John Mnyika awaongoza waombolezaji kuaga mwili wa kada wa CHADEMA, Sarah Alex

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,277
6,644
Katibu Mkuu (Kushoto) Mhe. @jjmnyika na Mratibu Uhamasishaji @bavicha_taifa Mhe. @Twaha_Mwaipaya (kulia) wakiwa katika kanisa la Uamsho la Morovian katika ibada ya kumuaga mwimbaji Sarah Alex leo Januari 24, 2022. Kabla ya kuanza safari ya kuelekea Tanga kwaajili ya maziko.

IMG_20220124_133453.jpg
 
Katibu Mkuu (Kushoto) Mhe. @jjmnyika na Mratibu Uhamasishaji @bavicha_taifa Mhe. @Twaha_Mwaipaya (kulia) wakiwa katika kanisa la Uamsho la Morovian katika ibada ya kumuaga mwimbaji Sarah Alex leo Januari 24, 2022. Kabla ya kuanza safari ya kuelekea Tanga kwaajili ya maziko. https://t.co/h5leYzzvOIView attachment 2093842
Alikiwa na umri gani? Maana CHADEMA walisema JPM alifariki kwa kuwa alikuwa muovu! Poleni ila punguzeni ujinga hapo CHADEMA!
 
Katibu Mkuu (Kushoto) Mhe. @jjmnyika na Mratibu Uhamasishaji @bavicha_taifa Mhe. @Twaha_Mwaipaya (kulia) wakiwa katika kanisa la Uamsho la Morovian katika ibada ya kumuaga mwimbaji Sarah Alex leo Januari 24, 2022. Kabla ya kuanza safari ya kuelekea Tanga kwaajili ya maziko. https://t.co/h5leYzzvOIView attachment 2093842
Baada ya kupigwa permanent Ban kwenye ID yako nyingine ya kamanda asiyechoka naona sasa umeanza na hii yako uchwara kushadadia mambo ya Chadema
 
Wee endelea tu. Huoni Sasa hivi ulivyokua muoga baada ya kukuchimbia mkwara mazito humu jamvin hadi unachamba wima. Tunakulia taiming tu ole wako sasa uiname au uchuchumae.
Huu ni kwara au uharo
 
Huwezi kumfananisha shetani aliyepoteza watanzania wenzetu na huyu dada who we celebrates her life hapa duniani,she did not hurt even a fly,jiulize Ben Saanane yupo wapi?
Kwa hiyo ndo mnavyojidanganya hapo CHADEMA nyinyi ndo wema sana! Wapuuzi nyie!
 
Katibu Mkuu (Kushoto) Mhe. @jjmnyika na Mratibu Uhamasishaji @bavicha_taifa Mhe. @Twaha_Mwaipaya (kulia) wakiwa katika kanisa la Uamsho la Morovian katika ibada ya kumuaga mwimbaji Sarah Alex leo Januari 24, 2022. Kabla ya kuanza safari ya kuelekea Tanga kwaajili ya maziko. https://t.co/h5leYzzvOIView attachment 2093842
Hawa wapumbavu kuna uwezekano hata huyo dada alishangilia Magufuli kufariki akidhani yeye ni mwema sana! Jifunzeni utu wema! Mnakera sana!
 
Kwa hiyo ndo mnavyojidanganya hapo CHADEMA nyinyi ndo wema sana! Wapuuzi nyie!
Wewe mtu wa hovyo kabisa unapoleta matusi kwenye msiba. Let us be more serious about what has happened. Likipita mnaweza rudia malumbano yenu ya kisiasa na chuki hata msibani.
 
Back
Top Bottom