bissmark marktosh
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 233
- 47
Mm Niko na natoka kaskazini naipenda KLM na arusha ni R-chuga ma home sweet joh cwezi kusema cyo mkali joh ni zaidi ya noma
Deo Corleone Ngwea, Chid Benz, Afande, Prof Jay, etc sio watu wa kuandika punch, je sio wakali?
labda unijuze punch ni nini?
punchlines ni ile mistari inayofikisha message ,ikiwa na vina vinavyoeleweka.
sio kama hii" Deo na go, naflow
kama hujui just Google,
mimi ni soo,tena magnifco.
huniwezi kuchana
just ask your mama!!
hiyo huwezi kuita mistari kwenzi!!
back to your questions
prof jay,afande ,ngwair
wana punchlines kibao tu zinazoeleweka!!
chid naye mkali wa punch but sio Mara nyingi hutumia
labda unijuze punch ni nini?
punchlines ni ile mistari inayofikisha message ,ikiwa na vina vinavyoeleweka.
sio kama hii" Deo na go, naflow
kama hujui just Google,
mimi ni soo,tena magnifco.
huniwezi kuchana
just ask your mama!!
hiyo huwezi kuita mistari kwenzi!!
back to your questions
prof jay,afande ,ngwair
wana punchlines kibao tu zinazoeleweka!!
chid naye mkali wa punch but sio Mara nyingi hutumia
Kama hao unawaweka katika kundi la wenye punch basi hupaswi kumuacha Joh Makini, wote hao wana punch za kutafuta na tochi kwenye lyrics zao
Kwa misingi hyo bas Hamas hafanyi hiphop,hiphop inamisngi yake na ili tuite hiphop inabidi misingi ifatwe,Joh anafanya bongo fleva,alitakiwa kushindanishwa na kuna diamond,hiphop wanafanya Runduno,akina songa,nikkimbishi,n the Lyn,
Sijawai kumuona mwanamziki wa hip-hop asiyejua lifted style.cowbama ngweair RIP watu wanachezea mziki wako uku
Nusu glass, nusu bob marley.
pamoja na kazi nzuri anayofanya producer nahreel kuhakikisha nyimbo za kundi la weusi kwa ujumla zinafanya vizuri katika ulimwengu wa muziki lakini hadi leo Nahreel hajawahi pata tuzo ya producer bora,,, lakin jamaa anatisha ile mbaya
Lord Eyez alianza kupoteza toka ameanza kudate na Rayc
sahivi itakua yeye....sema nahreel watu walikua hawamjui sababu kazi yake kubwa ilikua kutengeneza beats..
pamoja na kazi nzuri anayofanya producer nahreel kuhakikisha nyimbo za kundi la weusi kwa ujumla zinafanya vizuri katika ulimwengu wa muziki lakini hadi leo Nahreel hajawahi pata tuzo ya producer bora,,, lakin jamaa anatisha ile mbaya
Unataka na Joh asande game kama Nikki Mbishi ili umcheke? Mi mwenyewe nilikuwaga km wewe ila sahiv nimeona haina maana, cha msingi utoe wimbo utakaoyafurahisha masikio yangu basi, hao tunaosema wanafata misingi sioni cha maana wanachorap zaidi ya kujisifia, oh mimi mkali sijui kama nani na bla bla nyingi...
na tena anafululiza kuzoa tuzo.