Sio Tanzania hayo mambo yako nchi zilizotawaliwa na Mfaransa hasakuna siku ataenda nje ya nchi akirudi atakuta kiti chake kimekaliwa na mtu mwingine.
Ambako hata coplo au captain aweza pindua nchi
Sio Tanzania hayo mambo yako nchi zilizotawaliwa na Mfaransa hasakuna siku ataenda nje ya nchi akirudi atakuta kiti chake kimekaliwa na mtu mwingine.
Ni mpumbavu tu ndiyo anaweza kuuliza swali hili.Kariakoo ni sehemu ya Biashara au mikutano ya siasa?
Kama ni hivyo itakuwa ni jambo nzuri😀Kuna taarifa za siri, kuwa kuna mpango mbaya sana wa muda mrefu dhidi ya Tanganyika. Mpango wa siri, ni kuwa eneo lote la pwani linatakiwa kuchukuliwa na waarabu. Njia zote za kiuchumi zinatakiwa kumilikiwa na waarabu. Wakishapata nguvu za kiuchumi, na watanganyika wakawa waajiriwa tu wa waarabu, hao waarabu watachukua nguvu za kisiasa. Wakipata nguvu za kisiasa, watapitisha uamuzi wa kuwa eneo lote la pwani toka Mtwara hadi Pangani, kilometer 20 toka ufukwe wa bahari, na kisiwa cha Kilwa, ni maeneo ya Zanzibar kwani maeneo hayo kabla ya uhuru, na kabla ya ujio wa Wajerumani, yalikuwa milki ya Sultani wa Oman. Wakilikamilisha hilo, Zanzibar itajitoa kwenye muungano, na Tanganyika haitakuwa na bandari hata moja, na hivyo Watanganyika watalazimika kuinyenyekea Zanzibar ili kutumia bandari zao, ikifika hapo Zanzibar itakuwa Dubai ya Afrika.
Endelea kuotaNadhani siku za usoni Watanzania watakuwa wanawaogopa kama ukoma Wanawake kuwapa uongozi!!
Kwan pale ni wapi mkuu ? Kumbe loss ni kuweka foleni ? Ile Barabara gani? Tatizo lenu mnadhani kariakoo kila sehemu kuna foleni....ngoja tuone watasema kafanya nini ili nije nkuulize vinahusiana nini na fulani, viongozi we hii nchi ni wapumbavu sanaHeche kasema nini kariakoo zaidi ya kuzua foleni za misongamano ya watu na mgari kwa kusimama barabarani, kwenye barabara iliyo busy na kuleta usumbufu kwa watumia barabara? Ndio maana alipokamatwa wananchi hawakujali zaidi ya kupongeza jeshi la polisi kufungua barabara kuondoa foleni
Shida ya Tanzania sio jinsia kuongoza,shida ya Tanzania ni katiba maana inampa kiongozi kinga ya kutohojiwa na yoyote.Nadhani siku za usoni Watanzania watakuwa wanawaogopa kama ukoma Wanawake kuwapa uongozi!!
Huu Moto unaopaliliwa hautamuacha Samia salama
Sijajuwa Samia ana mpango gani na Tanzania au ni agent wa warabu sisi tupo tu tunashangaa shangaa ndio anatuuza na kuiua Tanzania?
Unabii unakaribia kutimiaTaarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.
Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.
Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.
View attachment 3312400
View attachment 3312401
Unafanya nini cha maana wewe mbwa kachoka? Huo udangaji na umavhinga wako ndiyo unaogopa foleni??Usumbufu tu kusababisha foleni na misongamano ya watu na magari
Ujinga mtupu CHADEMA acheni kuleta usumbufu kwa watu Kariokoo ona hata huyo mbeba mizigo anavyopata shida kupita
Hajiamini ndo shida ya watu wenye uwezo mdogo.Samia amekuwa mtu hatari
wiziAmekamatwa kwa kufanya kosa gani ?