Joh Makini mwaka 2014 ajabu kwa 2015

Joh Makini mwaka 2014 ajabu kwa 2015

Ladha sana sikuizi hayupo kwnye misingi
My best songi kwake "hao"

Angeendelea na mikato ile asingeweza kusavaivu kwenye game, ile mikato tunaimudu wachache tu 'WAGUMU'. Hata mimi my best songs kwake ni HAO na HAWAPENDI, kwa hizi za Ladha 'Stimu zimelipiwa' na huu 'XO' nazikubali pia



"Wanaogopa hata kusema hukumu imekaribia...
Waumini wa dini hata hao pia....
Wanatuzwa na wanaotengeneza bia......"
 
Jamaa yuko unique,mpole flani hivi tofauti na mdogo wake ananiboa sifa nyingi.

tatizo nick maneno mengi amesahau kuwa zamani alikuwa anauza tu sura kimyakimya kwenye nyimbo za bro wake kama STIMU ZIMELIPIWA halafu leo hii mara ajikute eti kasoma sana sasa elimu yake na muziki wapi na wapi
 
Ladha sana sikuizi hayupo kwnye misingi
My best songi kwake "hao"

ni ila inabidi kuangalia uelekeo wa upepo maana mziki nao biashara usipokuwa mbunifu utaishia kusema inamikosi
 
Ladha sana sikuizi hayupo kwnye misingi
My best songi kwake "hao"

Wameinama..hao..wameinuka..hao...wanaona haya yote wametaka wao..zamani watu walipenda story zao tatizo wamechoshwa na uzee wa style zao.....umenikumbusha mbali mkuu
 
ni kweli mkuu hili kundi lilipofikia sasa sikutegemea kabisa maana mengi huishia kuvunjika

N2N ilitisha sijui shetani gani akawakuta,lord eyes alikuwa mkali wao ila akachemka,IBRA naye ndo hivo aliyebaki anajielewa ni g-nako,Kama siyo weusi wasingesikika tena
 
N2N ilitisha sijui shetani gani akawakuta,lord eyes alikuwa mkali wao ila akachemka,IBRA naye ndo hivo aliyebaki anajielewa ni g-nako,Kama siyo weusi wasingesikika tena

maisha ya kundi yana changamoto zake hasa pale mtu anapoona hafaidiki
 
Karibu kwenye show za joh daaah mchizi katoka mbali kinoma enzi zile daraja mbili na fire tukichoma wider na machizi wa ungalimited big up joh uko fresh huna makuu .
 
Karibu kwenye show za joh daaah mchizi katoka mbali kinoma enzi zile daraja mbili na fire tukichoma wider na machizi wa ungalimited big up joh uko fresh huna makuu .

karibu tena msafiri/pole na uchovu wa safari/za hapa bado si shwari/pumzika nikupe habari . .
Daa mtu kama unajua unajua tu. Joh ni hatari
 
Ibra naye nini ilimkuta

Ibra na Bou Nako walikuwa wanalalamika Lord Eyez anawadhulumu mkwanja, sometimes anaenda kupiga show na Gnako hawashirikishi wengine
 
Ibra na Bou Nako walikuwa wanalalamika Lord Eyez anawadhulumu mkwanja, sometimes anaenda kupiga show na Gnako hawashirikishi wengine

Mkuu wazulumiwa walikuwa Bou nako na G nako. Kipindi hicho Ibraa na Lordii waliamia Dar, wakawa wanapiga show wanakula hela na kina Adam Mchomvu. Arusha waliwaacha God warara na Bou. Ila sa hivi ndo hvo Bou anapiga kazi na Vatoloco mixtape zinauzika life linasonga Ibraa sa hivi ni mtejaparsee
 
Cha ajabu Joh hadi sasa anaogopa lyric Street battle, hatoi mixtape wala nini na ndo maana hataki BAM na Bonta washine. Kwenye show yao ya Arusha Nick alihakikisha kck hawaimbi ili wasifunikwe! Atakuwa mfalme wa hip hop Tanzania lakini sio King wa Chuga
 
Cha ajabu Joh hadi sasa anaogopa lyric Street battle, hatoi mixtape wala nini na ndo maana hataki BAM na Bonta washine. Kwenye show yao ya Arusha Nick alihakikisha kck hawaimbi ili wasifunikwe! Atakuwa mfalme wa hip hop Tanzania lakini sio King wa Chuga

akiwa mfalme wa tz fid q yuko wap
mwambie andelee kuunga vina vyak n kubebwa na cloudz kix kun washkaj zao wa chuga,adam,b12 nk
bt ule mwisho umekaribia
"wanambeba kwny media ila kwny show nammeza"
 
Back
Top Bottom