Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
- Thread starter
- #41
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.
Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani
mbona hapa sioni kosa, au nakosea kusoma? wawekezaji wamejaa lakini uwekezaji wao unakuwa tata...nadhani huyu mashaka na fisadi wana personal beef.