Jogoo anapowika

Jogoo anapowika

tz1

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
2,121
Reaction score
536
Jogoo anapo wika asubuhi ni anawa amsha watu au kuku wenzake?
Au kuna kitu kingine zaidi?
 
kuna kitu kingine zaidi.........haiwezekani awike kwa sababu hizo tu.....
 
'Jogoo awika kuamsha watu waliolala wachangamke
kokolikoooooo'
 
Jogoo waka anakuwa anaamka.
Hana habari na nyie.
 
Jogoo mara nyingi anawika kati ya saa kumi alfajili ili kuwakumbusha muda wa kupiga cha mwisho watu ndo mwende kwenye miangahiko ma mara nyingi jogoo wa binadamu(Me) lazima nayae atakuwa anawika tu.MMMMMMMM
 
Waite some minutes kabla thread hii haijahamishiwa kwa wakubwa ishaanza kuchakachuliwa....

[h=2]Re: Jogoo anapowika[/h]
Jogoo mara nyingi anawika kati ya saa kumi alfajili ili kuwakumbusha muda wa kupiga cha mwisho watu ndo mwende kwenye miangahiko ma mara nyingi jogoo wa binadamu(Me) lazima nayae atakuwa anawika tu.MMMMMMMM​
 
Jogoo mara nyingi anawika kati ya saa kumi alfajili ili kuwakumbusha muda wa kupiga cha mwisho watu ndo mwende kwenye miangahiko ma mara nyingi jogoo wa binadamu(Me) lazima nayae atakuwa anawika tu.MMMMMMMM
Hivi eeeeh!!!!
 
Jogoo akiwika mara nyingi huwa anamwamsha kuku mwenzake...ndio maana Jogoo wa mmwanaume akiwika anatafuta mwenzake na akimpata hawiki tena.
 
Kuwika kwa jogoo ni kuweka mipaka ya maeneo yake, kwa hiyo anatoa taarifa hasa kwa majogoo wenzie kuwa nipo kitaa msisogee na pia anawambiaa tetea(kuku wa kike) kwamba kidume nipo mtaani njoo mpate huduma. hii pia ipo kwa wanyama wengine mbwa huwa wanakojoa kila kichaka kilichopo mtaani kwake hiii ni kwa wale mbwa koko lol.
 
Jogoo anapo wika asubuhi ni anawa amsha watu au kuku wenzake?
Au kuna kitu kingine zaidi?

Kwani we jogoo lako likiwika asubuhi ni kwa ajili ya kumwamsha mkeo au kuwaamsha kuku?!!
POPOBAWA.
 
Jogoo mara nyingi anawika kati ya saa kumi alfajili ili kuwakumbusha muda wa kupiga cha mwisho watu ndo mwende kwenye miangahiko ma mara nyingi jogoo wa binadamu(Me) lazima nayae atakuwa anawika tu.MMMMMMMM[/QUOTE
Na najioni je?
 
Kuwika kwa jogoo ni kuweka mipaka ya maeneo yake, kwa hiyo anatoa taarifa hasa kwa majogoo wenzie kuwa nipo kitaa msisogee na pia anawambiaa tetea(kuku wa kike) kwamba kidume nipo mtaani njoo mpate huduma. hii pia ipo kwa wanyama wengine mbwa huwa wanakojoa kila


kichaka kilichopo mtaani kwake hiii ni kwa wale mbwa koko lol.
Nimekupata ndiyo Manana na sisi. Tunakojoa kuweka mipaka lakini tunaibiwa.
I
 
Jugoo anawika anapo ona malaika. Alfajiri ndiyo anawika mara nyigi zaidi na ndiyo kuna malaika wengi zaidi wanaopokea maombi meme ya wale watu wema waliokesha kumuomba muumba wao. Unapomsikia anawika; Msalie Mtume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom