ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,369
- Thread starter
- #61
Kwa misingi hyo bas Hamas hafanyi hiphop,hiphop inamisngi yake na ili tuite hiphop inabidi misingi ifatwe,Joh anafanya bongo fleva,alitakiwa kushindanishwa na kuna diamond,hiphop wanafanya Runduno,akina songa,nikkimbishi,n the Lyn,
Sijawai kumuona mwanamziki wa hip-hop asiyejua lifted style.cowbama ngweair RIP watu wanachezea mziki wako uku
mtamsema sana lakini ndio hivyo: wimbo bora wa hiphop yumo, mwana hiphop bora yumo, na bado anazidi kipaa.
misingi sometimes lazima ibadilishwe.