Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,173
Yanahamasisha
Yanashinikiza,
Yanaibua yaliyojificha na kuyaweka wazi kwa dunia nzima kuyaona.
Kwani sera ya maandamano ni ya Mbowe au ya watu wote wanaotaka mabadiliko? Mbona sijasikia aanzishe maandamano kwenye jimbo lake la HAI badala yake anawasakizia kina LEMA tu?