Vica
Member
- May 27, 2008
- 84
- 12
Huyu shibuda vipi? Si aliingia kwa ajili ya ubunge tu,sasa kapata anataka nini..akae kimya..chadema walimkubalia tu kwa vile walitaka kupata support tu ya wananchi na kujitambulisha zaidi kanda ya ziwa na analijua hilo sasa anataka nini? Tunajua alitaka ubunge lakini sio damu ya upinzani...asijisahau...