John Mashaka adanganya umma kupitia ITV

sijakataa kwamba hana akili, hiyo wengi wanakubali, ila amesomaje. Si amesomeshwa na hela zetu za kodi? mashaka anaaribu juhudi za jk za kuleta maendeleo. jk analetawawekezaji, yeye anawaita wawekezaji uchwara. ndo maana nasema kasoma lakini hajaelemika. angekuwa mtu mwenye upeo mdogo asingetamka hayo maneno. huyu ni fisadi wa wamarekani tu, au pengine anatumiwa na CHADEMA. kwa maana vijana wa ccm kama nape, january ni watu makini sana

Watu wanaoeshimika sana kwenye hili jamvi ni Mshirika wangu William Malecela ambaye aliwahi kunisimulia mengi sana kuhusu Mashaka, akisema kwamba ni mmoja wa vijana wa kuogopwa licha ya ukweli kwamba wote wawili tunamfahamu huyu kijana tangu akia kijana mdogo sana. Mimi pamoja na Mh. William Malecela tumemuona huyu kijana tangu mdogo pale Ukonga Segerea. William kwa sasa hivi ni mshirika wa karibu wa Yohana Mashaka, na nadhania wote wanajitayarisha kurudi 2015, lich aya yote, mchumba wa mashaka ana undugu na William Malecella. Mheshimiwa Pinda, Rais Kikwete, Bernanrd Membe, Dr. Wilbrod Slaa, Dr. John Magufuli, Lowassa na hata Gavana wa BoT, Ndullu, ni baadhi tu ya viongozi wa kitanzania wanaomwangalia Mashaka kwa umakini. Lau Masha alishawahi kupitia hata faili lake uhamiaji kutaka kujua kama kweli ni mtanzania. Kwa hiyo kama bado kuna mtu anakuwa na wasiwasi kuhusu umakini wa Yohana mashaka, kama alivyo Fisadi-Original, basi huyo mtu inabidi ajiulize maswali ya msingi.

Wewe unayejiita FISADI_ORIGINAL. Nina uhakika kwamba unaumwa kwa maana mada yao haieleweki. Kwanza haumjui Yohanna Mashaka. Huyu mtoto/kijana ni mstaarabu sana, mwenye upendo, heshima na bidii ya hali ya juu. nimemfahamu huyu kijana kutokea Segerea ambako amekulia. Kati ya vijana wachache walipendwa kutokana na ustaarabu wao mashaka ni wa kwanza. Nakumbuka sana akisoma Kenya miaka ya 90, akiwa na umri wa miaka kati ya 14-16. Mashaka alikuwa ni mfano wa kuigwa na vijana wenzake. Uwezo wake wa kufikiri hauna mjadala, na kwa anayemfahamu vizuri, mashaka ana uwezo mkubwa sana wa kujenga na kutetea hoja zake. Mashaka tangu utotoni kila mtu alimfahamu kwamba ni Jinias . kwa hiyo mtu anaposema kabisa bila aibu kwamba ameandikiwa makala zake, basi huyo mtu atakuwa ni chizi fulani. Kama kuna ma jenius tanzania, bila shaka mashaka ni mmoja wao.

Zitto, Mnyika, Alima Mdee, Tindu Lissu watafurahi sana kuwa na kijana kama mashaka upande wao. huyu siyo mtu wa kubabaishwa. Uzalendo wake ni wa hali ya juu, hasa katika kutetea maslahi ya kitaifa. kwa hiyo mimi sioni sababu ya msingi ya kumuita fisadi kwa sababu kapinga kuwepo kwa wawekezaji uchwara. Kwa yeyote anayefahamu nchi ya marekani, ubaguzi ni wa hali ya juu, na nafasi za investment banking nyingi ni za wazungu. kwa hiyo mweusi tena mwafrika ili aingie, ina maana mtu huyo anakubalika sana. Sina shaka kwamba Mashaka ameonyesha uwezo mkubwa ndo maana kapata nafasi ya kuingia kwenye masoko ya kifedha. kwa maana hiyo fisadi original nitakuita una chuki binafsi au wivu.

Nawakilisha
 
sijakataa kwamba hana akili, hiyo wengi wanakubali, ila amesomaje. Si amesomeshwa na hela zetu za kodi? mashaka anaaribu juhudi za jk za kuleta maendeleo. jk analetawawekezaji, yeye anawaita wawekezaji uchwara. ndo maana nasema kasoma lakini hajaelemika. angekuwa mtu mwenye upeo mdogo asingetamka hayo maneno. huyu ni fisadi wa wamarekani tu, au pengine anatumiwa na CHADEMA. kwa maana vijana wa ccm kama nape, january ni watu makini sana

Nafikiri hujaielewa kwa ufasaha article yake aliyozungumzia kuhusu wawekezaji uchwara could be either it's because JM was too lofty for you to comprehend or your ability to read and understand a carefully worded article is an issue here. Perhaps JM angeandika ile article kwa kiswahili labda ingekuwa nafuu kwako. Ukiwapata John Mashaka wanne tu ktk cabinet yako basi Tanzania will be the next Malaysia. Lakini tabu yetu ndio cabinet iliyopo imejaa vilaza na watu wenye kujali personal interests zao na sio za taifa kama akina Ngeleja. Katika fani ya masuala ya kiuchumi na fedha huzuwezi kumlinganisha John Mashaka na Nkullo wala gavan Ndullu, anawaacha kwa kila namna. John Mashaka hana itikadi yoyote ya chama yeye si magamba wala magwanda, the guy is more interested to help Tanzania. Wanaomjua kwa ukaribu watakwambia. Acha kumsingizia mtu vitu ambavyo uelewa wako ni mdogo.
JM ameshakwambia hana matatizo na wawekezaji Tanzania ila ana matatizo na wawekezaji uchwara. Sasa kama kwako wewe hata mwekezaji anayekuja kuuza ice cream ama kioski mtaani ni mwekezaji sawa mkuu sitaendelea kukubishia.
Nakushauri go back and read that article carefully, and you should also develop your critical thinking. Thanks
 
Nimesoma baadhi ya articles zake(John Mashaka),nakubaliana naye kwenye issues za land ownership.Kuhusu wawekezaji,that is global wachina hata marekani,Australia wamejazana na hufanya biashara hizi hizi za roses on the highways.Tangu zamani sana!!!,angalia movie ya "Do the right thing" halafu niambie yule mkorea kama si machinga.
Hivi vitu vipo kila sehemu duniani na si rahisi kwa serikali yoyote kuzuia migration ya watu as long as the pastures are greener than where they are coming from.
Hawa wachina na wazungu au wahindi wakiondoka,haitamaanisha kuwa maisha yetu yatakuwa bora...let's focus on the real issues na tuachana na vilawama mbuzi amavyo kwa ukweli havina major impact kwenye uchumi wetu.Kwani sisi hatuwezi kuuza roses barabarani?,hatujui bodaboda imewapa vijana wetu wangapi ajira mpaka vijijini?..kama mchina au mzungu akiuza maji,so what?..if u need money,hustle stop playa hating on the sidelines.
No matter how educated the dude may be perceived as,there's a big disconnect that you can easily detect between his thoughts and the day to day life of an average Tanzanian....
I know y'all gon bring that foundation thing,please dont,a lot of us do have well drillinng or lil orphanages in villages,but that is not what we really really need.
 
Nimesoma baadhi ya articles zake(John Mashaka),nakubaliana naye kwenye issues za land ownership.Kuhusu wawekezaji,that is global wachina hata marekani,Australia wamejazana na hufanya biashara hizi hizi za roses on the highways.Tangu zamani sana!!!,angalia movie ya "Do the right thing" halafu niambie yule mkorea kama si machinga.
Hivi vitu vipo kila sehemu duniani na si rahisi kwa serikali yoyote kuzuia migration ya watu as long as the pastures are greener than where they are coming from.
Hawa wachina na wazungu au wahindi wakiondoka,haitamaanisha kuwa maisha yetu yatakuwa bora...let's focus on the real issues na tuachana na vilawama mbuzi amavyo kwa ukweli havina major impact kwenye uchumi wetu.Kwani sisi hatuwezi kuuza roses barabarani?,hatujui bodaboda imewapa vijana wetu wangapi ajira mpaka vijijini?..kama mchina au mzungu akiuza maji,so what?..if u need money,hustle stop playa hating on the sidelines.
No matter how educated the dude may be perceived as,there's a big disconnect that you can easily detect between his thoughts and the day to day life of an average Tanzanian....
I know y'all gon bring that foundation thing,please dont,a lot of us do have well drillinng or lil orphanages in villages,but that is not what we really really need.

Kobello, migration ya watu is ok esp. ktk zama hizi za globalization. However, kila nchi inakuwa na sheria zake za uhamiaji ambazo zimewekwa ili ku-protect the locals esp. wale ambao wako so vulnerable/disadvantaged. Ukiruhusu investors waje kuwekeza bongo ni jambo zuri na la heri sababu watakweate jobs, watalipa taxes na watakuza uchumi. Lakini investors wenyewe kama wanakuja kufanya biashara ya kusukuma mkokoteni ama kuuza ukwaju mtaani basi hapo eventually unaelekea kuleta civil unrest. Manake wazawa watakuwa hawana cha kufanya sasa na mwisho wa siku hata dereva na utingo wa daladala ama wa bodaboda atakuwa mchina. Wazawa watabaki kuwa vibaka
 
Nimesoma baadhi ya articles zake(John Mashaka),nakubaliana naye kwenye issues za land ownership.Kuhusu wawekezaji,that is global wachina hata marekani,Australia wamejazana na hufanya biashara hizi hizi za roses on the highways.Tangu zamani sana!!!,angalia movie ya "Do the right thing" halafu niambie yule mkorea kama si machinga.
Hivi vitu vipo kila sehemu duniani na si rahisi kwa serikali yoyote kuzuia migration ya watu as long as the pastures are greener than where they are coming from.
Hawa wachina na wazungu au wahindi wakiondoka,haitamaanisha kuwa maisha yetu yatakuwa bora...let's focus on the real issues na tuachana na vilawama mbuzi amavyo kwa ukweli havina major impact kwenye uchumi wetu.Kwani sisi hatuwezi kuuza roses barabarani?,hatujui bodaboda imewapa vijana wetu wangapi ajira mpaka vijijini?..kama mchina au mzungu akiuza maji,so what?..if u need money,hustle stop playa hating on the sidelines.
No matter how educated the dude may be perceived as,there's a big disconnect that you can easily detect between his thoughts and the day to day life of an average Tanzanian....
I know y'all gon bring that foundation thing,please dont,a lot of us do have well drillinng or lil orphanages in villages,but that is not what we really really need.

Yohana Mashaka is a very brilliant polarizing figure. But one way of the other, I do agree with him or several issues. The issue of immigration needs to be reviewed in Tanzania. We have not control of our borders, the pirates from Somalia are now controlling our housing sector. Chinese are killing our local entrepreneurship while the government is wide awake watching. These people have class A work permits which shoud be issued only to investors. I think the problem lies in the hands of Kikwete's regime which has no policy. Under the current problems, we are faced with one option; the mashaka generation to mobilize change. these are the people that changed Libya, Tunisia, Egypt and now syria.
 
Kobello, migration ya watu is ok esp. ktk zama hizi za globalization. However, kila nchi inakuwa na sheria zake za uhamiaji ambazo zimewekwa ili ku-protect the locals esp. wale ambao wako so vulnerable/disadvantaged. Ukiruhusu investors waje kuwekeza bongo ni jambo zuri na la heri sababu watakweate jobs, watalipa taxes na watakuza uchumi. Lakini investors wenyewe kama wanakuja kufanya biashara ya kusukuma mkokoteni ama kuuza ukwaju mtaani basi hapo eventually unaelekea kuleta civil unrest. Manake wazawa watakuwa hawana cha kufanya sasa na mwisho wa siku hata dereva na utingo wa daladala ama wa bodaboda atakuwa mchina. Wazawa watabaki kuwa vibaka
I do understand where u coming from,hata John Mashaka nazipenda sana articles zake even though they are too hypothetical and sometimes vague.Imagine kuna watu wawili wanauza machungwa,mmoja mzungu,mwengine mluguru..,wewe utanunua kwa nani? Bussiness is bussiness,it has it's principles and as long as people are not forced to buy or sell,the rest is just natural utanunua kwa mtu mwenye bei rahisi na quality itakayokidhi mahitaji yako,period...the rest has negligibly low effect on the economy as a whole.
Kama wamachinga wetu wangetutosheleza mahitaji yetu,why would anybody buy from the chinese? Are you trying to tell me that these micro investors are blocking the real,big corporate investors from coming to Tanzania?
Are you really serious that investment is done well by mega corporations,pseudo conglomerates that operates with wall street dough? Do you see the conflict of interest here?
Watu wa nyamongo na Nzega wangeweza kushirikiana na wachimba madini wadogo wadogo toka China or wherever and produce the same amount of gold na pesa(angalau 50%) kubaki hapa bongo.Instead,we are just corrupt-minded wall street ass kissers who think big boys like Barrick gold with their stock of geologists and investment bankers are suitable when it comes to exploiting our resources.This kinda thinking is absurd and not revolutionary...we need to be military minded and take charge instead of blaming people who joined us,live poor with us while trying to feed their families.They can learn from us an we can learn from'em.
 
No matter how educated the dude may be perceived as,there's a big disconnect that you can easily detect between his thoughts and the day to day life of an average Tanzanian....

Could you please clarify what you mean exactly by your above statement; in particular, the following: "there's a big disconnect that you can easily detect between his thoughts and the day to day life of an average Tanzanian"?

..a lot of us do have well drillinng or lil orphanages in villages,but that is not what we really really need.

Why is it important for you (in the context of this discussion), to mention your alleged bona fide projects "in villages" in the first place? What exactly is your motive for doing so, and what do you intend to achieve by mentioning these kinds of things?
 
Could you please clarify what you mean exactly by your above statement; in particular, the following: "there's a big disconnect that you can easily detect between his thoughts and the day to day life of an average Tanzanian"?



Why is it important for you (in the context of this discussion), to mention your alleged bona fide projects "in villages" in the first place? What exactly is your motive for doing so, and what do you intend to achieve by mentioning these kinds of things?

Abstain and cut OFF completely, all the unnecessary spending, and purchases
• Do not rush into the bank to remove your deposits, because you will create an environment in which banks liquidity runs to zero, hence a
collapse.
• Make sure you ask from your bank how much money they insure with the central bank as those in America and Europe, be assured that, All your deposits are safe. Bank of England and European Union Central Banks are currently in charge of all deposits
• Constantly check with your Bank to see how things are moving in terms of the safety of your deposits
• I know many cannot afford depositing their monies into precious metals, but for those with excess cash, may want to consider this option as an alternative to safeguarding their most liquid assets (cash) and these valuables can be deposited in most of the banks, this will ensure economic continuity in the economy.
• Be careful, and not fall a prey of con artists with cure to any economic problem. Your trusted licensed banker and government monetary officials entrusted with the task should be the only persons to deal with - Swahili times,October 18,2008,"Global Economic Outlook Advice to Tanzanians and East Africans"

Kwanza nakuomba samahani kama nimekuudhi kwa kutomshabikia msomi au role model wako kwa jinsi ambayo labda ulitarajia.Huo ni ushauri mzuri wa kisomi,but I,m sorry to say that it wasn't tailored for East Africans, but may be for the few, Urban intellectual burgouse that are kinda predominant here in JF.

To a normal east african(bearing in mind there are mothers watching their kids dying in north kenya/somalia..) this is just blah blah from a wall street banker.People don't have money to spend on unneccessary things,let alone having a savings account.

Swali lako la pili,just because somebody has a foundation,it doesn't neccessarily mean that he is an extraordinary whatever,cos I just saw a post reflecting "kutoa ni moyo...." from bongo celebrity.

Mimi ni mbeba box,I have no money to spare and always tyring to make my paycheck meet the next one.That was just an example,never tried to brag cos I just don't have the balls to do so.
 
Watu wanaoeshimika sana kwenye hili jamvi ni Mshirika wangu William Malecela ambaye aliwahi kunisimulia mengi sana kuhusu Mashaka, akisema kwamba ni mmoja wa vijana wa kuogopwa licha ya ukweli kwamba wote wawili tunamfahamu huyu kijana tangu akia kijana mdogo sana. Mimi pamoja na Mh. William Malecela tumemuona huyu kijana tangu mdogo pale Ukonga Segerea. William kwa sasa hivi ni mshirika wa karibu wa Yohana Mashaka, na nadhania wote wanajitayarisha kurudi 2015, lich aya yote, mchumba wa mashaka ana undugu na William Malecella. Mheshimiwa Pinda, Rais Kikwete, Bernanrd Membe, Dr. Wilbrod Slaa, Dr. John Magufuli, Lowassa na hata Gavana wa BoT, Ndullu, ni baadhi tu ya viongozi wa kitanzania wanaomwangalia Mashaka kwa umakini. Lau Masha alishawahi kupitia hata faili lake uhamiaji kutaka kujua kama kweli ni mtanzania. Kwa hiyo kama bado kuna mtu anakuwa na wasiwasi kuhusu umakini wa Yohana mashaka, kama alivyo Fisadi-Original, basi huyo mtu inabidi ajiulize maswali ya msingi.

Wewe unayejiita FISADI_ORIGINAL. Nina uhakika kwamba unaumwa kwa maana mada yao haieleweki. Kwanza haumjui Yohanna Mashaka. Huyu mtoto/kijana ni mstaarabu sana, mwenye upendo, heshima na bidii ya hali ya juu. nimemfahamu huyu kijana kutokea Segerea ambako amekulia. Kati ya vijana wachache walipendwa kutokana na ustaarabu wao mashaka ni wa kwanza. Nakumbuka sana akisoma Kenya miaka ya 90, akiwa na umri wa miaka kati ya 14-16. Mashaka alikuwa ni mfano wa kuigwa na vijana wenzake. Uwezo wake wa kufikiri hauna mjadala, na kwa anayemfahamu vizuri, mashaka ana uwezo mkubwa sana wa kujenga na kutetea hoja zake. Mashaka tangu utotoni kila mtu alimfahamu kwamba ni Jinias . kwa hiyo mtu anaposema kabisa bila aibu kwamba ameandikiwa makala zake, basi huyo mtu atakuwa ni chizi fulani. Kama kuna ma jenius tanzania, bila shaka mashaka ni mmoja wao.

Zitto, Mnyika, Alima Mdee, Tindu Lissu watafurahi sana kuwa na kijana kama mashaka upande wao. huyu siyo mtu wa kubabaishwa. Uzalendo wake ni wa hali ya juu, hasa katika kutetea maslahi ya kitaifa. kwa hiyo mimi sioni sababu ya msingi ya kumuita fisadi kwa sababu kapinga kuwepo kwa wawekezaji uchwara. Kwa yeyote anayefahamu nchi ya marekani, ubaguzi ni wa hali ya juu, na nafasi za investment banking nyingi ni za wazungu. kwa hiyo mweusi tena mwafrika ili aingie, ina maana mtu huyo anakubalika sana. Sina shaka kwamba Mashaka ameonyesha uwezo mkubwa ndo maana kapata nafasi ya kuingia kwenye masoko ya kifedha. kwa maana hiyo fisadi original nitakuita una chuki binafsi au wivu.

Nawakilisha

Bw. hata sisi ni ma Genius na tumetulia tu kitaa. Mbona mnamfanya kijana aonekane kama mungu mtu. mnajua mnampa huyu mashaka umaarufu kupita maelezo? hacheni kumjadili hana la maana kujadili kwanza
 
katika kipindi cha miaka 6, rais kikwte amefanya makubwa sana kwa hili taifa. ni rais wa kwanza kuleta wawekezaji wengi kuliko rais yeyote tanzania. amejenga barabara kibao, ametoa uhuru wa maoni. ameongeza kipato kwa kila mtanzania na kuboresha maisha ya watanzania. sasa hawa wakina mashaka wanaokosoa waekezaji wamechangia nini?

Kweli wewe ni FISADI ORIGINAL
 
I do understand where u coming from,hata John Mashaka nazipenda sana articles zake even though they are too hypothetical and sometimes vague.Imagine kuna watu wawili wanauza machungwa,mmoja mzungu,mwengine mluguru..,wewe utanunua kwa nani? Bussiness is bussiness,it has it's principles and as long as people are not forced to buy or sell,the rest is just natural utanunua kwa mtu mwenye bei rahisi na quality itakayokidhi mahitaji yako,period...the rest has negligibly low effect on the economy as a whole.
Kama wamachinga wetu wangetutosheleza mahitaji yetu,why would anybody buy from the chinese? Are you trying to tell me that these micro investors are blocking the real,big corporate investors from coming to Tanzania?
Are you really serious that investment is done well by mega corporations,pseudo conglomerates that operates with wall street dough? Do you see the conflict of interest here?
Watu wa nyamongo na Nzega wangeweza kushirikiana na wachimba madini wadogo wadogo toka China or wherever and produce the same amount of gold na pesa(angalau 50%) kubaki hapa bongo.Instead,we are just corrupt-minded wall street ass kissers who think big boys like Barrick gold with their stock of geologists and investment bankers are suitable when it comes to exploiting our resources.This kinda thinking is absurd and not revolutionary...we need to be military minded and take charge instead of blaming people who joined us,live poor with us while trying to feed their families.They can learn from us an we can learn from'em.

nadhani kuna disconnect kubwa kati yako na mashaka. nadhani umetoka nje ya topic kidogo mkuu
 
Of course there's!

mimi siielewi kabisa hii jamiiforums. mtu kama mashaka, mmemjenga kwa kumpa misifa ya hovyo kweli. mmeshampaisha kwa umaarufu sasa. huyu kwanza hata uenyekiti wa nyumba kumi hawezi, hacheni ya ubunge. sasa huyu na sugu wana tofauti gani. mashaka na sugu ni sawa kabisa, mara kumi lameck airo wa rorya
 
katika kipindi cha miaka 6, rais kikwte amefanya makubwa sana kwa hili taifa. ni rais wa kwanza kuleta wawekezaji wengi kuliko rais yeyote tanzania. amejenga barabara kibao, ametoa uhuru wa maoni. ameongeza kipato kwa kila mtanzania na kuboresha maisha ya watanzania. sasa hawa wakina mashaka wanaokosoa waekezaji wamechangia nini?
CraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAaaaaaaap.
 
CraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAaaaaaaap.

babu kijana. hacha ubishi, kwa maana hauna data za kupinga hoja yangu. JK kajenga barabara lukuki, shule zimeongezeka maradufu. sasa ubishi ni nini? nani kama JK? ndo maana naichukulia personal watu kama mashaka wanapowaitwa wazungu wawekezaji wazungu uchwara
 
babu kijana. hacha ubishi, kwa maana hauna data za kupinga hoja yangu. JK kajenga barabara lukuki, shule zimeongezeka maradufu. sasa ubishi ni nini? nani kama JK? ndo maana naichukulia personal watu kama mashaka wanapowaitwa wazungu wawekezaji wazungu uchwara

unajua haya matamshi yako ni sawa na kuwatukana watanzania? unajua ni madhambi mangapi kikwete amewafanyia watanzania. ningekuwa na uwezo ningekuvalisha kitanzi shingoni. kafanye ufisadi mbali mkuu,
 
unajua haya matamshi yako ni sawa na kuwatukana watanzania? unajua ni madhambi mangapi kikwete amewafanyia watanzania. ningekuwa na uwezo ningekuvalisha kitanzi shingoni. kafanye ufisadi mbali mkuu,

kama kawaida yenu, watuwa CHADEMA hamnaga pointi, kulaumu tu...... nani kama jk?
 
kama kawaida yenu, watuwa CHADEMA hamnaga pointi, kulaumu tu...... nani kama jk?

wewe si mwanamagamba, nadhani unatumia masaburi kufikiria pointi zako, kwa maana kila ulichoandika humu ni upupu mtupu. jaujui kwamba kikwete ni janga la taifa? ameuza kila kitu kwa waarabu, wasomali na wachina chini ya wimbo wake wa udini. kwa hiyo ni bora unyamaze kuliko kuzidi kujidhalilisha
 
Back
Top Bottom