Joh Makini mwaka 2014 ajabu kwa 2015

Joh Makini mwaka 2014 ajabu kwa 2015

kuna watu wanakariri mambo na hatimae huachwa na wajanja wanaojua kudunda na mda.kanuni za mambo zina undergo mapinduzi either locally or internationally. sio lazima kila badiliko lianzie ulaya na america. go joh go. sisi ndio walaji wa products na tunaenjoy so nyie wenye misingi mtasubiri

nadhani sasa wameanza kuelewa. . .si tu kukalia ngumu alafu kumbe mashabiki hawazikubali
 
muziki anaofanya asaiv ni ule mstari alioimba ile nyimbo aliofanya na lord eyez....sanaa isiwe ngazi ya kutengeneza maskini wenye majina makubwa....sanaa iwe ni kazi
 
LOGO NI ''''NYEUSI''' NA INAMETAMETA..................
BRAND KUBWA CIO YA KITOTO, NA SHOW NI CASH SIO MIKOPO.
NAJENGA NCHI SITOI BOKO,SIRIKALI MBWA KOKO
TOKEA USWAZI SIACHI UKOKO, TOKEA MAGETO HUU NDO MTOKO..............
:A S-rap:
 
muziki anaofanya asaiv ni ule mstari alioimba ile nyimbo aliofanya na lord eyez....sanaa isiwe ngazi ya kutengeneza maskini wenye majina makubwa....sanaa iwe ni kazi

.......SIIISHANGILIII MAN U NDO NIIISHUSHE SIMBA.. WOOORD NENO USICHUKULIE PERSONAL,, SIO UZALENDO KUIUA YANGA UIACHE ARRSENAL.. HIZI PILIPILI KWENYE KEKI YA BIRTHDAY.................. HAAAAA UMENKUMBUSHA MBALI AISEEEE.... SANAA SIO KAZI KAMA WEW SIO MSANIII MKUBWA
 
google my gogo, right click,...chini kidogo, juu kwa fasi........

kata kidoooogo nenda kushoto,, ukilia nafagilia endelea kulia oooh yeah rudi kulia,,, shamba langu napalilia na pakikucha napanda pia,, namwagilia yeah.....tutambae tusimame tutembee dee dee kisha tupae beeeiiby.....................
 
muziki anaofanya asaiv ni ule mstari alioimba ile nyimbo aliofanya na lord eyez....sanaa isiwe ngazi ya kutengeneza maskini wenye majina makubwa....sanaa iwe ni kazi

kweli mkuu
 
muziki anaofanya asaiv ni ule mstari alioimba ile nyimbo aliofanya na lord eyez....sanaa isiwe ngazi ya kutengeneza maskini wenye majina makubwa....sanaa iwe ni kazi

Jamaa mmoja wanamwita legendary wa hip hop huu mstari unamuhusu.
 
joh yupo juu na anasoma nyakati na mashabiki wanataka nini nia kumake money.

Sasa nyie waambieni akina fid wakalie na matungo yao bila kutengeneza njia za kupata mkwanja
 
Kwa misingi hyo bas Hamas hafanyi hiphop,hiphop inamisngi yake na ili tuite hiphop inabidi misingi ifatwe,Joh anafanya bongo fleva,alitakiwa kushindanishwa na kuna diamond,hiphop wanafanya Runduno,akina songa,nikkimbishi,n the Lyn,
Sijawai kumuona mwanamziki wa hip-hop asiyejua lifted style.cowbama ngweair RIP watu wanachezea mziki wako uku

mziki biashara mkuu. usiangalie misingi tu. mziki kazi.....
 
Mkuu ngosha nae anajua kufreestyle..japo sio kivile kama hao wakina zilla na nikki..binafsi nimewahi kumshuhudia

hii kitu inayoitwa midondoko au swagger ndio kitu muhimu sana kwa hiphop ya leo. fatilia hata wanahiphp wa nje utaona hii.
 
Back
Top Bottom