John Mnyika awe mwenyekiti CHADEMA...

John Mnyika awe mwenyekiti CHADEMA...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,654
Ukifuatilia matatizo meengi ya nchi hii
utakuta tatizo la 'age gap' kati ya viongozi wanaotawala na wananchi..

zaidi ya nusu ya watanzania ni 'below 30 years old...inasemekana almost 60
au 75 percent ya watanzania umri ni below 35
na ukichukua below 40 unaweza kukuta ni almost 65-80 percent....
mwenye accurate data
tafadhali aweke hapa.......

sasa basi mimi kwa maoni yangu naona viongozi kama Zitto,Mnyika,January,Kafulila na wengineo vijana
angalau wana 'advantage' ya kuwa connected na masula hasa ambayo viongozi
kama Kikwete na wazee wenzake wengi hawaelewi kabisa...
kuna a 'A BIG DISCONNECTION' kati ya wananchi na wazee kwa hakika...

Mimi ningependa Zitto awe mwenyekiti CHADEMA....lakini
ameshaanza kuwa 'na wapinzani wengi' ndani ya CHADEMA itakuwa ngumu kwake kupata
Uenyekiti au 'legitimacy' inayohitajika pengine kwa sasa....

sasa nilipomuangalia John Mnyika jinsi alivyoendesha kampeni ya ubungo
bila 'kumjeruhi' Julius Mtatiro na jinsi 'anavyo perfom bungeni now'
pamoja na kutomkubali huko nyuma,ameni convince now kuwa 'he is a better leader'
kulinganisha na wengine ndani ya CHADEMA....

1.Sifa ya kwanza ni 'uniter'..ataweza kuunganisha CHADEMA na vyama vingine.


2.Sifa ya pili anapenda 'dialogue' kuliko 'maandamo'....


3.Sifa ya tatu ambayo mimi naona ni muhimu mno now ni age...
ata 'connect' na wananchi ambao wengi ni vijana
yuko engaging na watu....

4.hana 'political garbage' ya aina yeyote for now...haitaji kulipa fadhila kwa yeyote
yuko free kufanya maamuzi kwa jinsi anavyoona,ana uwezo wa kuwa 'ndependent'
kimawazo...

na sifa zingine nyingi kumlinganisha na wengine......

now its time,tukisubiri 'azeeke' atakuwa 'corrupt' na mazoea na culture za siasa za makundi

Chadema wafanye kama DEMOCRATS walivyofanya kwa OBAMA....

mimi nafikiri its time Mnyika awe Mwenyekiti,CHADEMA itawasaidia
1.hoja ya uchagga na ukaskazini
2.hoja ya chama cha familia...

na hoja zingine...nyiingi....Urais anaweza kugombea SLAA au yeyote but Mnyika awe Mwenyekiti....
 
naunga mkono hoja.
C kwa kigezo cha umri la! Bali kwa utendaji kazi wa ndugu mnyika na kuweza kujenga hoja mbalimbali.
Let the man be the chairperson labda abadilikie kwenye cheo iko.

Ila hapo kwenye kumsubiria azeeke ndo atakua mla rushwa natofautiana na wewe mana sijajuwa umetumia kigezo gani.
Mbona wapo umri umeenda na bado waadilifu?
Mla rushwa hana uzee .Haijalishi
 
Nadhani anafaa zaidi kwenye nafasi ya katibu, yaani awe mtendaji. naamini kuwa nafasi ya mwenyekiti inahitaji politician and mnyika is not a politician
 
Bravo Mnyika John.
Ni kijana anayetambua kuwa nchi inamatatizo na suluhisho pekee ni vijana na kama vijana watashindwa kuyatatua matatizo hayo basi wao ndio watakuwa tatizo kama wale WA UVCCM.
 
Halafu Mnyika si mbunge wa Ubungo huyu? Sasa vipi kuhusu ile stendi ya mabasi ya kwenda mkoa....mbona kila kitu pale shaghalabaghala?
 
Ka-perform nini hadi hivi sasa huko bungeni? Naomba unipe orodha ya mafanikio 10 aliyoyafanikisha hadi hivi sasa huko bungeni.

Jina lako kwa kiswahili ni "NZI"

Kwa kawaida nzi huwa hali vitu visafi, atakula vichafu na vilivyooza kwa maana iyo hata maneno yako ni machafu kuliko hata nzi.

Usije sema ulikuwa unamaanisha fly ya kuruka mana hauendani na maana iyo.

Nziiii....!!
 
Ka-perform nini hadi hivi sasa huko bungeni? Naomba unipe orodha ya mafanikio 10 aliyoyafanikisha hadi hivi sasa huko bungeni.

Wenye macho wameona na wenye masikio wamesikia na wataendelea kuona na kusikia! Kama wewe unataka uletewe ushahidi hapa JF, endelea kusubiri!
 
Boss

Hebu tusaidie mpaka sasa amefanya kitu gani outstanding bungeni?

Jimboni kwake jee, kuna mambo gani ya msingi ametekeleza?
 
Jina lako kwa kiswahili ni "NZI"

Kwa kawaida nzi huwa hali vitu visafi, atakula vichafu na vilivyooza kwa maana iyo hata maneno yako ni machafu kuliko hata nzi.

Usije sema ulikuwa unamaanisha fly ya kuruka mana hauendani na maana iyo.

Nziiii....!!

Jina langu halipo kwa Kiswahili. Next...
 
Mnyika hataiweza hiyo kazi.

Ni maoni yangu tu.

Kitila Mkumbo hawezi?

Wako vichwa wengi tu humo,kila mmoja ana kiongozi anayedhani anaweza.

Cha muhimu ni vigezo vya kueleweka.
 
Chadema ndio chama pekee cha upinzani hapa Tanzania ambacho wenyeviti watatu wamekabidhiana madaraka kwa njia za kidemokrasia, Ni mpuuzi pekee ndio hatoweza kuona uongozi wa Mbowe ndio ulioifikisha CHADEMA hapa ilipo, ikumbukwe wakati Bob makani anamkabidhi Mbowe Uenyekiti wa chama CHADEMA ilikuwa hoi.

Sasa basi kwa kifupi wazo lako ni zuri na mwenyekiti aliepo kwa sasa anakipeleka chama vizuri na John huu ni muda wake wa kujifunza muda muafaka ukifika wala hawezi kuwa na upinzani, namkubali sana Mnyika ni kijana ambaye mungu amemjalia kariba ya uongozi.
Kuhusu Zitto Kabwe sahau kabisa yule ni double Agent.
 
Wenye macho wameona na wenye masikio wamesikia na wataendelea kuona na kusikia! Kama wewe unataka uletewe ushahidi hapa JF, endelea kusubiri!

Rhetoric doesn't cut it with me. I want a tangible, proven track record.

What has Mnyika done in the parliament that makes him stand out from the rest of the pack?
 
Its widely believed that Mbowe has already proved failure in his position as party's head which thing necessisates his replacement. His mechanisms appear to be entirely antiquated and so antedivulian that can't wait to be substituted by innovative ones. He should himself see the signs of time and volitionally judge to hand over the duties to a fresh blood in order to spell him.
 
Chadema ndio chama pekee cha upinzani hapa Tanzania ambacho wenyeviti watatu wamekabidhiana madaraka kwa njia za kidemokrasia, Ni mpuuzi pekee ndio hatoweza kuona uongozi wa Mbowe ndio ulioifikisha CHADEMA hapa ilipo, ikumbukwe wakati Bob makani anamkabidhi Mbowe Uenyekiti wa chama CHADEMA ilikuwa hoi.

Sasa basi kwa kifupi wazo lako ni zuri na mwenyekiti aliepo kwa sasa anakipeleka chama vizuri na John huu ni muda wake wa kujifunza muda muafaka ukifika wala hawezi kuwa na upinzani, namkubali sana Mnyika ni kijana ambaye mungu amemjalia kariba ya uongozi.
Kuhusu Zitto Kabwe sahau kabisa yule ni double Agent.

Zitto mwanachadema damu.mnao msumbua mnalenu jambo.
Kafanya baya gani ndani ya chadema?
 
Back
Top Bottom