John Mashaka adanganya umma kupitia ITV

I am sorry that I also do not know the so called John Mashaka. It is not a crime not knowing somebody. If you happen to know him then let us know otherwise, just shut up! If he was so important in our lives then we would have known him by now. I do not think I can waste my time searching a common name like that.
<br />
<br />

Hauna tofauti na fisadi original. Mashaka yohana ni moto wa kizazi Kimya katika hii nchi
 
Watu kama ninyi ndio mnaifanya JF ikose mwelekeo sasa. Kukemea wawekezaji uchwara ni kosa? Mnataka hata wauza ukwaju ama mkaa mtaani wawe wachina ama wazungu? Mwananchi wa kawaida atafanya nini? John Mashaka ameonyesha uzalendo na sio kibaraka kama ulivyosema hapa

Wewe sherrif, watu kama mashaka, wamepewa elimu na uweao mkubwa wa kuchanganua mambo ili waweze kuchanganua maswala kwa ajili ya mataifa ya magharibi. wakina mashaka siyo vijana wa kawaida ambao ni wazalendo. kwa mfano, nyerere alipata elimu kutoka kwa wazungu, matokeo yake kaja na mbwembwe za ukombozi na matokeo yake mmeona alikopeleka nchi. mara 10 nimsapoti january makamba kuliko kumshabikia yohana mashaka
mtaona muda siyo mrefu mashaka atakuja kugombea urais na amini usiamini kutokana na uwezo wake kujenga hoja, apewe urais. hapo ndo mtakoma, kwa kutokuzikiliza ushauri. huyu fisadi dagaa hana toffauti kabisa na nyerere kimawazo. ni mkomunisti mamboleo, ndo maana anapinga wachina kwa nguvu zote ili tom smith aje tanzania
 
ndo tatizo lenu tanzania mtu akisema kweli anadanganya kwa hiyo wewe unadhani amedanganya nini zinduka wewe
 
ndo tatizo lenu tanzania mtu akisema kweli anadanganya kwa hiyo wewe unadhani amedanganya nini zinduka wewe

amedanganya kwamba wazungu wanaweza kuwa hatari kwa usalama na uchumi wa nchi. rais wetu anaaingaika sana kuleta hawa watalii alafu mtu analeta mambo yaeke ya kusoma darasani kujaribia uwezo wa wa tz kufikiri. huu ni upotoshaji
 
amedanganya kwamba wazungu wanaweza kuwa hatari kwa usalama na uchumi wa nchi. rais wetu anaaingaika sana kuleta hawa watalii alafu mtu analeta mambo yaeke ya kusoma darasani kujaribia uwezo wa wa tz kufikiri. huu ni upotoshaji
<br />
<br />ah ah ah ah raisi wenu anaangaika kuwaleta ah ah ah
 
huyu mtoa mada inaonekana anaugomvi binafsi na John M, kwani alichosema JM ni kweli tupu tumeona wawekezaji nchi hii wakija bila ujuzi wowote na kupewasifa ya uwekezaji. Taifa tunapaswa kuangalia CV za hawa kwani wengine ni aibu.
 
<br />
<br />ah ah ah ah raisi wenu anaangaika kuwaleta ah ah ah

katika kipindi cha miaka 6, rais kikwte amefanya makubwa sana kwa hili taifa. ni rais wa kwanza kuleta wawekezaji wengi kuliko rais yeyote tanzania. amejenga barabara kibao, ametoa uhuru wa maoni. ameongeza kipato kwa kila mtanzania na kuboresha maisha ya watanzania. sasa hawa wakina mashaka wanaokosoa waekezaji wamechangia nini?
 
huyu mtoa mada inaonekana anaugomvi binafsi na John M, kwani alichosema JM ni kweli tupu tumeona wawekezaji nchi hii wakija bila ujuzi wowote na kupewasifa ya uwekezaji. Taifa tunapaswa kuangalia CV za hawa kwani wengine ni aibu.

sina ugomvi na mashaka. wala simjui zaidi ya kumsoma magazetini, redioni na tv. na wala simuonei wivu, mimi nasimamia ukweli. JK amefanya kazi kubwa sana kuinyanyua tanzania kutoka katika umasikini. wakina mashaka wanapokuja na theory zao za wallstreet kujaribisha kwenye hakili za watanzania haiwezekani. atoe ushahidi kwamba wazungu wanahatarisha usalama wa nchi...atoe tuone
 
Siku zote nlidhania huyu FISADI_ORIGINAL anatumia hilo jina just for funny & ID, kumbe anamaanisha tabia yake halisi! Aisee, kumbe inabidi kuyachukulia majina humu JF kwa uzito!
 
Siku zote nlidhania huyu FISADI_ORIGINAL anatumia hilo jina just for funny & ID, kumbe anamaanisha tabia yake halisi! Aisee, kumbe inabidi kuyachukulia majina humu JF kwa uzito!

nyie watu wa CHADEMA hacheni uzushi. Kikwete ndo chaguo la watanzania na ndio chaguo la Mungu. Wakina mashaka, hawana tija kwenye hili taifa. Kwanza mawazo yao siyo endelevu. wanaleta theories za walstreet wakidhania sisi ni wajinga. tumeshawashtukia. JK ameleta maendeleo makubwa sana hapa TZ
 
sina ugomvi na mashaka. wala simjui zaidi ya kumsoma magazetini, redioni na tv. na wala simuonei wivu, mimi nasimamia ukweli. JK amefanya kazi kubwa sana kuinyanyua tanzania kutoka katika umasikini. wakina mashaka wanapokuja na theory zao za wallstreet kujaribisha kwenye hakili za watanzania haiwezekani. atoe ushahidi kwamba wazungu wanahatarisha usalama wa nchi...atoe tuone
nina imani ungekuwa unasoma kwa umakini articles zake basi usingemtuhumu kwa ufisadi. Nakushauri ukarudie tena kusoma articles zake zote kuhusu economic affairs and financial analysis labda ndio utamwelewa vizuri
 
nina imani ungekuwa unasoma kwa umakini articles zake basi usingemtuhumu kwa ufisadi. Nakushauri ukarudie tena kusoma articles zake zote kuhusu economic affairs and financial analysis labda ndio utamwelewa vizuri

Mheshimiwa Sheriff, ukweli ni kwamba. Mashaka hana uwezo wa kuandika yale makala. Anasaidiwa na wamarekani pamoja na CHADEMA wanaomtayarisha kuja kuiba malighafi zetu. kwanza mashaka ni mrundi siyo mtanzania
 
nina imani ungekuwa unasoma kwa umakini articles zake basi usingemtuhumu kwa ufisadi. Nakushauri ukarudie tena kusoma articles zake zote kuhusu economic affairs and financial analysis labda ndio utamwelewa vizuri

mkuu huyu mtoa mada, ana kale ka ugonjwa ka kike ka wivu flani hivi. Sasa mashaka kamkosea nini, yaani sielewi kabisa
 
Mheshimiwa Sheriff, ukweli ni kwamba. Mashaka hana uwezo wa kuandika yale makala. Anasaidiwa na wamarekani pamoja na CHADEMA wanaomtayarisha kuja kuiba malighafi zetu. kwanza mashaka ni mrundi siyo mtanzania

Namfahamu John Mashaka personally na niliwahi kuonana naye kwa mara ya kwanza in NYC in 2007 alikuja kazini nilipokuwa nikifanyia kazi kuonana na CFO wetu. Nilikuwa namsikia tu na nilibahatika kuteta naye kama nusu saa. Tuliendelea kuonana mara kwa mara toka hapo. The guy is well educated na anao more than uwezo wa kuandika makala nyingi.
Nimeshamwona live kwenye local TV akitoa analysis zake kuhusu global emerging markets/global investment banking na namkuballi. Hata wanyamwei huku wanamkubali. Shule ya investiment banking/global Finance imetulia na the guy has exceptional career in global investment banking. Wanaomjua John Mashaka personally watakwambia. Kama alivyosema Sherrif, jaribu kuzisoma articles zake kwa undani na utagundua JM ni mzalendo mwenye kuitakia mema Tanzania. Kikwete angekuwa smart angeweza kumpa JM awe either governor wa Central Bank ama Minister for finance. JM is by far more talented and competent than Nkullo ama Ndullu.
Nimemshuhudia kwa kumsikia kwa masikio yangu mwenyewe mbali ya kusoma articles zake.
Endelea kujifariji eti hana uwezo wa kuandika anachoandika na anasaidiwa na Americans.
 
Namfahamu John Mashaka personally na niliwahi kuonana naye kwa mara ya kwanza in NYC in 2007 alikuja kazini nilipokuwa nikifanyia kazi kuonana na CFO wetu. Nilikuwa namsikia tu na nilibahatika kuteta naye kama nusu saa. Tuliendelea kuonana mara kwa mara toka hapo. The guy is well educated na anao more than uwezo wa kuandika makala nyingi.
Nimeshamwona live kwenye local TV akitoa analysis zake kuhusu global emerging markets/global investment banking na namkuballi. Hata wanyamwei huku wanamkubali. Shule ya investiment banking/global Finance imetulia na the guy has exceptional career in global investment banking. Wanaomjua John Mashaka personally watakwambia. Kama alivyosema Sherrif, jaribu kuzisoma articles zake kwa undani na utagundua JM ni mzalendo mwenye kuitakia mema Tanzania. Kikwete angekuwa smart angeweza kumpa JM awe either governor wa Central Bank ama Minister for finance. JM is by far more talented and competent than Nkullo ama Ndullu.
Nimemshuhudia kwa kumsikia kwa masikio yangu mwenyewe mbali ya kusoma articles zake.
Endelea kujifariji eti hana uwezo wa kuandika anachoandika na anasaidiwa na Americans.

sijakataa kwamba hana akili, hiyo wengi wanakubali, ila amesomaje. Si amesomeshwa na hela zetu za kodi? mashaka anaaribu juhudi za jk za kuleta maendeleo. jk analetawawekezaji, yeye anawaita wawekezaji uchwara. ndo maana nasema kasoma lakini hajaelemika. angekuwa mtu mwenye upeo mdogo asingetamka hayo maneno. huyu ni fisadi wa wamarekani tu, au pengine anatumiwa na CHADEMA. kwa maana vijana wa ccm kama nape, january ni watu makini sana
 
Back
Top Bottom