweli.

cha uone kesho kuna nini!
 
Chadema inabidi wajue jinsi ya kucheza karata za kuingia 2015 wakati makundi ktk CCM yakichapana na kuvutana mashati yatakuwa yanarusha ngumi moja moja kwa chadema hili wasipite mbele yao. Wanajua hilo na wanajua litawapa shida sana.

Sasa inabidi chadema wajue jinsi ya kuvuka kikwazo hiki.

Chadema inabidi watambue watu ambao ni muhimu kusaidia chama kuvuka vikwazo.

Si wote waliopo ndani watasaidia chama kusonga mbele lakini pia inabidi waende nao. Pia nafikiri Shibuda ameisha komaa katika siasa za maji safi na taka za Tanzania hivyo hawezi kwenda kwenye masanduku ya wapakana matope wa kutafuta madaraka.

Sasa hivi nafikiri Chadema wanajua kitu muhimu ni KATIBA mpya ya kumkomboa mtanzania na siyo mambo ya mzaa mzaa ya nani ni dikteta na nani ni mlaini. Kazi hii siyo rahisi hivyo inaitaji watu wa kujitoa kama alivyo jitoa Slaa wakati wa uchaguzi.
 
hapo ndipo wengine tukachukua njia ya kupigana ndani ya chichiemu kwa kuwa huku kuna misingi iliwekwa na wazee wetu ambao mungu aliwajalia kutopenda kujilimbikizia madaraka.
Ccm hii hii ya kikwete and his cronies ambao wana mambo ya ndio mzee, zidumu fikra za mwenyekiti ama ccm gani unayozungumzia?
Hawa viongozi wa tanzania miyayusho sana ukiwaambia wasimame kwenye real issues zinazoaffect wananchi hawaonekani ila wanapotaka sympathy ya wananchi wanakuwa wa kwanza kukimbilia kwenye vyombo vya habari. GTFOH
 

Ukijua hayo utapata quality ya real leaders, hao viongozi hawamo CCM, labda Magufuli ambaye anaweza kutoa maamuzi magumu wakati wengine wameshindwa. That caliber ni ya Zito pia, Slaa angeweza ila ameishachakachuliwa majungu yamemuharibu kabisa, yaani kwishney!!
Kwa chekeche lako hili unaweza ukajua nan kiongozi na nani ni msanii!
 
Tunachojadili hapa ni upupu lakini acha tuendelee kwa vile humu chochote kiletwacho kitajadiliwa hata tukiambiwa source yake inatoka kwa shetani.

Binafsi napenda aina ya udhaifu wa Mbowe kama ameweza kuongeza wabunge toka watano hadi 50 surely it is a good weakness leadership from which a weakest person like me have to learn from than learning strong leadership which leads to drop from 80% to 60% nationalwide.
 
Kama ni udikteta naona vyama vyetu vyote vimeshapigwa na hicho kirusi. Hebu fikiria mzee wetu wa Spidi na standard kwenye chama chetu tukuka wakamwacha aweke jina kugombea uspika wala wasimwambie mzee chama kimeshaweka msimamo zamu hii ni kina mama. Wakamwacha apambane na wamama ambao walijua ndio wenye haki ya uspika. Udikteta huu jamani ndio mwisho wanamwambia mzee 6 hata hivyo hii ni zamu ya wamama. Mambo yangeenda kiungwana hata naye angeelewa wala asingehangika kuweka jina.
 
hapo ndipo wengine tukachukua njia ya kupigana ndani ya chichiemu kwa kuwa huku kuna misingi iliwekwa na wazee wetu ambao mungu aliwajalia kutopenda kujilimbikizia madaraka.
Ni heri kuwa kipofu kabisa usione yanayotendeka kuliko kuwa na makengeza ukashuhudia.
 
Mbowe tuko pamoja kushughulikia mafisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…