PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Mtanganyika gani aliwaandikia barua CHADEMA kuwa iwapiganie? Weka nakala

Wao wanapugania tonetone tu ndio masna wanapuuzwa na watanganyika hata wakikamatwa fresh tu

Watanganyika wanaendelea na shughuli zao kama hakujatokea chochote
😡
 
Maadui wa chadema na watanzania leo ndiyo walio kuwa maadui wa JPM
Maadui wa taifa hiki wezi wakura,wezi wa rasilimali,chawa kwa nalipo hafifu ya rushwa za kofia,mlo wa kwenye vikao na mikutano,na ile ya mikopo nyonyaji au ahadi yake.Watumiwao kutisha kunyanyasa,kuteka na kitengeneza kesi mchongo,hao ndio maadui wa Watanzania na chanzo cha umaskini kwa Watanzania.Mengine yote porojo za chawa na wezi wenyewe ili kuwa hadaa Watanzania.
 
Tatizo ni akili zenu ndogo JPM Alikuwa vitani hivyo katiba hii iliyo mpa nguvu kubwa ilikuwa ni njema kwake kwa kumuwezesha kupambana na mafisadi wabaya sana na maadui wakubwa wa taifa....tumia akili
Mkuu chadema ilimzuia?
 
Kulikuwa na umuhimu gani kwenda kariakoo ,lema alitakiwa aendelee kuchanja mbuga kwenye Kanda

Lisu sio wakutoka Leo
 
Mkuu chadema ilimzuia?
Ndiyo .. chadema walijigeuza ccm kutetea mafisadi na kulifitinisha taifa na kumchafua jpm na kufanya hujuma mbalimbali kitaifa na kimataifa.
Na JPM alijigeuza chadema kutetea wananchi na nchi kizalendo hivyo ccm madhalimu kuwa upande wa chadema dhidi ya magufuli .
 
Tatizo ni akili zenu ndogo JPM Alikuwa vitani hivyo katiba hii iliyo mpa nguvu kubwa ilikuwa ni njema kwake kwa kumuwezesha kupambana na mafisadi wabaya sana na maadui wakubwa wa taifa....tumia akili
Kwa hilo utawachuuza chawa wabobezi wa upande wenu tuu na sii vinginevyo
 
Kwa hilo utawachuuza chawa wabobezi wa upande wenu tuu na sii vinginevyo
Ndiyo maana watu kama nyinyi mkipata urais mnabadilika na kuwa waovu maana mnashindwaga kutambua mambo yanayo mkuta kiongozi pale anapokuwa rais .....
 
Ndiyo maana watu kama nyinyi mkipata urais mnabadilika na kuwa waovu maana mnashindwaga kutambua mambo yanayo mkuta kiongozi pale anapokuwa rais .....
Huwa nini kinawakuta kama sii uchawa wanaojikomba kwa manufaa yao ya tuvikundi vyao,ama taamaa yabkushibisha matumbo yao na jamii zao.Nini kinashindikana kutambuua huu upuzi na kuachana nao kwa maslahi ya taifa na Watu wake walio wengi na sii vijikundi vya kutazama maslahi yake yalipo pekee?
 
Haya ndiyo mambo viongozi wengi wa kiafrika wanayaweza. Kuleta maendeleo kwa wananchi hakuna, maendeleo ni yao na viongozi. Anatokea mtu/watu wa kusemea mabadiliko, mnakamata kumuweka ndani.

Hii yote ni madaraka tu, why mtu usijikite na kufanya wananchi wawe na maisha bora, kuliko hizi drama za kufanya uogopewe. Kwani mabadiliko yakifanyika na mna uhakika wa kushinda shida iko wapi? Kwani hii ngozi nyeusi ina shida gani dah!!!
 
Nimeukumbuka huu uzi:


Kiko wapi sasa!
 
Ndiyo .. chadema walijigeuza ccm kutetea mafisadi na kulifitinisha taifa na kumchafua jpm na kufanya hujuma mbalimbali kitaifa na kimataifa.
Na JPM alijigeuza chadema kutetea wananchi na nchi kizalendo hivyo ccm madhalimu kuwa upande wa chadema dhidi ya magufuli .
Jiwe alikuwa laana kwa Taifa. Bila Mungu sijui tungekuwa wapi
 
CCM hawajafurahishwa chadema kuongozwa na lissu na heche
 
Back
Top Bottom