PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Taarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.

Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.

Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.



View attachment 3312400


View attachment 3312401


Serikali ndiyo wanayoyataka wakizani ndiyo wataonga kirahisi kwakuwa kuna vyama 18 marafiki zao wanawatii.Ni ukweli usiyo pingika uchaguzi hauwezi kufanyika ktk mazingira haya hata kidogo uchaguzi ni maridhiano kati ya watawala na watawaliwa kukiw,,a hakuna maridhiano huo unakuwa utawala wa kimabavu.Na utawala wakimabavu kwa sasa haukubaliki duniani kwahiyo Tanzania tunaweza kuwa kisiwa na hakuna hata mmoja atatuunga mkono kwasababu hata uganda pamoja na mabavu yote anayotumia Mseven lakini tume yao ya uchaguzi ipo vizuri
 
Jiwe alikuwa laana kwa Taifa. Bila Mungu sijui tungekuwa wapi
Hiyo dhana ndiyo iliyo fanya chadema kupoteza nguvu ya umma....wengi mnao sema hivyo sasa hivi ni vibaraka wa samia lengo ni kuifanya chadema isifufuke kwenye nguvu ya umma...hivyo nadhani wewe ni mtu wa ccm upande wa samia unajifanya kama chadema
 
Nimeukumbuka huu uzi:


Kiko wapi sasa!
Tuliwaambia kuwa ni mapema sana kuanza kumshangilia huyo mama!

Hawakutusikia. Wakatuita Sukuma Gang.

Nawacheka tu sasa hivi 🤣.
 
Ooh yeye na Magu ni tofauti, yeye anatembea na 4R wakati mtangulizi wake alikuwa dikteta, muonevu, muuaji na katili.

Kiko wapi leo, amekuwa katili na muonevu kuliko hao waliomtangulia.
😂WASENGE ndio jina linaowastahili mbulula wote waliokuwa wanamdiss JPM.
 
Hiyo dhana ndiyo iliyo fanya chadema kupoteza nguvu ya umma....wengi mnao sema hivyo sasa hivi ni vibaraka wa samia lengo ni kuifanya chadema isifufuke kwenye nguvu ya umma...hivyo nadhani wewe ni mtu wa ccm upande wa samia unajifanya kama chadema
Wapi nimewahi kusema mimi ni CDM au CCM. Punguza mahaba yasiyo na ulazima. Mimi nimesema kwamba Jiwe alikuwa laana kwa Taifa. Kusema hivyo sina maana mimi ni mfuasi wa Cdm au Ccm. Huo ni ukweli na bila Mungu mpaka sasa tungekuwa tumekwisha wote.
 
KWa mujibu wa kamanda kadai hawajakamatwa bali walitolewa eneo la tukio wasifanye mkutano kwani kariakoo hakuna uwanja wa mkutano na wako huru
 
Huu Moto unaopaliliwa hautamuacha Samia salama

Sijajuwa Samia ana mpango gani na Tanzania au ni agent wa warabu sisi tupo tu tunashangaa shangaa ndio anatuuza na kuiua Tanzania?
Sio kwamba tupo tu, bali tunamsaidia kuliuza na kuizamisha nchi Kwa kupiga vigelegele vya mitano Tena!
 
😂WASENGE ndio jina linaowastahili mbulula wote waliokuwa wanamdiss JPM.
Vichwa mbovu wote wana maneno yasiyo na staha,hapa pia tutaanza kuunga dots kuwa haya yanayotokea ni ushindani na mifarakani ndani ya ccm,na utawala wake.Ila Watanzania wapo macho dhidi ya upuuzi wowote,bila kujali upuuzi huuo unafanywa kwa malengo yapi?Hapa upo uwezekano wa kuwa Sukuma gang imefufuka ama imejifufua kupitia haya ambayo taifa linapitia hivi leo.
 
Wapi nimewahi kusema mimi ni CDM au CCM. Punguza mahaba yasiyo na ulazima. Mimi nimesema kwamba Jiwe alikuwa laana kwa Taifa. Kusema hivyo sina maana mimi ni mfuasi wa Cdm au Ccm. Huo ni ukweli na bila Mungu mpaka sasa tungekuwa tumekwisha wote.
Nimetumia akili ya mlango wa 9 kukutambua kuwa ni MPUMBAVU WA CCM
 
Back
Top Bottom