Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,494
- 69,377
😡Mtanganyika gani aliwaandikia barua CHADEMA kuwa iwapiganie? Weka nakala
Wao wanapugania tonetone tu ndio masna wanapuuzwa na watanganyika hata wakikamatwa fresh tu
Watanganyika wanaendelea na shughuli zao kama hakujatokea chochote