The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
- Thread starter
- #81
Na pata taabu ni saidie, kucompromise na ccm ndio maana yake uwe double agent? Kwa hiyo mnyika naye ni double agent ambaye ni makini kuliko zitto na umepewa kazi ya kumpigia debe, napata taabu kweli.
Hakuna sehemu niliyosema ku 'compromise ' ni kuwa double agent..
ku 'compromise ni mfano wa Zitto ambae
jimbo lake 'vitu kama barabara na shule'
vimepatikana wakati ni serikali ya ccm 'imewezesha'
na yeye alikiri na kukataa kushiriki kutoka nje wakati Kikwete anahutubia bunge...
na sasa anaonekana ni 'msaliti'...
huwezi kuwa mpinzani 'ukawajengea barabara jimboni mwako'
lazima uka 'lobby' na ku 'lobby ni ku 'compromise'
elewa siasa inavyochezwa...