matongo manawa
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 336
- 79
kwa mazingira ya sasa bado anahitajika mwenyekiti ambaye yupo tayari kukabilianana misukosuko mikubwa ikwemo kukamatwa kuwekwa ndani na kuongoza maandamanoya kupinga udhalimu wa chama dola.Mnyika bado hajafikia hapo bado anapikwa.CCM wanapenda viongozi wa upinzani wawe lege lege,Mbowe bado anafaa mana anaaminipia kuwa kuwachekelea watawala ccm na police wao nisawa na kumchekea nyani mwishoni kuvuna mabua.Kama mdau mmoja alivyochangia tumwache mnyika awe mtendajikwa nafasi aliyo nayo.