John Mashaka adanganya umma kupitia ITV

John Mashaka adanganya umma kupitia ITV

ndo tatizo la wanamamba kila kitu chadema

Ndio, kwani siri? CHADEMA ni chama kinachopenda sana vurugu, inatumia vijana kama wakina mashaka, zitto, mjinga sugu, mnyika mbumbumbu jambazi lema, wenje na wengineo kusambaza chuki na vurugu katika jamii ya kitanzania. hiki ni chama ambacho hakifai kabisa kupewa madaraka na dola. Hatukubali kabisa nyie watu kushika dola..... ndoto zenu zitaishia kupiga kelele nguvu ya umma, nguvu ya umma tu... CCM ndio chama, JK ndiye rais tena chaguo la mungu... to hell with CHADEMA.
 
ndo tatizo lenu tanzania mtu akisema kweli anadanganya kwa hiyo wewe unadhani amedanganya nini zinduka wewe

Namchukia kweli. Kazi yake kubwa ni kuponda wachina na wawekezaji. Huyu ndiye anayetangaza kale ka ugonjwa wa kuwachukia wawekezaji wanaotusaidia. Wakipewa ardhi kidogo, hilooooo na kelele zake... khaaaa anakera kweli. abakie huko huko marekani
 
Namchukia kweli. Kazi yake kubwa ni kuponda wachina na wawekezaji. Huyu ndiye anayetangaza kale ka ugonjwa wa kuwachukia wawekezaji wanaotusaidia. Wakipewa ardhi kidogo, hilooooo na kelele zake... khaaaa anakera kweli. abakie huko huko marekani
Unamchukia bure tu. John Mashaka hana ugomvi na investors, bali ana beef na "bogus investors". Siku ya siku utakujaona Chicanos wamekuja kama investors huku wakiwa ni madreva na wakipiga debe kwenye daladala hapo ndio utatia akili. Wananchi wanatakiwa wawe protected
 
Namchukia kweli. Kazi yake kubwa ni kuponda wachina na wawekezaji. Huyu ndiye anayetangaza kale ka ugonjwa wa kuwachukia wawekezaji wanaotusaidia. Wakipewa ardhi kidogo, hilooooo na kelele zake... khaaaa anakera kweli. abakie huko huko marekani

@Sherruf Arpaiao Nakubaliana na wewe. Mashaka ukisoma maandiko yake, hana tatizo na wawekezaji bali ana tatizo na wawekezaji uchwara wa kichinia. Jana tu tumesikia Waziri mkuu Pinda ka saini mkataba huko Iowa Marekani kuwauzia Cargil Eneergy maelufu ya hekari. Wakina Iddi simba wanaiuza hii nchi. Tunachohitaji ni

John Mashaka 10
Zitto Kabwe 10
John Mnyika 10
Tindu Lissu 10
Alima Mdee 10
January Makamba 10
Dr. Wilbroad Slaa 15
John Shibuda 10
Maggid Mjengwa 10

Tanzania itaendelea na Itanyooka kweli hasa tusipokuwa na mafisadi kama wewe mkuu. Tena mafisadi wa kifikra na kimaadili.
 
Unamchukia bure tu. John Mashaka hana ugomvi na investors, bali ana beef na "bogus investors". Siku ya siku utakujaona Chicanos wamekuja kama investors huku wakiwa ni madreva na wakipiga debe kwenye daladala hapo ndio utatia akili. Wananchi wanatakiwa wawe protected

I have nothing to discuss.
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

uwezo/upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana.pole sana,unasafari ndefu sana mpaka uanze kumwelewa mashaka!
 
uwezo/upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana.pole sana,unasafari ndefu sana mpaka uanze kumwelewa mashaka!

wee mponjori, dili za kuiba magri uk ziliishia wapi? hacha wivu wa kike bwana. kam una nondo zako mwaga usinikebehi.. dogo mashaka ni mbabaishaji tu hana lolote
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

Hili ndio tatizo letu tulio wengi, hatujui kitu lakini tunajifanya tunajua. Alichozungumzia John Mashaka ni ukweli, hawa wazungu wanakuja Tanzania majority yao ni incompetent people huku kwao, lakini sisi tunawapokea kwa mikono miwili.

Jee wewe unajua madhara ya FDI ( Foreign Direct Investment), unajua jinsi Tanzania ilivyogeuzwa dampo la bidhaa mbovu za ulaya na china? au unakaa na kutukana watu pasipo kuangalia validity ya point zao?
 
Namchukia kweli. Kazi yake kubwa ni kuponda wachina na wawekezaji. Huyu ndiye anayetangaza kale ka ugonjwa wa kuwachukia wawekezaji wanaotusaidia. Wakipewa ardhi kidogo, hilooooo na kelele zake... khaaaa anakera kweli. abakie huko huko marekani

Chuki binafsi at best.Ndio maana umekula Ban !
 
Back
Top Bottom