JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,177
- 7,472
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Julai 14, 2025 ambapo ahirisho la kesi hiyo limekuja baada ya Mawakili wa upande wa waleta maombi kuiomba mahakama kupata muda wa kwenda kuisoma na kutafakari barua iliyopelekwa mahakamani hapo na upande wa wajibu maombi (Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA na Katibu Mkuu).
Pia soma ~ Kesi iliyotoa zuio la CHADEMA kutofanya siasa yahairishwa hadi Julai 14, 2025