Yote kwa yote hata mungu alipowaongoza wanadamu hawakuridhika wakaomba wateuliwe mfalme miongoni mwao hivyo ckulazimishi ukiri mbowe ni kiongozi wa kupigiwa mfano ila shibuda kimemtoa nini huko alipokuwa na kwa nini hakwenda kwenye democrasia ya kweli tlp udp cuf au nccr kama c aliangalia chama cha upinzani kilicho makini na chenye nguvu sasa anafikiri/anapata hayo yalifikiwa kwa uongozi legelege
Ndio maana wengine sie hatujajiunga na chama hichi kwasababu hizi za undio mzee. Kulazimishana mitazamo kunapelekea kufanya maamuzi mengine yasiyo na msingi kabisa.
Zidumu fikra za mwenyekiti mbowe!!! sie wengine tunakaa mbali tukijitazamia tu.
Gazeti la Mtanzania 13 December 2010 limemnukuu Shibuda akilalamika kuwa mbowe ni Dikteta na anawaburuza na anajenga makundi badala ya umoja ndani ya chama
"hali ilikwishachafuka, Mbowe anaendesha vikao kwa ubabe, kuhujumiana, kubomoana na kujenga makundi... ule ulikuwa mkutano wa uchaguzi wa wajumbe watano wa kamati kuu, lakini ukatanguliwa na hicho kikao cha kuvunjiana heshima, ilibidi nitoe jina langu" alisema Shibuda.
Shibuda kama ulikuwa hujui huyo ndio Mbowe.
Ww vp cjamfananisha na mungu nilikuwa nakuonyesha ni kiasi gani wanadamu wanajua wanachokichukia lakini hawajui wanachokitaka kama hata uongozi wa aliyewaumba waliukataa sembuse huu wa mwanadamu ila mbowe ndiye aliyekitoa cdma kutoka kijiwe cha ubabaishaji kama tlp na nccr mpk kuwa chama thabiti big up mbowe , aibu kwa hao wanaofanya siasa za magazetini wewe songa mbeleteh teh teh, yaani unamuhusisha mungu sasa!!? Huu sio mjadala wa mambo ya dini lakini sasa wewe unamfananisha Mbowe na Mungu khaa!!
Chama sio cha Mbowe kama unavyoona wewe, huo ndio mtazamo wa madikteta, chama ni cha wananchi kwa hiyo ata Mbowe akikosea tutamkosoa tu!!
Gazeti la Mtanzania 13 December 2010 limemnukuu Shibuda akilalamika kuwa mbowe ni Dikteta na anawaburuza na anajenga makundi badala ya umoja ndani ya chama
"hali ilikwishachafuka, Mbowe anaendesha vikao kwa ubabe, kuhujumiana, kubomoana na kujenga makundi... ule ulikuwa mkutano wa uchaguzi wa wajumbe watano wa kamati kuu, lakini ukatanguliwa na hicho kikao cha kuvunjiana heshima, ilibidi nitoe jina langu" alisema Shibuda.
Shibuda kama ulikuwa hujui huyo ndio Mbowe.
Teh teh tehnyumba ninaishi ina choo cha shimo.
karatasi ruksa.
huwa ninachambia gazeti la Mtanzania.
ili chadema kikue mwanzoni lazima kiwe na madikteta kama mbowe, otherwise kitakufa kabla ya wakati...big up mbowe...unataka uje leo uingie mpaka uvunguni?
du unaliweka kwenye kinyeo chako, kwa maana nyingine Mtanzania linakumega.nyumba ninaishi ina choo cha shimo.
karatasi ruksa.
huwa ninachambia gazeti la Mtanzania.
Gazeti la Mtanzania 13 December 2010 limemnukuu Shibuda akilalamika kuwa mbowe ni Dikteta na anawaburuza na anajenga makundi badala ya umoja ndani ya chama
"hali ilikwishachafuka, Mbowe anaendesha vikao kwa ubabe, kuhujumiana, kubomoana na kujenga makundi... ule ulikuwa mkutano wa uchaguzi wa wajumbe watano wa kamati kuu, lakini ukatanguliwa na hicho kikao cha kuvunjiana heshima, ilibidi nitoe jina langu" alisema Shibuda.
Shibuda kama ulikuwa hujui huyo ndio Mbowe.
nnakutakieni kila la heri ukiona hata mwanakijiji mtetezi wenu kaamua kukaa kimya ujue sasa mambo ni mazito
Chaha wangwe ni msaliti, Zitto ni msaliti, na sasa shibuda ni msaliti
chadema imekuwa kama giningi asemacho bi kirembwe hakipingwi na wala hasutwi
leo akisema hii nyeupe mseme ndio na akija kesho akakuulizeni rangi gani mkamjibu ni nyeupe kama alivyosema na akasema nyny wajinga hamuoni hii ni nyeusi museme ndio bi kirembwe tumekosea ni nyeusi
kuna tofauti gani ya mtoko wa dr slaa na Shibuda kwenda Chadema ?
hawa wote si walikua CCM na wote walitoka baada ya mchakato wa wagombea kuona hawajaridhika nao wakahama
au mmesahau? kwa hio na siku slaa akikosoa na yeye atakuwa msaliti
mwisho nnasema ya ngoswe ......
Ccm hii hii ya kikwete and his cronies ambao wana mambo ya ndio mzee, zidumu fikra za mwenyekiti ama ccm gani unayozungumzia?hapo ndipo wengine tukachukua njia ya kupigana ndani ya chichiemu kwa kuwa huku kuna misingi iliwekwa na wazee wetu ambao mungu aliwajalia kutopenda kujilimbikizia madaraka.
Ccm hii hii ya kikwete and his cronies ambao wana mambo ya ndio mzee, zidumu fikra za mwenyekiti ama ccm gani unayozungumzia?
Hawa viongozi wa tanzania miyayusho sana ukiwaambia wasimame kwenye real issues zinazoaffect wananchi hawaonekani ila wanapotaka sympathy ya wananchi wanakuwa wa kwanza kukimbilia kwenye vyombo vya habari. GTFOH
Ni heri kuwa kipofu kabisa usione yanayotendeka kuliko kuwa na makengeza ukashuhudia.hapo ndipo wengine tukachukua njia ya kupigana ndani ya chichiemu kwa kuwa huku kuna misingi iliwekwa na wazee wetu ambao mungu aliwajalia kutopenda kujilimbikizia madaraka.